Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Maana ya Mwanamke Bikra, Kuwa na Mahusiano/Kuoa Mwanamke Bikra

Wanaume wenzangu mnawezaje kuoa mwanamke alikwishatumika? Uwa nawaza sana ni kwamba huyo uliemuoa used ni ana hela sana? Au mzuri sana kiasi kwamba unaachaje mali mpya unanunua used??? Kila nikiwa kwenye mahusiano na demu kimoyo moyo wakati wa show uwa najisemea "huyu mpaka akaolewe si atakua kaishatumika sana? Na uwa nawakaza sana kila style ili mabwege yaje kuoa used"
Kwani wewe hujatumika mzee? Mayuzdi yamekutana barabaran ucjali. Bikira bongo zipo Leba tu
 
Mimi sijaoa, naona kuna watu wanalazimisha ili wafurahishe nafsi zao.

Nitaendelea kuwapinga sana kwenye hizi mada.

Africa ni bara lenye backward people.
 
Wanaume wenzangu mnawezaje kuoa mwanamke alikwishatumika? Uwa nawaza sana ni kwamba huyo uliemuoa used ni ana hela sana? Au mzuri sana kiasi kwamba unaachaje mali mpya unanunua used??? Kila nikiwa kwenye mahusiano na demu kimoyo moyo wakati wa show uwa najisemea "huyu mpaka akaolewe si atakua kaishatumika sana? Na uwa nawakaza sana kila style ili mabwege yaje kuoa used"
Kwa hiyo wewe haujaoa au umeoa?
Tuanze na swali hilo kwanza.
Ukijibu ndiyo ntatiririka.
 
Mali used ni nafuu na imara, tuulize sisi Mawinga wa K. Koo
 
Ng'wanangwa Nikifa MkeWangu Asiolewe huyo mdogo wetu nadhani ana kaushamba fulani, kwa sababu kumdanganya kila msichana nitakuoa hapo anakuwa Anasema uongo. Na sijui status ya maisha ya mdogo wetu iko Vipi? Maana kama anajiweza kujihudumia kwa kila kitu basi akili ya Mwanamke na yeye akili yake huwa inawaza huyu Mwanaume ananifaa.

Zingatia ananifaa (Sio kwa ndoa lakini ila ananifaa kwa ajili ya mahusiano, showoff tu)

Lakini kiuhalisia Mwanamke wa sasa hajui ni nini anachokitaka kwa sababu asilimia kubwa ya wanawake huwa anapenda sana mahusiano ya kimapenzi kuliko ndoa.

Ushauri kwa mdogo wetu mwambie asiwe anapenda kujipendekeza kwa kutoa ahadi zisizotekelezeka. Maana ukiangalia mahusiano yake na hao mabinti naona hakuna hata mmoja wa kuoa hapo.

Lakini kama yeye anataka kuoa afanye maamuzi sio kuendelea kuwashikilia wasichana wote watatu hapo ni pagumu maana inakoelekea atajikuta anawapoteza wote hao hasa wakija kugundua wote wapo kwenye mahusiano na mtu mmoja.

Halafu la mwisho kumjua mwanamke kiundani zaidi ni lazima uwe umeshamuoa sio upo naye tu kwenye mahusiano ya kawaida. Atakuletea kila aina ya maigizo na wewe ukaamini anakufaa.

Mwambie mdogo wetu moyo wake unampenda na Unaridhika na nani kati ya hao Watatu. Baada ya hapo awe serious achukue maamuzi ya kuoa.

Awe serious tu kuwadanganya wote watatu huo ni uongo na anajipotezea muda wake na anajiingiza kwenye ma Lawama tu.
 
Rudi kwa dada yenu mkubwa yule anayeweza kukuzaa😀😀 akamtafutie na dogo mbona wewe alikutafutia!!!

#Kataa ndoa,ndoa ni utapeli!
 
Back
Top Bottom