King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Acha kutoa kasoro uumbaji wa Mungu.Lissu hajui lengo la Mbowe...
Anachokitaka huyo kengeza ni attention kimataifa ili zitoke fedha za ufadhili wa hayo maandamano...
Kengeza hajawahi kua serious na wananchi hata siku moja, kila anachofanya ni kwa maslahi binafsi...
Bado namshauri Tundu Lissu aangalie namna ya kukaa mbali na kengeza asichafuke.