Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mpo poah wakuu!

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu..

Tumerudi nyumbani, Moshi kama ilivyo ada, kwa wakazi wa moshi mjini, Nipo hapa Kibosho Road. Mimi ndio nilikuwa wakwanza kuja moshi kabla ya dogo ambaye amekuja jumapili ya wiki hii.

Sasa juzi jumanne Dogo katuweka kikao, akatuambia amepata mchumba na anafikiri kuwa huyo ndiye mke wake. Tukafurahi, Dingi akaagiza kreti ya bia ili kikao kikamilike.

Mama na Baba waliuliza maswali yote ya msingi kumhusu huyo mchumba wake, Dogo akayajibu vizuri sana, Wazazi walifurahi mno.

Kikao kilikuwa na watu kumi. Baba, Mama, ndugu zangu wanne, yaani mimi, kaka yangu, dada, na huyo dogo wetu wa mwisho mwenye mchumba, Baba mdogo na mke wake na watoto wadogo wawili wa baba mdogo.

Kwa vile ndugu zangu wakubwa wako bize, nikateuliwa mimi ndio siku yakwenda kutoa mahari basi mimi niwe bega kwa bega na dogo. Dogo alifurahi ukizingatia mimi naye tumenyang'anyana ziwa na tunapenda kichizi.

Katika hali isiyotarajiwa, hali ikavurugika, kutokana na swali langu nililouliza, Niliuliza hivi; Huyo mchumba wako ni bikra? Kama ni bikra nitaenda na wewe kutoa mahari, kama sio tafuta mwingine wakuenda naye.

Kauli hiyo ilileta ukimya kisha,kilichiofuata ni kelele kutoka kwa Dogo, kikao kikagawanyika katikati, wapo walioniunga mkono akiwepo Baba, Mama yangu, na Dada yangu, lakini Kaka Mkubwa, Baba mdogo na mama Mdogo wakaungana na Dogo.

Siku ikaisha, dogo akaondoka nyumbani akaenda kwa Baba Mdogo Anakaa Majengo.

Jana jioni karudi, amenuna mno, hataki kuongea na mtu. Nikamuita, tukazungumza kwa kirefu kama lisaa na nusu. Mbaya zaidi ananiambia huyo mrembo anamtoto mmoja. Hapo ndio nikawambia kabisa sio kwenye mahari tuu sitaenda,, hata kwenye harusi yako sitakuja, na wala sitakuja kwako kabisa, na wala usinihusishe na mambo ya nyumba yako.

Aliponiuliza kwa nini, nilimuelezea sababu nyingi sana, tuliongea mpaka saa sita za usiku

Leo asubuhi wakati tunapara kifungua kinywa, alizungumza maneno mafupi sana.
" Naombeni mnisamehe. Nimewaelewa"

Sikukuu ndio kesho, familia imeamua hakuna wakupinga.

Jokajeusi
Joka nimekujua kupitia hii thread 😀
 
Binadamu hasa wanaume tuna misimamo tofauti kama tulivyo tofauti.
Mtizamo wa mtoa mada hauwezi kuwa sawa na wengine pia wapo wanaochangia kwa unafiki wakimponda mtoa mada lakini wao pia kila siku wanawaponda single mothers humu kuwa siyo wa kuoa tena wengine wakisikia mtu anamtoto wanasema lazima baba wa mtoto awe amekufa na umeona kaburi lake sasa hiyo inatofautiana vipi na mtu anayependa kuoa bikra?

Kuna watu ni furahisha genge wanamitizamo tofauti ktk mada ileile moja kulingana na uzi na siku kaamkaje au ktk huo uzi watu wanaulekeo gani au mtu anayemhusudu ana anachngamana naye ametoa mawazo gani......kuna wengine labda wameoa single maza lakini hapa watakuja kuwaponda....wengine wengine wameoa ma bikra na ni shida huko ndoani lakini hapa watakuja kujitapa anyway ni part ya life wanasema bila unafiki maisha ya hayaendi.....kila mtu abaki na msimamo wake ili usije kulaumu watu........
 
Joka nimekujua kupitia hii thread 😀
huo ndo msimamo wake siku zote humu na mimi sioni shida as longer ni msimamo wake na kila mtu awe na msimamo wake...mbona mimi pombe sinywi na siwezi mpa, kopesha aukmuongezea mtu pesa ya pombe hata kama atanilipa kwa riba kubwa ni msimamo binafsi....
 
huo ndo msimamo wake siku zote humu na mimi sioni shida as longer ni msimamo wake na kila mtu awe na msimamo wake...mbona mimi pombe sinywi na siwezi mpa, kopesha aukmuongezea mtu pesa ya pombe hata kama atanilipa kwa riba kubwa ni msimamo binafsi....
Na wewe pombe unakunywa ? ?
 
huo ndo msimamo wake siku zote humu na mimi sioni shida as longer ni msimamo wake na kila mtu awe na msimamo wake...mbona mimi pombe sinywi na siwezi mpa, kopesha aukmuongezea mtu pesa ya pombe hata kama atanilipa kwa riba kubwa ni msimamo binafsi....
Sijaelewa point yako.

Umeelewa nilichosema?Au umekosea kuquote...
 
Kuhusu singo maza nitakuuunga mkono kwa kiasi fulani

Lakini hapo kwenye bikra mzeee umefeli jitathimini upyaaaa

Wewe badala ukemee uzinifu kama dhambi, una kazi ya kusema kwamba eti kulala na mwanamke ambaye hana bikra kwako sio issue sana, ila alie na bikra ndio issue sana

Sasa we jamaa ni empty set tu,

Umekazania kutoa hukumu tu kwa watoto wa watu na kukashifu masikini

Unakera aisee, hivi unajua kama kwenye hii dunia kuna watu wanateseka na dhiki kuuu na wala sio kwa kupenda wao.

Sasa kisa wewe umetengenezewa maisha na wazazi wako upo hapa kukashifu wengine.

Loooh? Huna lolote wewe

Hahahah!

Sasa unakataa single mother alafu muda huo unaoa asiye na bikra, hii akili matope
 
Alafu unasema ww ni mchaga na uongo wako

Acha shobo na makabila ya watu, wewe Mwenyewe umebebwa na mkeo hapo😏😏

🤣🤣🤣🤣

Aliyekuambia mimi mchaga ni nani?
Wewe ndio uache shobo na umzoga wako.

Uwe mchaga au uwe nani, kama huna bikra tafuta fisi wa kula mizoga, nani anashobo na uchafu
 
Binadamu hasa wanaume tuna misimamo tofauti kama tulivyo tofauti.
Mtizamo wa mtoa mada hauwezi kuwa sawa na wengine pia wapo wanaochangia kwa unafiki wakimponda mtoa mada lakini wao pia kila siku wanawaponda single mothers humu kuwa siyo wa kuoa tena wengine wakisikia mtu anamtoto wanasema lazima baba wa mtoto awe amekufa na umeona kaburi lake sasa hiyo inatofautiana vipi na mtu anayependa kuoa bikra?

Kuna watu ni furahisha genge wanamitizamo tofauti ktk mada ileile moja kulingana na uzi na siku kaamkaje au ktk huo uzi watu wanaulekeo gani au mtu anayemhusudu ana anachngamana naye ametoa mawazo gani......kuna wengine labda wameoa single maza lakini hapa watakuja kuwaponda....wengine wengine wameoa ma bikra na ni shida huko ndoani lakini hapa watakuja kujitapa anyway ni part ya life wanasema bila unafiki maisha ya hayaendi.....kila mtu abaki na msimamo wake ili usije kulaumu watu........

Si ndio hapo.

Kila mtu ana miiko yake.
Wakati single mother wakisemwa vianamke visivyo na bikra lakini havina watoto vinachekelea,

Sasa nikija mimi fagio la chuma nikiwasomba wote, kelele mingi.

Kila mtu na miiko yake, siwezi kumlaumu nzi kwa kupenda kinyesi wakati ndio asili yake,
Waambie waache unafiki hawa wehu
 
Kooo za hivi zinazooona MABORITI KWENYE MACHO YA WATU...Wao wakijifanya Ni wasafi Sana...SIO HATA ZA KUOLEWA NAZO.

Na sisi hatutaki koo zenye umalaya damuni, natamani siku ukutane na ndugu yangu yoyote alafu akulete home, nafikiri utajuta hiyo siku.

Boriti Boriti, huyo aliyesema mwenyewe kazaliwa na bikra alafu anawachota akili wapumbavu
 
L
Kwa hiyo familia yenu ina wataalamu wa kupima bikra? manake demu akijipanga nyie ndugu mtabishaje kama anayo au hana?
Njoo uolewe ndio utapata majibu ya maswalli yako.

Njoo upande na moja ya vijana wa koo yetu alafu huna bikra alafu utakuja kutoa mrejesho humu
 
Back
Top Bottom