Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hahahah hajui mwanamke ni kitu gani 😂😂😂Unajidanganya sana tu, siku moja utakuja kujiua kama usipokuwa mwangalifu na kuendeleza utoto, ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah hajui mwanamke ni kitu gani 😂😂😂Unajidanganya sana tu, siku moja utakuja kujiua kama usipokuwa mwangalifu na kuendeleza utoto, ...
Bikra Matters
Bikra for marriage
Malaya wasubiri siku nikijiua.
Siwezi oa mwanamke malaya, asiye na bikra dunia ingalipo. Na hata nikioa atafukuzwa akifanya umalaya wake. Ila siwezi ruhusu mtoto wangu apite njia iliyonajisiwa na mwanaume mwingine.
Hapo uko safe atleast jitahidi kuepuka migogoro tuNimejiajiri Boss😀😀😀😀
Hakuna sababu ya kunifanya nisioe bikra Mkuu. Naelewa nikisemacho, ninanufaika nacho.
Hahahah hajui mwanamke ni kitu gani 😂😂😂
Tumuache kwanza, naona ulanzi wa mahaba umemkaa pazuri. Cha kumsihi tu ahakikishe hamuachi mkewe popote aendapo kikazi esp. uhamisho wa kimkoa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa na hongera kwa kuwa Mwanaume wa kwanza na wa kipekee, labda na wewe ulipita kama mtoto wako pia who know? Sisi wengine hatujali maisha yenyewe yakowapi?
Kuna rafiki yangu alioa mwanamke kisa tu alimkuta bikra, na alitumia gharama zaidi ya million 32 na baada ya miaka 2 ndoa yao ilivunjika,
Yeye ni mtu wa kusafili na magari makubwa kwenda nchi mbalimbali ,kumbe huku mke amepata wajanja wanampa mautundu ambayo hayapati kwa jamaa na ndoa ikaishia hapo.
Hilo ndo kosa kubwa, mwanamke utakiwi kumuacha mpweke.Kuna rafiki yangu alioa mwanamke kisa tu alimkuta bikra, na alitumia gharama zaidi ya million 32 na baada ya miaka 2 ndoa yao ilivunjika,
Yeye ni mtu wa kusafili na magari makubwa kwenda nchi mbalimbali ,kumbe huku mke amepata wajanja wanampa mautundu ambayo hayapati kwa jamaa na ndoa ikaishia hapo.
endelea kujidanga bt kwa mbali bandiko lako linanukia kaharufu kakujifariji na stress za maisha, mimi nimeoa mke bikra bt siwezi jisifia ujinga coz nawajua wanawake wa zama hizi
I agree with uBikra haina mchango wowote katika ndoa
Una obsession Sana na bikra, na ambao hawana nao mwanzo walikuwa mabikra, hata kuomba kazi hutaka mwenye experience same applied na bikra hajui lolote ukimuoa ndani ya ndoa ataanza kutafta new taste.