Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Kutwa kuwasema wanawake hawana bikra.

Mnataka traditional feminine woman lakini hamtaki kuwa traditional masculine men, who provide.

Una-advocate wanawake wawavumilie wanaume kama hawana hela lakini by default mwanaume kama huna hela ni kwamba huwezi ku-provide so YOU ARE NOT MASCULINE ENOUGH kupata traditional woman who is a virgin.

Unachokiongea hapa kiltakiwa kisemwe na kina Elon Musk na kina Diamond.

Wewe kapuku achana n hizo story. Dunia imebadilika mkuu.

Plus, acha kuwasikiliza kina Andrew Tate
 
Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra mwanaume wake wa 10 kuwa kwenye mahusiano naye kabla yako kama atamkumbuka, nina hakika hawezi kumkumbuka.

Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa iko kichwani mwake kama tukio la jana tu.

Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata

  • Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?​
  • Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.​
  • Wewe uliye kwenye mahusniano na mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?
  • Una uhakika hiyo mimba ni yako?
  • Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weakness ya mkeo? Wakiamua kutia kambi hachomoi?
Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well

Learn or perish
You're very desperate for attention bro.

Nani kakwambia ukiandika kwa font size ya kawaida hatuto-ona ulichoandika.
 
Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra mwanaume wake wa 10 kuwa kwenye mahusiano naye kabla yako kama atamkumbuka, nina hakika hawezi kumkumbuka.

Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa iko kichwani mwake kama tukio la jana tu.

Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata

  • Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?​
  • Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.​
  • Wewe loser uliye kwenye mahusniano na mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?

  • Last man una uhakika hiyo mimba ni yako?

  • Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weakness ya mkeo? Wakiamua kutia kambi hachomoi?
Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well

Learn or perish
Kuna matatizo yunayatengeneza, alafu yanakuja ku-backfire kama hivi
 
Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra mwanaume wake wa 10 kuwa kwenye mahusiano naye kabla yako kama atamkumbuka, nina hakika hawezi kumkumbuka.

Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa iko kichwani mwake kama tukio la jana tu.

Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata

  • Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?​
  • Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.​
  • Wewe loser uliye kwenye mahusniano na mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?

  • Last man una uhakika hiyo mimba ni yako?

  • Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weakness ya mkeo? Wakiamua kutia kambi hachomoi?
Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well

Learn or perish
Bikra ni kitu muhimu na cha thamani sana.

Watu husema sikuiz hamna bikra ila mimi naamini bikra wapo wengi tu tena wengi mno.
 
FB_IMG_1729332781854.jpg
 
Bikra Maria.....ndo kielelezo cha usafi hata Mungu anajua umuhimu wa bikra ndomaana akachagua tumbo la mwanamke bikra Maria ili aje duniani kutuokoa na dhambi...

Kama mkeo sio bikra iyo ni taasisi au kampuni na sio ndoa ndoa ni safi kuanzia mwilini mpaka mwilini ukidate na ginjaginja huwezi kufeel kama upo kwenye ndoa bali upo kwenye kampuni ambayo watu wengi wamefanya kazi na kupewa lidandasi na wengine waliaamua kuacha wenyewe kutokana na mazaifu ya taasisi......
 
Kama mkeo sio bikra iyo ni taasisi au kampuni na sio ndoa ndoa ni safi kuanzia mwilini mpaka mwilini ukidate na ginjaginja huwezi kufeel kama upo kwenye ndoa bali upo kwenye kampuni ambayo watu wengi wamefanya kazi na kupewa lidandasi
Losers na last men watakataa hapa lakini moyoni wanakubali ulichoandika
 
Muulize huyo mkeo uliyemuoa akiwa sio bikra mwanaume wake wa 10 kuwa kwenye mahusiano naye kabla yako kama atamkumbuka, nina hakika hawezi kumkumbuka.

Ila muulize jina la aliyemtoa bikra atakutajia hata majina yote 3 na the whole process mpaka akabikiriwa iko kichwani mwake kama tukio la jana tu.

Sikuzote jina lake limejichora katika akili yake mpaka anaingia kaburini kwa sababu mwanamke huwa hamsahau mwanaume aliyembikiri. Mwamba kaacha chata

  • Kumbuka inawezekana wanaume hata watano au zaidi wakazaa naye ila ni mwanaume mmoja tu ndiye aliyemtoa bikira. Sijui wewe loser kama umeielewa hiyo sentensi?​
  • Anaweza kulala na wanaume zaidi ya watatu na asimjue aliyemtia mimba lakini kamwe hatamsahau aliyembikiri.​
  • Wewe loser uliye kwenye mahusiano na mwanamke asiye bikra, una uhakika huyo mtoto/watoto ni wako?

  • Last man una uhakika hiyo mimba ni yako?

  • Je, unatambua kuwa kuna wanaume wengi ambao ni ex zake wanajua weakness ya mkeo? Wakiamua kutia kambi hachomoi?

Wewe uliyeoa mwanamke asiye bikira you are a last man you are a loser as well

Learn or perish
Wanawake bikra wapo vijijini huko mara nyingi Hawa tunawaharibu akili Sisi wenyewe WANAUME lakini ukipata bikra umeshinda game la kucheat Kwa asilimia 90
 
Walioa wanawake ambao hawakuwakuta bikra mada kama hizi huwa zinawaumiza sana😂
Wameoa malaya sasa wanajionea changamoto kwenye ndoa zao

Amini nakwambia hakuna mwanaume aliyeweza kumgeuza mwanamke malaya (non-virgin) akawa mke (house wife) akafanikiwa

Angalia nyuzi zao wakilalama humu

Once you are a loser you are a loser forever
 
Back
Top Bottom