Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mkuu ngoja mimi nikusahihishe katika hiyo sentensi yako ya "endelea kujipa moyo" Mimi ni mwanamke hivyo naongea from experience, ukiona kuna mwanamke umri umeenda hajaolewa usifikiri amekosa wakumuoa, mwanamke hakosagi wakumuoa anachokosa ni machaguo yake anayoyataka/ matamanio anayoyataka kuyaona kwa mwanaume..... Ndio mwisho wa siku anaamua kukaa single, ila kama ni mtu wakuoa tu, kama nia ni kuvaa shela na pete, niamini mimi hakuna mwanamke anayekosa wakumuoa! Kama wewe si muoaji usifikiri kila mtu si muoaji mkuu.
Na kingine kama shida ni bikira kila mwanaume anauwezo wa kuoa bikira ila kuna sifa zingine kila mtu anahitaji ambayo pia haifanani kati ya mtu na mtu sasa mtoa post anatuaminisha sifa anayoihitaji yy wote tuone ndo sifa kuu,
 
Mkuu kuna watu hawajawahi kutana na bikra kabisa tangu wame balehe mpaka wamejikuta wanaoa hao kina amber lut. Kwaiyo ikitokea kilamtu amchukue alie mtoa bikira kunawatu watakosa wake.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]

JF bhana

Mtu anajua dunia inavyoenda
Na huyo mtu anaujua mwisho wa dunia hii
Mtu huyo huyo anazifahamu siri za dunia hii

[emoji2][emoji2][emoji2] Tunawezajikuta tunachart na mungu
hapa bila kujua..[emoji2][emoji2]


Kwendraaaaa!!! 😀😀😀😀
 
Usifanye kichwa ngumu na umeshaelewa alichomaanisha japo kweli haipo hivyo lakin inaeleweka labda usijue kiswahili,ukizungumzia mwanamke bikira basi na mwanaume awe hajawahi kuzini kama ww ni mzinzi basi maana ya bikira inakosekana maana bila shaka ipo kiroho zaidi au kimungu zaidi nje ya iman mm kiukweli sioni maana ya bikira,kama mwanaume umetulia unasubiri ndoa ni haki yako kudai bikira ya mwanamke tofauti na hapo wanaume tuache unafki hamna mwanamke anayejitoa bikira so wote tunahusika

Hata kama ametulia anasubiri ndoa haina sababu yoyote yakulazimisha mwingine atulie kama yeye asubiri ndoa, wengine starehe yao kufanya mapenzi sasa kama hajafikia maamuzi yakuoa kuolewa haimfanyi asifanye mapenzi, Hii imekaa kiimani zaidi sasa kama mtu hana imani Je? Si sahihi kulazimisha mambo yawe kwa kadri ya mtazamo wa mmoja.
 
Na kingine kama shida ni bikira kila mwanaume anauwezo wa kuoa bikira ila kuna sifa zingine kila mtu anahitaji ambayo pia haifanani kati ya mtu na mtu sasa mtoa post anatuaminisha sifa anayoihitaji yy wote tuone ndo sifa kuu,
Na tusipoiona kua sifa kuu tunaonekana WAJINGA na TUNAJIDHARAU
 
Mkuu kuna watu hawajawahi kutana na bikra kabisa tangu wame balehe mpaka wamejikuta wanaoa hao kina amber lut. Kwaiyo ikitokea kilamtu amchukue alie mtoa bikira kunawatu watakosa wake.


Mkuu ndipo tulipofikia kwa sasa
 
Kuoa mwanamke Bikra sio Kigezo kuwa Hautagongewaaa...!! Yanii tabu ipo pale palee
 
Bikira ina umuhimu wake...kwanza inakupa confidence.!!inakupa kujiamini...kuwa wew ndo wa kwanza...!!huna presha na mpuuzi aitwaye X

ila ukichukua nungaembe unaishi kwa presha...hujiamini....!!maana kama sio bikira lazma utagongewa tu..!!

Najua waliotolewa bikira na hawana ndoa itawauma...ila ndo ukweli

Hao waliopo kwenye ndoa ndo mashahidi.....si mke c mume...!!wanaishi kwa majuto
 
Kumbe umebahatika. Kwanini hukuoa uliekua unazini nae?
Huoni unaongelea kitu ambacho hata wewe hukiamini kama kinawezekana ila kwa bahati tu?


Niliyezini naye alikuwa hana Bikra Mkuu. Mimi bikra ni kipimo namba moja cha mwanamke mwaminifu. Hivi unadhani kukaa na bikra miaka 25 mchezo. Hii inaonyesha namna alivyojithamini.
 
Usifanye kichwa ngumu na umeshaelewa alichomaanisha japo kweli haipo hivyo lakin inaeleweka labda usijue kiswahili,ukizungumzia mwanamke bikira basi na mwanaume awe hajawahi kuzini kama ww ni mzinzi basi maana ya bikira inakosekana maana bila shaka ipo kiroho zaidi au kimungu zaidi nje ya iman mm kiukweli sioni maana ya bikira,kama mwanaume umetulia unasubiri ndoa ni haki yako kudai bikira ya mwanamke tofauti na hapo wanaume tuache unafki hamna mwanamke anayejitoa bikira so wote tunahusika
Point & Fact
 
Linganisha utaelewa maana yake,kwahiyo ukiambiwa asiyesikia la mkuu huvunjika guu unafikiri wanazungumzia mguu?

Mkuu hivi unadhani sijaelewa ulichosema, ndio maana nikakujibu kwa muktadha wa msemo wako
 
Wewe inaonesha bikra zote tatu huna... huwezi kutetea kitu kibaya kama hicho.

Hahha jamani! Yawezekana ninazo au pia sina "zote" sioni kama inatakiwa kuwa concern yako since utaoa mke mmoja tu na hata ukioa wawili na kuendelea mimi siwezi kuwa mmoja wao, Je umegundua mimi kuwa nayo au kutokuwa nayo si business yako?

Tuje kwenye point ya msingia ambayo umeiita "kutetea kitu kibaya" tafadhali unaweza kuniambia ni kivipi utetezi wangu umeonesha ni kuwa natetea kitu kibaya? Utusaidie kufahamu pia ni kivipi imekuwa kitu kibaya ukituonesha uzuri wake na umuhimu wake katika maisha yetu.
 
Back
Top Bottom