Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Hujapenda wewe ukimpenda hiyo bikra Utakuja kuiulizia baada ya kupata mtoto wa tatu utasikia hivi wakati nakuoa ulikuwa bikra eeh..!

Huwezi penda uchafu labda uwe nzi au mende.
Mimi sio nzi wala mende kamwe situmii uchafu. Sijui kama unaelewa hili.

Kila kiumbe kina mfumo wake. Nzi hula kinyesi halikadhalika na mende.
Najua siwezi wafanya wanaume wote wawe kama mimi ikiwa wana tabia ya nzi na mende. Mada hii inawahusu watu wanaopenda usafi
 
Hahahaa sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Mtunze binti yako. Hilo ni jukumu la wazazi kutunza bikra za watoto wao.

Kisa cha Lutu kinaeleza jinsi gani wazazi wanavyopaswa kuwa responsible na issues za malezi hata ya bikra. Lutu alikuwa sodoma na Gomora lakini watoto wake walikuwa bikra
 
Kweli kabisa.

Kwa wahaya mwanamke bikra ilitakiwa itolewe siku ya ndoa na mashangazi walipaswa kuhakikisha hilo.

Na wasiokutwa bikra hata mahali urudishwa na ukoo kudharaulika na mwanamke kufukuzwa uhayani


Wanawake waliokutwa sio bikra,au waliopata mimba walikimbilia mwanza na wengi Dar kabisa na walipata maagent na kuwaingiza kwenye umalaya rasmi na wengine kuanzisha madangulo kabisa mfano mwananyamala Kwa wahaya na huko buguruni sijui tandika.kimsingi waliishia kuanzisha biashara ya kujiuza na wamelichafua kabila la wahaya mpaka Leo.

Ila uhayani ni vigumu Sana kukuta Malaya na ukatoliki umekamata haswa na maana majina ya kihaya huishia na us maana ni ya kilatin



Sent using Jamii Forums mobile app
 


Wengi watakurushia mawe hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…