Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Basi utakuwa hujaielewa mada. I am sorry for u. Halafu wewe uliyefika Class 7 usidhani wote.

Wewe mwehu kweli, yaani nitoe mada alafu nisiielewe.
Nimesahau kuwa wapo wanawake ambao wametolewa bikra zote hadi za ubongo, hivyo naanza kukuelewa
 
Ndoa yangu inamiaka nane sasa nimeoa 2013 nina mtoto sasa anamiaka 5, unataka nikue mpaka miaka mingapi?
Nina miaka 30+

Kama ndivyo tuambie

Bikra hutoka/hutolewa katika mazingira yapi kwa uchache?

Namaanisha mambo gani yanaweza kusababisha mwanamke/mtoto wa kike apoteze bikra yake?
 
Siku yako ipo na hautaamini.
Mwanamke sio kiumbe Cha kukiwekea dhamana utaachiwa manyoya.
Ila uenda mkeo SIO MZURI.
Ndo maana unajisifu.
Mwanamke mzuri kumkuta na bikra Ni nadra.
Mimi siwezi ishi na mtu bila kumchunguza, soma nyuzi zangu za nyuma 2014.

Watu wanasema mwanamke hachunguzwi lakini sio kwangu, mimi huwezi kuwa hata rafiki yangu bila kukuchunguza, yaani kila siku lazima nihakikishe nakuchunguza.

Siwezi ishi na mtu nisiyejua anafikiria nini na anafanya nini, labda niwe maiti
 
Wapo wanaonijua humu, wewe kama umenijua leo unahaki,

Nakushauri kama huna bikra, tafuta zee lililochoka maisha ndio likuoe ili usije wapa vijana mikosi

Huna Haja ya kupaniki

Simamia hoja yako kwa kutoa majibu sahihi
 
Kama ndivyo tuambie

Bikra hutoka/hutolewa katika mazingira yapi kwa uchache?

Namaanisha mambo gani yanaweza kusababisha mwanamke/mtoto wa kike apoteze bikra yake?

Bikra hutolewa kwa mwanamke kujamiana na mwanaume, au kutumia sex machine kujiingiza ukeni,

Hizo za kusema bikra kutolewa na baskel ni uongo wa kutupa na washamba wasiowahi kuzitoa hizo bikra.
 
Ulithibitishaje kuwa aliolewa akiwa bikra...

Huyo ni mshamba hana anachojua, bikra huthibitishwa na mtu mmoja, yaani mwanaume aliyemlala binti bikra..
Wanaume wengine hudanganya wenzao vijiweni ili wapate ujiko, naona huyu naye kadannganywa
 
Back
Top Bottom