Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

Maana ya neno hallelujah Diamond Platnumz amekosea kulitumia?

Unajua nyie watu mmekaririshwa na wala hamjui mnachoongea!!!

Mosi, Hallelujah is just a word lililotokana na Kigiriki na Kihebrania ambazo lugha zake zimetumika sana kwenye Bible. Tafsiri ya hilo neno ni "Tumsifu Mungu" kwa Kiswahili au Praise to the Lord kwa Kiingereza.

Kama ukisema neno la kumsifu Mungu unapata thawabu 1000, basi ukisema "Tumsifu Mungu" utapata thawabu 1000 na ukisema Hallelujah utapata thawabu zile zile 1000 cuz' Hallelujah is just a word!!!

Neno linalotumika na Waislamu (read Arabs) sio Allah Akbar kama ulivyotoa mfano wako wa Padri kanisani bali Alhamdulillah! Tafsiri ya neno Alhamdulillah in English ni Praise be to God, kwa Kiswahili Ahsante Mungu!!! Unatumia hilo neno kwa kumshukuru Mungu kwa kile alichokupa au kufanya.

And YES, Arab Christians wanasema Alhamdulillah kwa sababu, that's just arabic world linalotumika kumsifu au kumshukuru Mungu kama ambavyo Mgiriki angemshukuru Mungu kwa kusema Halleluyah hata kama yeye sio Mkristo au kama ambavyo Diamond alivyomsifu Mungu kwa kumpa mwanamke mzuri lakini yeye hakutumia Kiswahili bali ametumia neno la Kiingereza lililotoholewa kutoka kwenye Kihebrania.
Alhamdu lilah maana yake NAMSHUKURU ALAH.....sio sawa na kusema praise the lord.....maana yake tumsifu bwana....ALAH AKBAR maana yake MUNGU MKUBWA..ALAH ni mkubwa mkubwa.. .haluluyah maana yake ni tumsifu bwana ..sasa nakuuliza KANISANI SEMA ALAH AKBAR kama hujatolewa nje....kwa MAKOFI...hvyo ni vitu viwili tofauti...ALAH ni MUNGU ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa .wala hana mshirika.....unapomfananisha na halelujah nashindwa kukuelewa mkuu..helulujah ni MUNGU aliyepigwa MAKOFI msalabani....ni tofauti na ALAH...ALAH hakuna mwanadamu aliyewahi kumuona...wala kusikia sauti yake zaidi ya MOSES...TU..ila anauwezo wa kusema kuwa na ikawa...anajuwa mwanzo na mwisho....ana yajuwa yaliyo wazi na siri zetu zote...
 
ac79e673900816a880b7419ebedbf26b.jpg


Zawadi Lupelo

Wanajamvi salamu kwanza!

Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna lilivyotumika ni maoni yangu kwamba limetumika kimakosa katika wimbo huo ambao ni wa mapenzi hasa ukizingatia maana ya msingi ya neno ambapo huwa linatumika kwenye ibada katika kumsifu Mungu ni neno linalomaanisha "Mungu apewe sifa".

Ni neno ambalo linaenda sambamba na maneno Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo na kadhalika huko makanisani kufikia hatua ya kulitumia hili neno kwenye wimbo wa mapenzi katika muktadha wa Diamond Platnumz ni kufeli kwake katika uteuzi wa maneno.

Haiwezekani umezungukwa na mademu wapo nusu uchi unaimba Hallelujah huku ni kuitweza imani na utukufu wa Mungu.

Ni matumaini yangu wakati mwingine atakuwa makini kwenye kuchagua maneno ya kutumia ili kuhakikisha haleti mkanganyiko wowote.

I rest my case.

Zawadi Lupelo.
Hamna alichokosea,ukisikiriza mashairi ya wimbo,Luna sehemu,ni kama anamsifia mwanamke,na kwa uzuri alionao," she makes me say haleluya"haina tofauti unapomuona mdada kapendeza,au ana uzuri usio na kifani,kwa mwashangao ukasema," oh my God she is beautiful" au Jesus Christ du! Mungu ameumba,au Da! Mtoto Mashaalah!,sasa usikimbilie kunyofoa neno moja ukaritafsili kama wimbo,jaribu kutafsili concept iliyofanya hilo neno litumike,
 
Kwanza mkuu unatakiwa utambue kwamba kila kitu kina sababu,
kwahiyo unaposema Mungu apewe sifa unatakiwa ujiulize "apewe sifa kwaajili gani?"
anhaa maybe kwa kukuzawadia kitu flani,

okay hata kwa diamond, unatakiwa ujiulize amesema Mungu apewe sifa kwaajili gani? ndipo jibu linakuja
'Apewe kwaajili ya kumpatia zawadi ya Mwanamke mzuri ambaye ndiye anayemsifia ndani ya huo wimbo!...'

Vilevile unatakiwa ukumbuke kwamba Mapenzi sio dhambi, na kumshukuru Mungu na kumtukuza kwa zawadi aliyokupatia pia sio dhambi.
Usipomkumbuka Mungu kwa vitu vidogo basi hata kwa vikubwa hautomshukuru..

HALELLUJAH......
Ulipoteleaga wapi ww jamaa
 
ac79e673900816a880b7419ebedbf26b.jpg


Zawadi Lupelo

Wanajamvi salamu kwanza!

Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna lilivyotumika ni maoni yangu kwamba limetumika kimakosa katika wimbo huo ambao ni wa mapenzi hasa ukizingatia maana ya msingi ya neno ambapo huwa linatumika kwenye ibada katika kumsifu Mungu ni neno linalomaanisha "Mungu apewe sifa".

Ni neno ambalo linaenda sambamba na maneno Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo na kadhalika huko makanisani kufikia hatua ya kulitumia hili neno kwenye wimbo wa mapenzi katika muktadha wa Diamond Platnumz ni kufeli kwake katika uteuzi wa maneno.

Haiwezekani umezungukwa na mademu wapo nusu uchi unaimba Hallelujah huku ni kuitweza imani na utukufu wa Mungu.

Ni matumaini yangu wakati mwingine atakuwa makini kwenye kuchagua maneno ya kutumia ili kuhakikisha haleti mkanganyiko wowote.

I rest my case.

Zawadi Lupelo.
Halleluyah!!! Mumuache diamond anaeitumia akili yake yote na kujitaftia riziki!! Hivi hamuoni vingapi vizuri alivofanya au hadi akugawie mikate?
 
Alhamdu lilah maana yake NAMSHUKURU ALAH.....sio sawa na kusema praise the lord.....maana yake tumsifu bwana....ALAH AKBAR maana yake MUNGU MKUBWA..ALAH ni mkubwa mkubwa.. .haluluyah maana yake ni tumsifu bwana ..sasa nakuuliza KANISANI SEMA ALAH AKBAR kama hujatolewa nje....kwa MAKOFI...hvyo ni vitu viwili tofauti...ALAH ni MUNGU ambaye hakuzaa wala hakuzaliwa .wala hana mshirika.....unapomfananisha na halelujah nashindwa kukuelewa mkuu..helulujah ni MUNGU aliyepigwa MAKOFI msalabani....ni tofauti na ALAH...ALAH hakuna mwanadamu aliyewahi kumuona...wala kusikia sauti yake zaidi ya MOSES...TU..ila anauwezo wa kusema kuwa na ikawa...anajuwa mwanzo na mwisho....ana yajuwa yaliyo wazi na siri zetu zote...
Namshukuru Allah ndo nini?! Kwanini unachanganya Kiswahili na Kiarabu?

Pili, huyo Allah unamshukuru katika mazingira yapi, au kwa maana nyingine ni katika mazingira yapi unasema Alhamdullilah?! Likewise, na hiyo "Tumsifu Bwana" uliyosema unamsifu katika mazingira yapi?!

Tatu, kwanini mtu kanisani aseme Allah Akbar wakati nimeshasema Praise the Lord/Hallelujah sio sawa na kusema Allah Akbar? Wakati huo unataka kutoa ujumbe gani unaposema neno Allah Akbar kama lilivyo?

Kwamba Hallelujah ni Tumsifu Bwana, mara kadhaa nimesema Hallelujah ni neno la Kiingereza lililotoholewa kutoka kwenye Hebrew. Tafuta historia ya hilo neno. In short, hayo ni maneno mawili; “Hallelu” na “Yah”. Kimsingi, neno halisi la Kihebrania ni "YHWH” na sio "Yah".

Lakini kwavile Kihebrania kilikuwa hakina Vowels, ndipo YHWH ikawa inaandikwa Yah, and most the times Yahweh with standard English translation being Jehovah!

YHWH sio Bwana kama unavyojaribu kusema kwamba Hallelujah ni Tumsifu Bwana. Na kama ni Bwana basi ni Bwana Mungu Mmoja mwenye sifa kuu ya uumbaji!!!

Sasa ni mgonjwa wa akili tu ndie anaweza kuthubutu kusema kuna Mungu zaidi ya mmoja mwenye sifa ya kuumba!! Kama Mungu mwenye sifa ya uumbaji ni mmoja TU basi Mungu huyo anaweza kusifiwa na kiumbe yeyote; awe Mkristo au Mwislamu; Myahudi au Budha! Na hata kama wanyama wa porini wana uwezo huo, nao wana haki hiyo kwa sababu hawa wote wameumbwa na Mungu yule yule!

Call Him Allah, Jehova, Mungu or whatever, hizo ni lugha tu na kwahiyo ni ubinafi usio na maana yoyote kwa kundi moja la watu kujiona ndio wenye haki ya kumtaja au kumtukuza Mungu aliyeumba kila kiumbe!!!
 
Namshukuru Allah ndo nini?! Kwanini unachanganya Kiswahili na Kiarabu?

Pili, huyo Allah unamshukuru katika mazingira yapi, au kwa maana nyingine ni katika mazingira yapi unasema Alhamdullilah?! Likewise, na hiyo "Tumsifu Bwana" uliyosema unamsifu katika mazingira yapi?!

Tatu, kwanini mtu kanisani aseme Allah Akbar wakati nimeshasema Praise the Lord/Hallelujah sio sawa na kusema Allah Akbar? Wakati huo unataka kutoa ujumbe gani unaposema neno Allah Akbar kama lilivyo?

Kwamba Hallelujah ni Tumsifu Bwana, mara kadhaa nimesema Hallelujah ni neno la Kiingereza lililotoholewa kutoka kwenye Hebrew. Tafuta historia ya hilo neno. In short, hayo ni maneno mawili; “Hallelu” na “Yah”. Kimsingi, neno halisi la Kihebrania ni "YHWH” na sio "Yah".

Lakini kwavile Kihebrania kilikuwa hakina Vowels, ndipo YHWH ikawa inaandikwa Yah, and most the times Yahweh with standard English translation being Jehovah!

YHWH sio Bwana kama unavyojaribu kusema kwamba Hallelujah ni Tumsifu Bwana. Na kama ni Bwana basi ni Bwana Mungu Mmoja mwenye sifa kuu ya uumbaji!!!

Sasa ni mgonjwa wa akili tu ndie anaweza kuthubutu kusema kuna Mungu zaidi ya mmoja mwenye sifa ya kuumba!! Kama Mungu mwenye sifa ya uumbaji ni mmoja TU basi Mungu huyo anaweza kusifiwa na kiumbe yeyote; awe Mkristo au Mwislamu; Myahudi au Budha! Na hata kama wanyama wa porini wana uwezo huo, nao wana haki hiyo kwa sababu hawa wote wameumbwa na Mungu yule yule!

Call Him Allah, Jehova, Mungu or whatever, hizo ni lugha tu na kwahiyo ni ubinafi usio na maana yoyote kwa kundi moja la watu kujiona ndio wenye haki ya kumtaja au kumtukuza Mungu aliyeumba kila kiumbe!!!
ALHAMDULILAH...Maana yake namshukuru MUNGU(ALAH)..na nimekuwekea ALAH kwenye mabano (MUNGU) ili uelewe...hapa Duniani kuna MUNGU wengi tu. Hata NJIWA..NA NG'OMBE pia kuna watu ni miungu yao....hyo PRAISE THE LORD....ni tunamsifu BWANA....na haifanani na NAMSHUKURU MUNGU..na hata ikiwa ina maana ya kumshukuru MUNGU? basi sio MUNGU HUYO ALAH...hyo ni MUNGU aliyepigwa VIBAO..na MATEKE. ..usipepese maneno...kama hayo maneno ni sawa. ..SEMA KANISANI ALHAMDULILAH kama hujafukuzwa ....usitetee VITU usivyovijuwa maana yake..au umeona wapi neno HALELUJAH likatamkwa MSIKITINI? hayo ni maneno ya dini mbili tofauti..wala hayafanani maana...wala wanayoyatumia...hata leo PADRI aseme alhamdulikah kanisani kama hamjahama kanisa.
 
Nilivoelewa mimi, Mond anampraise God kwa kuumba mtoto mzuri aliyemuimbia humo......"she makes me say......halelluyaaaa". So yupo sawa tu.
 
ac79e673900816a880b7419ebedbf26b.jpg


Zawadi Lupelo

Wanajamvi salamu kwanza!

Nimeusikiliza wimbo mpya wa Diamond Platnumz kwa makini sana. Kitu kilichonitatiza na kuja kunishughulisha hapa jamvini ni neno hallelujah na namna lilivyotumika ni maoni yangu kwamba limetumika kimakosa katika wimbo huo ambao ni wa mapenzi hasa ukizingatia maana ya msingi ya neno ambapo huwa linatumika kwenye ibada katika kumsifu Mungu ni neno linalomaanisha "Mungu apewe sifa".

Ni neno ambalo linaenda sambamba na maneno Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristo na kadhalika huko makanisani kufikia hatua ya kulitumia hili neno kwenye wimbo wa mapenzi katika muktadha wa Diamond Platnumz ni kufeli kwake katika uteuzi wa maneno.

Haiwezekani umezungukwa na mademu wapo nusu uchi unaimba Hallelujah huku ni kuitweza imani na utukufu wa Mungu.

Ni matumaini yangu wakati mwingine atakuwa makini kwenye kuchagua maneno ya kutumia ili kuhakikisha haleti mkanganyiko wowote.

I rest my case.

Zawadi Lupelo.
Ingekuwa neno linatumiwa na imani nyingine kingeshawaka wakristo in wastaarabu sana
 
Kuna nyimbo nyingi tuu duniani kote kwa ujumla yanatumika majina ya utukufu ya mungu na contents ya hizo nyimbo ni mapenzi tuu kwa hiyo hili sio la kushangaza hapa.

Kuna wengine humu humu wapenzi wao wanawaita ANGEL sio, malaika pia ni viumbe vya utukufu kwa walio na imani.

Kuna mchezaji mpira manCity anaitwa Jesus Hana hata maadili mkuu muhuni wa kutupwa sijui Kama havuti bangi yule.

Bob Marley, luck dude, Morgan heritage, Sade adu, Drake ana nyimbo inaitwa "6 GOD" hata hawa wataarabu hawa si wanasemaga mule Allhamdulilah au Mashaallah haya pia ni maneno ya kitukufu kwa hiyo sio big deal hapa.

Pata tuu burudani mkuu.
Hilo LA mchezaji umechemka
 
Kweli kabisa hilo neno haleluya ni kwa kwa ajili ya kumsifu Mungu muumba wetu. Sasa haipendezi mademu wapo nusu uchi et haleluya kweli haipendezi bora angetumia neno lingine sio haleluya so sad!
Ajabu watu wanamtetea
 
!
!
Neno lenye maana sawa na hilo kwenye dini yake halipo? Kwa nini asitumie maneno yanaopatikana kwenye dini yake? Kwa nini haikuwa Allah Huakbar
Kingeshawaka na hawa wanamtetea niwa imani yake ila ingeguswa imani yao saivi wako wcb wakiimba takbil
 
Mi nimetazama kwa jito tofauti kidogo...

NIMEONA KAMA ANASIFIA KAZI YA MIKONO YA MUNGU KWA HAO VIUMBE.... nikinukuu ulivyolitumia wewe.."Mungu apewe sifa"... NAAMINI ANASEMA APEWE SIFA KWA KAZI YAKE ILIVYOTULIA...

Ngali K
Why hakutumia hilo neno kupitia imani yake? Kwani halipo
 
Kwanza mkuu unatakiwa utambue kwamba kila kitu kina sababu,
kwahiyo unaposema Mungu apewe sifa unatakiwa ujiulize "apewe sifa kwaajili gani?"
anhaa maybe kwa kukuzawadia kitu flani,

okay hata kwa diamond, unatakiwa ujiulize amesema Mungu apewe sifa kwaajili gani? ndipo jibu linakuja
'Apewe kwaajili ya kumpatia zawadi ya Mwanamke mzuri ambaye ndiye anayemsifia ndani ya huo wimbo!...'

Vilevile unatakiwa ukumbuke kwamba Mapenzi sio dhambi, na kumshukuru Mungu na kumtukuza kwa zawadi aliyokupatia pia sio dhambi.
Usipomkumbuka Mungu kwa vitu vidogo basi hata kwa vikubwa hautomshukuru..

HALELLUJAH......
Mungu hachangamani na uovu.
 
Back
Top Bottom