Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Habari Wakuu!

Tangu nijiunge humu JF nimekuwa nikiwapigia chapuo wanawake wenye bikra ndio wake bora.

Asilimia 90% ya wanaume tuliooa wanawake wenye bikra hatuna kesi za ajabu ajabu ndani ya ndoa. Wanawawe sio malaya, wanaadabu, hawana tamaa ya hovyo hovyo. Wakati 10% iliyobakia ya waliooa wanawake wenye bikra wanapata mikasa na vitimbwi vya ndoa.

Hii ni tofauti na wale wenzangu na miye waliooa wanawake wasio na bikra ambao 90% wanahenyeka, wanaipata fresh ya shamba. Huku 10% ndio wakineemeka.

Wakati 99% ya wanaume waliooa single mother wakiiona dunia jehanamu, ndoa chungu na maruweruwe. Huku 1% ya wanaume waliooa single mother ndio wakienjoi.

Sisi tuliooa wanawake wenye bikra mpaka hivi leo tunapeta na wengi tunaenjoi maisha.

Faida ya kuoa mwanamke mwenye bikra

1. Hawezi kukuona kibamia
2. Kiroho mnamafungamano
3. Mtazaa kizazi kisicho cha zinaa tofauti na kuoa mwanamke ambaye tayari ameshafanya uzinzi. Ambapo mtoto wako atapitia kwenye uke ulionajisiwa na wanaume wengine na kumwagiwa manii zingine.

4. Heshima na adabu
Siku zote mwanamke anayekuheshimu atakupa kitu kipya na sio mtumba. Wanawake wa siku hizi wanawadharau wanaume kwa sababu wanaume wengi siku hizi wameamua kula makombo, kula mtumba. Mwanamke hawezi kukuheshimu ikiwa ulimuoa akiwa hana bikra. Hata Mungu mwenyewe hapendi makombo, Mungu kumpa sadaka au zawadi used ni kama umemdharau. Ndio maana akawaambia hata watu wake waoe wanawake bikra, ili wasijitie unajisi wao na kizazi chao.

5. Ukioa Bikra huwezi pata sijui mwanamke aliyetoa mimba, sijui aliyezaa.
Siku hizi wanaume wanaoa wanawake wauaji bila ya wao kujua. Unakuta unaoa jianamke lisilo na bikra kumbe tayari limeshaua watoto kwa kutoa mimba nyingi tuu. Sasa njia bora kuzuia mashaka hayo ni kuoa mwanamke bikra.

6. Mwanamke hatakuwa na Kumbukumbu za Ma-ex wake
Ukioa mwanamke bikra huna wasiwasi, unajiamini kwa sababu wewe ndio wa kwanza. Huwezi linganishwa na mwanaume mwingine kwa sababu hakuna wa kulinganishwa naye. Ila ukioa mwanamke asiye na bikra ni lazima afanye ulinganisho baina yako na wanaume waliompitia. Siku zote awali ni awali. Na siku zote upendo wa kwanza ndio upendo halisi.

Nafahamu mada hii itawaumiza wanawake wengi ambao hawana bikra na hawajaolewa, au waliombioni kuoa mwanamke ambaye hajamkuta bikra. Lakini huo ndio ukweli. Wewe kama huna bikra au uliolewa bila bikra na ukaolewa na mwanaume mwingine ambaye hajakutoa bikra basi tambua wewe ni malaya.

Sisemi malaya wasiolewe, ila lazima mtu kabla hajaoa atambue kuwa changamoto za kuooa malaya ni zipi.
Siku hizi watu wanakuambia ndoa ndoano, au ndoa uvumilivu moja ya sababu ni kuoa wanawake wasio na bikra. Kuoa mwanamke asiye na bikra yataka moyo. Yaani unaoa mwanamke ambaye unafahamu fika kuwa mwanamke huyu ni malaya yaani tayari keshalala na mwanaume mwingine. Kabla hujaoa mwanamke asiye na bikra jiulize utaweza vumilia changamoto za malaya?

Ni tofauti na sisi tuliooa wanawake bikra ambao kimsingi tunakuwa waalimu wa wake zetu tukiwafundisha kila mazuri na mabaya. Lakini unapooa mwanamke asiye na bikra basi tambua yale aliyojifunza kwa waliomtoa bikra basi anakuja ku-apply kwako.

Wakuu bikra zipo, mabinti wapo kibao wenye bikra, acheni kusema bikra hakuna, bikra zipo nyingi kidato cha tano, cha sita, chache zipo chuo.

Nafahamu kuna bikra za kutengeneza, lakini mwanamke bikra hata akili yake huwa bikra hilo ni muhimu.

Bikra matters!

Povu Ruksaa
Naunga hoja kwa asilimia 100%. Ndoa za hivyo Mara nyingi zinadumu sana kulio mwanamke ambaye Hana Utepe, Ni dhambi kubwa sana mbele ya Mwenyezi Mungu, Kwa Mwanaume kumtoa mwanamke bikra Mwanamke Usie kuwa wa Uhitaji wa Kumuoa.
 
Wakeze hawaja mpa stress huyu Mambo yake bulibuli
Hili neno la "BuliBuli" unenikumbusha Shairi moja maarufu sana la kiarabu linaitwa "Swawti Swafur Bulbul", humo anaongelewa ndege (Mwanamke Mrembo) na lugha iliyotumika humo ni tamu ajabu ile lugha ya ndani kabisa.
 
Mkuu nikiandika watasema ni yale yale kila mtu Jamiiforums kujifanya ana maisha smart so amini utakavyoamini ila kilichoandikwa hapo juu kiamini usikipuuze!

Ogopa sana kuowa “KOPO”,makopo ni ya chooni siyo ya kuyaweka chumbani na kulala nayo mki-share issue nyeti kama uzazi tafuta bint mdogo bora uonekane unabaka ila ujitengenezee maisha mema ya ndoa.

If you catch what i mean!!!
nilivuta bangi juzi ikanimbia nikioa nioe binti mdogo wa miaka 15 nikasoma katiba sheria ya ndoa nikaona inaruhusiwa kwa ridhaa ya wazazi na mimi personally naiheshimu sana bangi
 
Umeelezea yote kwa ndani na kwa details mie niliyesema hvo nikaitwa Malaya, haya Bora uandike wewe labda wataelewa kwa undani.
Mleta mada haongeli uzinzi anaongelea bikra msitoke nje ya mada!! Yani cha muhim ni uoe mwanamke uliyemtoa usichana ww mwenyewe!! na haijalishi uliitoa kabla ya ndoa au baada ya ndoa! NAUNGA MKONO HOJA NA WANAWAKE BIKRA NI WENGI ACHANENI NA KINA cariha waendelee kitumia K zao vizur kama anavyodai dai yeye!!
 
Wakuu mpooo!


Niliusiwa na wazazi wangu mambo makuu mawili katika kuchagua mke

1. Nisichague mwanamke asiye na bikra
2. Nisioe mwanamke masikini`

Kiufupi sijawahi kuwa na mwanamke hohe hahe. Sijawahi kujuta kwenye mapenzi. Wanawake wenye pesa hawana mambo ya kiswahili, wanapenda kweli. Wanatunza apointment. Wengi sio malaya. Wanachotaka ni true love.

Wanawekla masikini sitaki hata kuwazungumzia. Wengi mmeshawaanzishia nyuzi humu jinsi yalivyomalaya, wasivyo na shukrani, yaani tabu tupu.

Huna pesa hata bikra ukose?
Huna Bikra hata pesa Ukose?

Watu wazima waliooa wenye miaka 40+ watanielewa.

Kama hujaoa usioe mwanamke asiye na bikra. Na kama hana basi awe na uwezo wa kifedha. Utakuja kunishukuru.

Mwanamke masikini bikra itambeba. Kama hana bikra basi pesa itambeba.

Pesa ndio bikra kwa wanawake wasio na bikra halisi.

Virginity Matters
 
Aisee! Aibu nimeona mimi. 😒



Let's meet at top, cheers 🍻
 
Wanakuja kukuita Marioo kwa hasira😂😂😂...Jiandae mzee!!!

Hata Yesu alikuwa Marioo kwa Magdalena
Muhamadi alikuwa Marioo kwa Bi. Khadija

Kuliko uoe mwanamke asiye na bikra alafu malaya, ni bora uwe marioo.

Waache waje, wanawake weye pesa huwezi waona humu, wao hunifuata inbox
 
Mhhh!,hapo ss ndio tumekuelewa kwahiyo hata manzi ya kutafuna tuhakikishe ni bikra
 
Back
Top Bottom