Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Umejua kuwanyoosha aisee.Wanakuja wapya ss shida ndo hio mm nilimaliza baada ya mleta mada kukaa kimya
Sasa hao wanawake zako wanne tofauti wenye watoto wako hutaki waolewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Alidai anataka kumpa talaka nikamwambia hapana, tafuta namna nyingine ya kumrekebisha[emoji23][emoji23] mwenye uzi kaingia mitini wamebaki wafuasi na wao wataka ligi sijui
Mwambie jamaaa apambane na ujinga wake ipo siku atakuta mama yake kachezea kipigo[emoji23]
Wakiolewa, au wasipoolewa mimi hainihusu watajua wenyeweSasa hao wanawake zako wanne tofauti wenye watoto wako hutaki waolewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natamani nae angekuwepo siku hio
Eeeh ampe talaka bikra?[emoji23][emoji23] mwambie amuwekee nyimbo ya prof jay atabadlikila[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Alidai anataka kumpa talaka nikamwambia hapana, tafuta namna nyingine ya kumrekebisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Moto ungewaka humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] natamani nae angekuwepo siku hio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119] Acha tu... Haya mambo hayana formulaEeeh ampe talaka bikra[emoji23][emoji23] mwambie amuwekee nyimbo ya prof hay atabadlikila
Bikra na tabia za mtu havina uhusiano kabisa, asilimia karibu 99.99 ya wanawake huzaliwa wakiwa bikra na umri wa kupoteza ubikra wao unatofautiana na wanapoteza kwa sababu mbalimbali japo asilimia kubwa ni kupitia kuingiliwa na mwanaume. Mwanamke kuolewa bikra sio kigezo cha kudumu kwenye ndoa. Kuna maeneo kama nchi za uarabuni asilimia zaidi ya 98 ya wanawake hupoteza ubikra wao kupitia kwa waume zao wa ndoa, lakini bado ni nchi zenye viwango vya juu vya talaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee ww utajuaje mtu kachakatwa sana wakati humjui labda na ndio kwanza umemuona?!
Anza kubishana ss mwenye uzi mwenyewe haonekani
[emoji23]achana na zamani babuu jibu mama zetu waliolewa ma bikra?!
Bikra inaabudiwa Sana.
Kuwa bikra SI guarantee ya mtu kuwa mwaminifu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23] mwenye uzi kaingia mitini wamebaki wafuasi na wao wataka ligi sijui
Mwambie jamaaa apambane na ujinga wake ipo siku atakuta mama yake kachezea kipigo[emoji23]
Wanaume hisia ziko juu Sana.Yaani hata mi natamani sana wanaume wote wangeutunza uanaume wao kwa ajili ya wake zao..ndoa zote zingekuwa za mabikira na zingekuwa tamu sana wallah
Akhsante kwa kuwa umekubaliana na Mimi.Bikra ni dalili ya uaminifu, usafi na uvumilivu.
Lakini haina Guarantee.
Lakini asiye na bikra huyo ni Take at your own Risk.
Kwa hiyo wao wanashindwa kujitunza na hawataki punyeto halafu wanakuja kupanua midomo hapa kuhusu bikra..huoni Kama Ni mataahira?Wanaume hisia ziko juu Sana.
Akitunza uanaume eti mpaka miaka 30 Hadi aoe sabuni zitaumia Sana pamoja na uume kupinda Kwa punyeto.
Angalia wale maboy wanaoenda advance miaka miwili Tu lakin wengi wao hujichua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamuoni Kama mnawachafua hao walio na bikra?Sijaingia mitini.
Watu wasio na bikra ambao bado hawajaolewa nawafananisha na nzi. Hivyo hakuna nitakaloongea likakuingia kichwani.
Nawaelewa watu kama nyie. Nyie sio ndio uwanja wetu wa mafunzo.
Kisiasa wanaita pango la wanyang'anyi.
Kama umepoteza bikra huwezi elewa a wala e hapa.
Utaishia kujifariji na uchafu wako.
Nilishakuambia choo cha Stend hakina mwenyeji.
Wanakuja wapya ss shida ndo hio mm nilimaliza baada ya mleta mada kukaa kimya
Kwa hiyo unataka waendelee kujichua TuKwa hiyo wao wanashindwa kujitunza na hawataki punyeto halafu wanakuja kupanua midomo hapa kuhusu bikra..huoni Kama Ni mataahira?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamuoni Kama mnawachafua hao walio na bikra?
Maana mtu anayemla nzi naye Ni nzi tu...mtoke huko kwenye nzi halafu mje kwa walio wasafi... that's not fair.
Sent using Jamii Forums mobile app
ulikuwepo wakati mama yake anatolewa hiyo bikra?.Lakini mama yake alikutwa bikra