Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Lkn i expected one of my sistas in here bragin kuwa aliolewa na bikra au bado leo anayo lkn hamna [emoji23][emoji23][emoji23]
Mengine tunamuachia baba na mama [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kwamba ukishatobolewa Huwezi Kupenda tena au????[emoji16][emoji16][emoji16] Acha hizo mkuu upendo unakaa moyonii sio chupinii... Mbona wanaume kuoa hujawahi kusex sio sifaa????
Hamna upendo kama upo ni ule shallow tu tofautisha sana demu aliye date before na bikra katika love perspective assuming wote wamekupenda
 
Ewaaaaaaaaaa! Ni mjadala wa siku nyingine, hapa tutakera watu na imani zao.

Ndio hivyo Mkuu. Bikra hata ufanye ufanyeje itabaki kuwa bikra tuu. hata nyumbani kwenu kama mpo wawili. Wewe si bikra na mmoja ni bikra unadhani nani ataolewa kwa mahari kubwa?

Njoo kwenye kafara, unadhani ikitolewa oda ya kutolewa kafara unadhani nani atatolewa kafara kati mwenye bikra na asiye na bikra?
 
Hamna upendo kama upo ni ule shallow tu tofautisha sana demu aliye date before na bikra katika love perspective assuming wote wamekupenda
Bikra ni better...! Lakini wewe binafsi ukisikia jamaa kakataa kuoa Binti mwenye sifa zote nzurii kisa binti Hana Bikra utamuonaje!??
 
Na mwenzako atakiahidi iPhone kitampaa..[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kama unavyoona wewe ni rahisi kukidanganya bhasi wenzako watakidanganya hivyo hivyoo...
Vipi huyo utakae mjengea Nyumba mlandiz na Yule atakae mjengea nyumba madale (used)

Kudanganywa kupo tu
 
Yaan niku ahid ndoa nisikuombe mchezo utaendelea kuwa na Mimi au utahis jogoo hapandi mtungi

Wengine wataendelea kuwa na wewe mimi ntahisi jogoo hapandi mtungi. Kwani tunaishi ili tufanye nini si ili tuenjoy?

Ikiwa mnasubiri kufunga ndoa maisha yanasimama au yanaendelea? Kama yanaendelea nikatiw.e na nani na wewe upo? Aggghhhrrrrrrr 😁
 
Wengine wataendelea kuwa na wewe mimi ntahisi jogoo hapandi mtungi. Kwani tunaishi ili tufanye nini si ili tuenjoy? Ikiwa mnasubiri kufunga ndoa maisha yanasimama au yanaendelea? Kama yanaendelea nikatiw.e na nani na wewe upo? Aggghhhrrrrrrr [emoji16]

Dah!
 
Bikra ni better...! Lakini wewe binafsi ukisikia jamaa kakataa kuoa Binti mwenye sifa zote nzurii kisa binti Hana Bikra utamuonaje!??
Sasa kama kutokua na bikra kunamnyima Amani ya Moyo ajilazimishe?

Mzee usicheze na hisia bwana
 
Habari Wakuu!

Mwanamke mwenye Bikra kuolewa ni lazima na ni haki yake lakini hawa wakina Amber Rutty kwa kweli kuolewa wacha waiite Bahati. Huwezi msikia mwanamke Bikra akiongea kauli ya kijinga kama hiyo. Kauli hiyo hutolewa na wanawake waliochojolewa na wale dizaini ya kina Wema.

Mwanamke Bikra anayohaki ya msingi ya kuchagua mwanaume amtakaye. Hakika inapendeza kusika mwanamke bikra akisema nataka mwanaume mwenye pesa, HB, na mcha Mungu. Hata sisi wanaume tutakuambia kwa kweli una haki ya kuchagua hivyo. Lakini nyie akina Amber Rutty ambao mgodi ulimalizwa madini yote kwa kweli mnashangazaga sana. Hata hivyo Mungu ni mwema kwani aliumba pia na wanaume wajinga na wenye kujidharau ndio maana mnaolewa. Lakini kwa wanaume wanaojielewa, wanaojua thamani ya mke hawawezi hata thubutu kuchukua binti asiye bikra.

Binafsi nipo tayari kutoa mahari yoyote kwa mke wang mtarajiwa endapo tuu atakuwa ni bikra. Bikra ni Nyota njema. Embu fikiria Yesu angezaliwa na mwanamke asiye na bikra nini kingekuja kwa wanaume wanaojua kufikiria na kujua thamani ya utume.

Mwanamke mwenye bikra hawezi kuwa na wasi wasi hata afikishe miaka 40. Lakini asiye na bikra miaka 25 tuu jasho linamtoka. Kuolewa ni bahati kwa wanawake wasio na Bikra lakini ni lazima kwa wanawake wenye bikra.

Sasa Hivi atoke mwanamke hapa mwenye umri wa miaka 35 aseme yeye ni bikra na anataka kuolewa, nakwambia hawezi chukua wiki moja wanaume watapanga foleni kujaribu bahati zao. Lakini atoke asiye na bikra miaka 24 awe mzuri kama malaika aseme anataka kuolewa uone kama hata chukua miaka kama miwili mpaka saba kupata wa kumuoa.

Sijui kwa nini watu hawaelewi mambo madogo kama haya.

Povu linaruhusiwa. Hasa kwa wanawake wenye mrengo wa Amber Rutty
Acha ujinga ww umewatolea wangap bikra na ukijua kabsa hujawaoa na unafikir hao uliowatolea ww bikra wataolewa na nan nyinyi mnawatoa wanawake bikra kwa ushawishi mkubwa tu halafu unakuja hapa unaongea ujinga.

Labda uwe hujawahi fanya hicho kitendo lkn kama umeshawah mtolea mwanamke bikra na hujamuoa hakika huwez oa bikra
 
Ndio hivyo Mkuu. Bikra hata ufanye ufanyeje itabaki kuwa bikra tuu. hata nyumbani kwenu kama mpo wawili. Wewe si bikra na mmoja ni bikra unadhani nani ataolewa kwa mahari kubwa?

Njoo kwenye kafara, unadhani ikitolewa oda ya kutolewa kafara unadhani nani atatolewa kafara kati mwenye bikra na asiye na bikra?

Heeeeeeeee mi haya mambo siyajui ndio maana nashangaa ujue. Kwamba hadi kwenye kafara wanachaguliwa mabikra? Ni wapi huko hufanya hivo?

Mahari inapangwa kulingana na kipato cha mwanaume ambacho msichana anakifahamu na humwambia mama kwa siri na mama hupeleka kwa baba, baba huwaambia wazee, Sijawahi sikia mahari inapangwa kubwa kwasababu ya bikra. Mkuu tunaishi kwenye ulimwengu mmoja kweli??

Kuna sehemu mwanamke hutoa mahari huko nako vipi?
 
Wengine wataendelea kuwa na wewe mimi ntahisi jogoo hapandi mtungi. Kwani tunaishi ili tufanye nini si ili tuenjoy? Ikiwa mnasubiri kufunga ndoa maisha yanasimama au yanaendelea? Kama yanaendelea nikatiw.e na nani na wewe upo? Aggghhhrrrrrrr [emoji16]
Nikikutia na nkakukuta bikra hata kama nshatoa mahar narudi kwenu kuongeza nyingine, what a reward?

Na kwa kadri ya uwezo Wangu hakuna mapenz utaacha kuona wala care ya hali na mali
 
So kuoa bikra sio Fact kuwa hawezi danganywa na kugongekaaa...!
case closed
Kwani kuna binadamu asiyeweza kudanganywa?

We si ulisema used hawadanganyiki

Kama ndo sababu usioe cause mkeo atadanganywa
 
Acha ujinga ww umewatolea wangap bikra na ukijua kabsa hujawaoa na unafikir hao uliowatolea ww bikra wataolewa na nan nyinyi mnawatoa wanawake bikra kwa ushawishi mkubwa tu halafu unakuja hapa unaongea ujinga. Labda uwe hujawahi fanya hicho kitendo lkn kama umeshawah mtolea mwanamke bikra na hujamuoa hakika huwez oa bikra


Nipo na mmoja ambaye ndio nilikata utepe. Wengine nilitumia kama Love Training Center. Siwezi mtoboa mwanamke mwenye bikra ilhali najua sitamuoa. Ila nyie wengine Tawile
 
Yawezekana ulichokiongea ni sahihi. Japo lugha uliyotumia du!
Mimi ni mwanamke, lakini sidhani kama ni jambo jema kwa mwanaume aliyeoa lady asiye na bikira kumwita "mjinga". Si kosa lake. Na tambua pia kuna wanaume hawapendi hizo bikira. Pia, kinachounganisha watu ni upendo na si bikira.
Jingine, utajua vipi kama huyu binti Ana bikira au hana? Maana hatutembei na nembo siye.
Hayo yote ni majaliwa
Ni rahisi sana kumtambua mwanamke bikira na asie bikira kwa mwanaume makini ila wale wavodafasta ni ngumu yeye anataka apate kile fikra na hisia zake zimemtuma akipate.
 
Back
Top Bottom