Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Mkuuu...INATOSHA KUSEMA MUNGU HUMJUI...

Kama huyo Mungu alikuruhusu Wewe kuzini....Kisha okomalie bikra ya WANAWAKE..

Mimi Nadhani MAswala Ya MUNGU HUYAJUII..
BALI UMESIMAMA KWENYE MUNGU WA BIKRA YA MWANAMKE.

Nimeshatoa somo hapo juu kama hujaelewa uzi tangu mwanzo mpaka sasa hivi nachelea kusema mungu wako ni kahaba ni tofauti na wangu
 
Ninyi msio na bikra ndio mmechoka na kuuona ni upuuzi, wenye bikra na walioolewa na bikra wanaona ni jambo zuri.

Kwa hiyo inategemea upo upande gani.
Kama ni malaya lazima utetee malaya wenzako
Kama sio malaya huwezi tetea

Nilishasema hata angekuwa mama yangu, kama hakuolewa akiwa hana bikra basi ni malaya. Niseme mara ngapi hivyo.

Umalaya hauna excuse,

Vijana msioe mwanamke asiye na bikra, ashumuni huyu ndio mke wenu kisha jioneeni

MUNGU WANGU!! unamuita mama yako malaya for few likes za Jamii forums?? WEWE UMEPINDA more than i thought,

Kwa heri! naona nimethibitisha maneno yangu mwenyewe kuwa una hatrage na wanawake...duuh

NI HIVII WEWE MPUUZI, ANZISHA POLL WANAUME WA JAMII FORUMS UONE WANGAPI WAMEOA BIKIRA AMA MAHUSIANO WALIYONAYO NI YA MWANAMKE BIKIRA...!!!???!!!

LABDA UKICONFIRM MWENYEWE BIKIRA IS NOT THAT RELEVANT NA KWAMBA HIZI TOPICS ZAKO ZINAKU POTRAY KUWA UNAISHI ULIMWENGU WA KUFIKIRIKA AND YOU ARE DELUDED PERSON THEN UTATUPUNGUZIA MASHUDU YAKO YA KUHUSU BIKIRA,

Nahisi naweza kuacha huu mjadala uendelee..maanake khaaaaaa
 
Wanawake katika vitabu vya dini mnakipaumbele sana cha kuwa wasafi kuliko wanaume amini hilo. Ndio maana maandiko yakasema "" Katika Mwanamke nimeweka uzima na Kifo"" yaani katika Mwanamke kuna uumbaji na maangamizi vyote vimo ndani yenu.

Wanawake mnanafasi kubwa sana katika ulimwengu wa kiroho kuliko wanaume , wanawake wanatakiwa kuwa katika hali takatifu sana kuliko wanaume.
Ukitaka uamini hilo rudi bustani ya Eden, halafu jiulize nani alianza kusababisha matatizo yote tunayopata sasa hivi, jibu ni Mwanamke .
 
Nina swali:

Aliyeowa mwanamke bikira but mwanamke ni mpagani (hamjui Yesu) na
Aliyeowa mwamke asiye bikra ila mwanamke kampokea Yesu kua mwokozi wake (kajengeka kiimani)

Yupi mjanja/ yupi atakua na Ndoa nzuri zaidi.
Ni rahisi mwanamke asiye Mkristu kuwa Mkristu ila haiwezekani mwanamke asiyekuwa bikra kuwa bikra. Ninafikiri umepata jibu.
 
Tupe kifungu hiko kinachosema mtu aoe mtu mke mmoja.

Askofu pekeake ndiye aliyeambiwa lakini wengine wanaweza kuoa mke zaidi ya mmoja. Wewe umesoma biblia ipi hiyo?

Hebu kaisome 1wakorintho 7:1- alafu uje tena
 
MUNGU WANGU!! unamuita mama yako malaya for few likes za Jamii forums?? WEWE UMEPINDA more than i thought,

Kwa heri! naona nimethibitisha maneno yangu mwenyewe kuwa una hatrage na wanawake...duuh

NI HIVII WEWE MPUUZI, ANZISHA POLL WANAUME WA JAMII FORUMS UONE WANGAPI WAMEOA BIKIRA AMA MAHUSIANO WALIYONAYO NI YA MWANAMKE BIKIRA...!!!???!!!

LABDA UKICONFIRM MWENYEWE BIKIRA IS NOT THAT RELEVANT NA KWAMBA HIZI TOPICS ZAKO ZINAKU POTRAY KUWA UNAISHI ULIMWENGU WA KUFIKIRIKA AND YOU ARE DELUDED PERSON THEN UTATUPUNGUZIA MASHUDU YAKO YA KUHUSU BIKIRA,

Nahisi naweza kuacha huu mjadala uendelee..maanake khaaaaaa

Wewe ndio kichwa maji kweli, Kwa hiyo Mama yako akiuza pochi manyoya yake pale kaumba, kisa ni mama yako ndio sio Malaya?

Nimeshasema hata kama ni Mama yangu, kama hakuolewa na bikra ni malaya tuu na huo ndio ukweli.

Wewe utaendelea kutetea fisi wenzako hapa kuhalalisha umalaya unaoufanya
 
Kwa Agano Jipya la sasa bado mimi naona unajisi si kitu cha kutisha.
Na mwanamke kufanywa kahaba kwa kuvunjwa Bikira yake kabla ya Ndoa bado si kitu cha kutisha, kwani Tunae Yesu Kristo.. ambaye huwapa wamwaminio Pendo lake na kutufanya kuwa wapya.
Shida kubwa hapa ni watu kushiriki tendo la ndoa nje ya ndoa. Trust me, kama tungekuwa tunashiriki tendo la ndoa ndani ya ndoa pekee, kila mmoja angeoa na kuolewa na bikra.
 
Mimi simjui huyu mungu mshenzi anayetaka tuoe takataka.

Mungu ninayemjua aliyeumba mbingu na nchi aliyetaka watu waoe wasichana bikra ndiye ninayemtambua.

Huyo mngu mzoga ambaye ni kigeuuge simjui, yaani Mungu aseme hivi alafu kesho aseme vile huyo si atakuwa mungu mpuuzi tuu.

Makahaba wana mungu wao, sishangai
Tena maandiko yakasema , Kila mwanaumume na ajitwalie na kunywa divai katika kikombe chake mwenyewe kisicho na unajisi ,
 
kuna uwezekano mkubwa kuwa atapewa wa kufanana naye.
Wakufanana nae..Ni mzinifu....Hata Joka jeusi kapewa wakufanana nae AMBAE NI MZINIFU...

lakini yeye anajifanya kana Kwamba amependelewa Sana...
 
Tupe kifungu hiko kinachosema mtu aoe mtu mke mmoja.

Askofu pekeake ndiye aliyeambiwa lakini wengine wanaweza kuoa mke zaidi ya mmoja. Wewe umesoma biblia ipi hiyo?
Mimi Sio wa Dini hiyo....kwakweli..Sijui maandiko yenu kiundani
 
Mimi..sijasoma...ila nachosema Ni kwamba..Kujitunza Ni jambo zuri Sana..

Ila Mwenyezi Mungu nimsamehevu anasemahe.....kila KITU..

Huyo Huyo Mungu anasema Tusikae kushughulishwa na.Mazambi ya watu wengine ...

Hakuna mkamilifu Huyu anakazana na kuona UZINIFU wa WANAWAKE....Yeye Hana ukamilifu kwani nae Ni mzifu..

Pia anamadhambi Mengi Sana ambayo yeye MWENYEWE anajua..

Mungu humpa Yule amtakae..Kuna watu Ni wadhambi Sana lakini bado Mungu akawabariki Sana...mfano FARAO.

Kwaiyo...nikweli Mungu anatutaka kujitunze...lakini PIA HAWEZI KUTUNYIMA wenza.. kwasababu HAKUNA Mwanadamu aso dhambi...
Anachofanya mleta mada ni kusimamia what is right. Suala la kwamba ni mdhambi au la ni juu yake na Mungu wake.

Tujadili hoja zake, tusimjadili mtu. Kushiriki tendo la ndoa nje ya ndoa ni jambo la aibu kwa wahusika na linamchukiza Mwenyezi Mungu. Na hii ndiyo inapelekea watu kuingia kwenye ndoa bila bikra.

Sote tulipinge kwa umoja wetu bila kupepesa macho.
 
Wewe ndio kichwa maji kweli, Kwa hiyo Mama yako akiuza pochi manyoya yake pale kaumba, kisa ni mama yako ndio sio Malaya?

Nimeshasema hata kama ni Mama yangu, kama hakuolewa na bikra ni malaya tuu na huo ndio ukweli.

Wewe utaendelea kutetea fisi wenzako hapa kuhalalisha umalaya unaoufanya

Ningekuwekea Poll pale, tumalize this matter once and for all...ila why should i even waste my time for DELUDED,SELF-CENTRED IDIOT?? nakuachia mjadala wako..namaanisha this is my last post to you khaa,....
 
Hebu kaisome 1wakorintho 7:1- alafu uje tena

1Korintho 7
1.a sasa kuhusu mambo mliyoniandikia. Ni vizuri mtu asioe. 2 Lakini kwa kuwa dhambi ya zinaa imeenea, kila mwanamume awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke awe na mume wake mwenyewe.

kumbukumbu 21:
15 Ikiwa mtu ana wake wawili, mmoja ampenda, mmoja hampendi, nao wamemzalia watoto, ampendaye na asiyempenda wote wawili; na yule mzaliwa wa kwanza akiwa ni wa mke asiyependwa; 16 ndipo itakapokuwa ya kwamba siku atakayowarithisha wanawe alivyo navyo, asimweke mwana wa ampendaye kuwa mzaliwa wa kwanza mbele ya mwana wa asiyempenda, naye ndiye mzaliwa wa kwanza huyu; 17 lakini amkubali mzaliwa wa kwanza mwana wa yule asiyempenda, kwa kumpa mafungu mawili katika vyote alivyo navyo; kwa maana ndiye mwanzo wa nguvu zake; haki ya mzaliwa wa kwanza ni yake yeye.

Kisha hapo ujue kipi ni TORATI na kipi ni INJILI
 
Aiseee, inawezekana ni kweli.. Na vipi kuhusu sisi wanaume? Inatakiwa wanawake waolewe na wanaume ambao hawajawahi kunyandua?
Kweli hili nalo ni muhimu sana kujua
Kwa asili ya uanaume Mungu tangu mwanzo hakuwa akimuhesabia/kum-limit sana ila alikuwa anamuadhibu pale alipokuwa anaenda nje ya sheria zake na mwanamke hakuwa na kipaumbele that's why utakuta hata baadhi ya mifano kwenye agano jipya Yesu alipokuwa anawalisha watu mikate huandikwa/imeandikwa “Wakala wanaume wapatao elfu tano” tudhani kwamba mwandishi nafasi ilim'bana ikakosekana nafasi ya kuandika “pamoja na wanawake kadhaa?”,hii iko planned kabisa na naamini wanawake kwa asili yao kwenye hiyo mikutano ya Yesu walikuwa wengi kuliko wanaume.

Pia naamini Mungu hakutaka na hili kwa wanaume lifanyike maana uwongo ungekuwa mwingi sana,hivi ni kwa namna gani mwanamke atatambua mwanaume ni bikra?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unasoma biblia Huyo Mungu anakataza kuona maboriti kwenye macho ya wengine..

Nahuyo huyo anasema Ya kale yamepita na yoote yamekuwa Mapya..(Kama nimepatia..)..

Kwaiyo atakae mtegemea Mungu.awe mzinifu awe jambazi awe muuwaji...Mungu humjibu Dua zake..

Hata huyo KAHABA akiamua kuacha na Kufanya Toba ya KWELI...Mungu anaweza mpa mume mzuri tu.

So Kama Ni Mungu asijadiliwe kwenye mlango mmoja TU...

Mungu hajaacha kuwapenda watenda dhambi hata SIKU MOJA...
NANI ASIE NA DHAMBI KATIKA MGONGO WA ARDHI?
Hizo aya zimetukataza kuwakosoa wenzetu akwa lengo la sisi kujikweza. Biblia imeweka wazi umuhimu wa kukemeana pale wenzetu wanapoenda kinyume na utaratibu mwema. Soma Biblia na uitafakari vizuri bila kupotosha.

Mungu hawachukii watenda dhambi ila ujue kuwa anaichukia dhambi. Hivyo usitende dhambi kwa kuwa unajua hakuchukii, huko ni kutumia vibaya upendo na fadhila za Mungu which is sin in itself.

Usipokemea uovu na wewe unakuwa umeshiriki kwenye uovu kwa "dhambi ya kutokutenda". Dhambi nyingi tunazitenda kwa kutotenda chochote kuzuia uovu.

Kemea uovu, Mungu anachukizwa na dhambi.
 
Ningekuwekea Poll pale, tumalize this matter once and for all...ila why should i even waste my time for DELUDED,SELF-CENTRED IDIOT?? nakuachia mjadala wako..namaanisha this is my last post to you khaa,....

Utajua mwenyewe kwani mimi ndio nilikuambia ujiunge JF, au nilikununulia hiyo handset yako? Au nimekuwekea Bundle?

Wewe kichaa kweli, ati the last post, nani anajali hata usingekoment kabisa?

Mada hii inawahusu vijana wasirukie mizoga, wewe nilikuwa nakujibu ili nawe utulize huo uchungu wako wa matendo ya hovyo.

Pumzika kwa amani, tena ingefaa ungesema unapumzika kufanya uchafu pengine ningekuona wa maana lakini sio kunitisha upuuzi
 
Back
Top Bottom