Sawa.Kwangu mimi ndo nakuona kwa Mara ya kwanza
Habari Wakuu!
Tangu nijiunge humu JF nimekuwa nikiwapigia chapuo wanawake wenye bikra ndio wake bora.
Asilimia 90% ya wanaume tuliooa wanawake wenye bikra hatuna kesi za ajabu ajabu ndani ya ndoa. Wanawawe sio malaya, wanaadabu, hawana tamaa ya hovyo hovyo. Wakati 10% iliyobakia ya waliooa wanawake wenye bikra wanapata mikasa na vitimbwi vya ndoa.
Hii ni tofauti na wale wenzangu na miye waliooa wanawake wasio na bikra ambao 90% wanahenyeka, wanaipata fresh ya shamba. Huku 10% ndio wakineemeka.
Wakati 99% ya wanaume waliooa single mother wakiiona dunia jehanamu, ndoa chungu na maruweruwe. Huku 1% ya wanaume waliooa single mother ndio wakienjoi.
Sisi tuliooa wanawake wenye bikra mpaka hivi leo tunapeta na wengi tunaenjoi maisha.
Faida ya kuoa mwanamke mwenye bikra
1. Hawezi kukuona kibamia
2. Kiroho mnamafungamano
3. Mtazaa kizazi kisicho cha zinaa tofauti na kuoa mwanamke ambaye tayari ameshafanya uzinzi. Ambapo mtoto wako atapitia kwenye uke ulionajisiwa na wanaume wengine na kumwagiwa manii zingine.
4. Heshima na adabu
Siku zote mwanamke anayekuheshimu atakupa kitu kipya na sio mtumba. Wanawake wa siku hizi wanawadharau wanaume kwa sababu wanaume wengi siku hizi wameamua kula makombo, kula mtumba. Mwanamke hawezi kukuheshimu ikiwa ulimuoa akiwa hana bikra. Hata Mungu mwenyewe hapendi makombo, Mungu kumpa sadaka au zawadi used ni kama umemdharau. Ndio maana akawaambia hata watu wake waoe wanawake bikra, ili wasijitie unajisi wao na kizazi chao.
5. Ukioa Bikra huwezi pata sijui mwanamke aliyetoa mimba, sijui aliyezaa.
Siku hizi wanaume wanaoa wanawake wauaji bila ya wao kujua. Unakuta unaoa jianamke lisilo na bikra kumbe tayari limeshaua watoto kwa kutoa mimba nyingi tuu. Sasa njia bora kuzuia mashaka hayo ni kuoa mwanamke bikra.
6. Mwanamke hatakuwa na Kumbukumbu za Ma-ex wake
Ukioa mwanamke bikra huna wasiwasi, unajiamini kwa sababu wewe ndio wa kwanza. Huwezi linganishwa na mwanaume mwingine kwa sababu hakuna wa kulinganishwa naye. Ila ukioa mwanamke asiye na bikra ni lazima afanye ulinganisho baina yako na wanaume waliompitia. Siku zote awali ni awali. Na siku zote upendo wa kwanza ndio upendo halisi.
Nafahamu mada hii itawaumiza wanawake wengi ambao hawana bikra na hawajaolewa, au waliombioni kuoa mwanamke ambaye hajamkuta bikra. Lakini huo ndio ukweli. Wewe kama huna bikra au uliolewa bila bikra na ukaolewa na mwanaume mwingine ambaye hajakutoa bikra basi tambua wewe ni malaya.
Sisemi malaya wasiolewe, ila lazima mtu kabla hajaoa atambue kuwa changamoto za kuooa malaya ni zipi.
Siku hizi watu wanakuambia ndoa ndoano, au ndoa uvumilivu moja ya sababu ni kuoa wanawake wasio na bikra. Kuoa mwanamke asiye na bikra yataka moyo. Yaani unaoa mwanamke ambaye unafahamu fika kuwa mwanamke huyu ni malaya yaani tayari keshalala na mwanaume mwingine. Kabla hujaoa mwanamke asiye na bikra jiulize utaweza vumilia changamoto za malaya?
Ni tofauti na sisi tuliooa wanawake bikra ambao kimsingi tunakuwa waalimu wa wake zetu tukiwafundisha kila mazuri na mabaya. Lakini unapooa mwanamke asiye na bikra basi tambua yale aliyojifunza kwa waliomtoa bikra basi anakuja ku-apply kwako.
Wakuu bikra zipo, mabinti wapo kibao wenye bikra, acheni kusema bikra hakuna, bikra zipo nyingi kidato cha tano, cha sita, chache zipo chuo.
Nafahamu kuna bikra za kutengeneza, lakini mwanamke bikra hata akili yake huwa bikra hilo ni muhimu.
Bikra matters!
Povu Ruksaa
Kabisa mkuuYaani mimi nikajua alimuoa akiwa bikra.
Kumbe alimuoa akiwa hana..basi wote tu ni wazinzi kama anavyowaita wenzie hapa
Wakati kuna dhambi kibao tu..
Yeye (Mungu) aliyesema Usizini ndiye huyohuyo aliyesema usiibe,usiseme uongo na kadhalika.
Hata Biblia inasema "wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu"
Mhubiri anasema "Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani,ambaye afanya mema,asifanye dhambi"
Pia maandiko katika Mathayo yanasema tusihukumu;
Warumi pia inasema "wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine?
Lakini wewe je!mbona wamhukumu ndugu yako!?"
Mungu katika kolosai anataka tuweke Neno lake kwa wingi ndani yetu katika hekima yote tukifundishana na kuonyana kwa zaburi na nyimbo na tenzi za rohoni.
Mtoa mada yeye amejivika cheo cha kuhukumu.
Na mimi namuuliza kwamba anahukumu kama nani?
Hata wewe ni mzinzi tuMada inahusu uzinzi. Tutafungua mada ya wezi.
Kama hukuolewa bikra jua wewe ni malaya
Mkuu sema kwenye maisha yako kipaumbele ni bikra kabila ya yote mkuu. Nina kila MTU ana kipaumbele hapa duaniani. Binafsi namie Nina kipaumbele zaidi ya bikra na mwanamke MIE haniumizi kichwa yaani ana asilimia ndogo sana kwenye furaha Yangu hapa duaniani. Na huo ni ukweli tunatofautiana.Nishakuambia siwezi oa mwanamke asiye na bikra.
Tangu 2013 nilipooa mpaka leo ninasema jambo hili na ninamuambia mke wangu. Moja ya sababu zilizonifanya nikuoe ni pamoja na bikra.
Ila nikamuambia kuwa siku ukichepuka, utafukuzwa mchana kweupe, na hili nililisema siku ya harusi mbele za watu
Leo sijui ameamkia upande gani[emoji1787]Hahaaa alivo mbishi atageuza maneno
Umeelezea yote kwa ndani na kwa details mie niliyesema hvo nikaitwa Malaya, haya Bora uandike wewe labda wataelewa kwa undani.Wakati kuna dhambi kibao tu..
Yeye (Mungu) aliyesema Usizini ndiye huyohuyo aliyesema usiibe,usiseme uongo na kadhalika.
Hata Biblia inasema "wote wametenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu"
Mhubiri anasema "Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani,ambaye afanya mema,asifanye dhambi"
Pia maandiko katika Mathayo yanasema tusihukumu;
Warumi pia inasema "wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine?
Lakini wewe je!mbona wamhukumu ndugu yako!?"
Mungu katika kolosai anataka tuweke Neno lake kwa wingi ndani yetu katika hekima yote tukifundishana na kuonyana kwa zaburi na nyimbo na tenzi za rohoni.
Mtoa mada yeye amejivika cheo cha kuhukumu.
Na mimi namuuliza kwamba anahukumu kama nani?
Wakeze hawaja mpa stress huyu Mambo yake bulibuliLeo sijui ameamkia upande gani[emoji1787]
Mbona mnapenda kubishana na mawazo au mipango ya watu bila sababu ya msingi..no matter what mimi sitooa demu asiye na bikra ndo nilivyopanga maana mimi ndo ninayeoa..Wewe unayo ???
Aki ya nani [emoji23]
Kila mtu anapata wa kufanana naye
Mimi sijakupinga walaMbona mnapenda kubishana na mawazo au mipango ya watu bila sababu ya msingi..no matter what mimi sitooa demu asiye na bikra ndo nilivyopanga maana mimi ndo ninayeoa..
Vipi wataka kunioa?ipo au haipo??
Huyu jamaa anajihesabia sana hakiUmeelezea yote kwa ndani na kwa details mie niliyesema hvo nikaitwa Malaya, haya Bora uandike wewe labda wataelewa kwa undani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakeze hawaja mpa stress huyu Mambo yake bulibuli
Ndio mtoto mzuri..niambie basi nijueVipi wataka kunioa?
Ilete hiyo mahariNdio mtoto mzuri..niambie basi nijue
Binafsi nilimpata wa miaka 17 mkuu bado mdogo nikajua Nita mould any way I want. Nashukuru Mungu mambo yanaenda kama nilivyotarajia. Kama ni ajira nitamuajiri MIE mwenyeweMkuu nikiandika watasema ni yale yale kila mtu Jamiiforums kujifanya ana maisha smart so amini utakavyoamini ila kilichoandikwa hapo juu kiamini usikipuuze!
Ogopa sana kuowa “KOPO”,makopo ni ya chooni siyo ya kuyaweka chumbani na kulala nayo mki-share issue nyeti kama uzazi tafuta bint mdogo bora uonekane unabaka ila ujitengenezee maisha mema ya ndoa.
If you catch what i mean!!!