Wewe tu ndio unajua hzo torati, na Sheria Mimi sijui kabisa, maana wewe umefocus na umalaya tu hata vitu simple hutaki kuelewa maana ulitaja na Mungu then I told you kuhusu kuhukumu wengine na wewe kujiona msafi eeeh, any way hii si case ni mitazamo na kila mtu Yuko huru kuamini kilicho sahihi kwakeUnazijua torati?
Unajua sheria za nchi?
Tangu lini kuhukumu ni dhambi? Torati IPI hiyo?
Pasingekuwa na Kadhi, hakimu,
Nasisitiza Umalaya ni dhambi.
Wanaume wasioe malaya
Na Mimi ndio nimeelezea humo humo kwa mifano, hata sijatoka nje yake na Mimi kufungua Uzi ili nijione msafi siwezi nitabaki mchangiaji tu basi
Kila mwanamke aliyeolewa ameshawahi kugegedwa nje ya ndoa..It's what you intend to say here Sir?Hapa ss kiongozi ndipo nilipokushusha na kukuona we kumbe bado kwenye mapenzi, iko hv ww shikilia msimamo wako kwmb watu wajitahidi kuoa wanawake bikra lkn huwezi kumfanya awe special cz utake usitake lazima utachapiwa tu yn ckia nikwambie lazima uchapiwe labda umdhibiti mkeo asiwe na marafiki na asitoke wala ww usitoke.
Wanawake wanafanana fanana na wana tabia ya kushawishika kirahisi mno hususan kwa ambaye hajawahi kupata ladha sehemu nyingine lazima atataka kuonja tu.
Lakini pia historia inaonesha kwamba mwanamke bikra ni msumbufu mnoo km unabisha save hii comment na utaleta mrejesho humu.
Wewe tu ndio unajua hzo torati, na Sheria Mimi sijui kabisa, maana wewe umefocus na umalaya tu hata vitu simple hutaki kuelewa maana ulitaja na Mungu then I told you kuhusu kuhukumu wengine na wewe kujiona msafi eeeh, any way hii si case ni mitazamo na kila mtu Yuko huru kuamini kilicho sahihi kwake
Mwanamke anaejielewa ndie mwanamke Bora of all times. Like it or not.
Kuna ambao Ni bikra lakini Ile curiosity yao imewapeleka pabaya.
But Kuna ambao Wana practice secondary virginity yet wametulia zao and they do not sleep around.
Kazi unarudi kwako. Utapumbazwa na bikra ama utaangalia beyond that. Kumbuka sio bikra itakayotunza familia Wala kukulelea watoto.
Jokajeusi naomba nikuulize,huyo mkeo ulianza kumgegeda lini?..Baada ya ndoa au? na kama ni kabla ya ndoa na ulikuwa unaishi naye mbali how sure you are kuwa hayagegedwa na mwingine?.
All in all mimi pia siwezi kuoa demu asiyekuwa na bikra..I can't take that
Am not worried about what you will conclude about me.Watu Leo watathibitisha nikisemacho kupitia comments za ninyi wanawake msio na bikra.
Naona unanyooshea vidole Malaya huku vingine vimekugeukia, hakuna aliye msafi in Jides VoiceNani kajiona msafi? Mkuu umechanganyikiwa?
Hakuna Torati inayosema usihukumu MTU. Ndio maana kuna kadhi na Majaji.
Sheria haina mitazamo.Sijui umesoma wapi mambo hayo
So sad that una conclude mwanamke kukosa bikra automatically she's a whore.Alikuea mbali, nimekula kabla ya ndoa.
Nimemuoa, kugegedwa sijui lakini nimeshaeleza 10% ndio huwa sio waaminifu
Ila hawa makurumbembe 90% ni malaya. Shuhudia mitazamo yao humu
Am not worried about what you will conclude about me.
Just so you know I lost my virginity at 24 years old to the man who became my husband. I am proud that I waited so long and I now have a beautiful family but I will be damned if I start pointing fingers at my fellow women who are being shunned for not being virgins.
I will voice my opinion and leave your judgements to yourself.
No, ni kwamba wanawake kwa asilimia kubwa wanafanana fanana tabia awe bikra au asiwe nayo ukimuoa lazima awe na hizo tabia za mfanano ni nature hyo, kwn mtoa mada ni wa kwanza kuoa bikra? Walianza mababu na mababu lkn huwa wanasumbua mno, nilichomuomba mtoa mada ajikite zaidi kuwahamasisha vijana waoe bikra cz kiasili ina faida but aachane na kusema asiye bikra ni malaya na hawezi kubali mwanae apite njia iliyoguswa guswa na wanaume wengine je mtoa mada ana uhakika na njia aliyopita yeye iliguswa na baba yake tu? Na km cvyo je tumuoneje mtu huyu?Kila mwanamke aliyeolewa ameshawahi kugegedwa nje ya ndoa..It's what you intend to say here Sir?
Wewe usioe ndio lakini usi force watu wafanane kwa utakacho?Na ndio maana nikakuambia hatuwezi oa mwanamke Malaya.
MTU hujui hata maana ya Opinions na Facts. Unataka kudanganya watu humu.
Umalaya ni mbaya dunia nzima.
Sheria za Mungu sio Opinions, Sheria za Mungu ni facts
Umeshasema zamani so na sasa 21 century, na umalaya hautaisha kwa vile hupendi utadumu tu, maana umalaya ni swala binafsi Kama familia yako haifanyi inatosha kabisaMalaya wakemewee. Zamani walipigwa mawe
Zama zipi malaya walipigwa mawe mkuu.?Malaya wakemewee. Zamani walipigwa mawe
Nani kajisifu, nimeongea ukweli na kuwaasa wasiooa watafute wanawake bikra. Ili wafurahie maisha kama mimi.
Wapi sijaeleweka?
Bikra ni muhimuMwanamke anaejielewa ndie mwanamke Bora of all times. Like it or not.
Kuna ambao Ni bikra lakini Ile curiosity yao imewapeleka pabaya.
But Kuna ambao Wana practice secondary virginity yet wametulia zao and they do not sleep around.
Kazi unarudi kwako. Utapumbazwa na bikra ama utaangalia beyond that. Kumbuka sio bikra itakayotunza familia Wala kukulelea watoto.