Maandamano ni Sayansi: Mbowe siku nyingine ufanye kama ulivyoshauriwa na Lissu-x

Maandamano ni Sayansi: Mbowe siku nyingine ufanye kama ulivyoshauriwa na Lissu-x

Narudia tena na kukazia


Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.

Hata hao askari wenyewe ni waoga tu. Kama wasingekuwa waoga wangekataa kutumika na ccm.




Sisi tukomae na mipira, miziki, mitandao,mikeka ya kubeti, minguvu ya kiume na misambwanda
Useseme mtanzania. Waislam washaandamana sana tu. Wakati wanaandamana wanadai haki zao wasiokuwa Waislam wakidhihaki wakesema wakorofi. Hivi sasa wanataka kuandamana wanashindwa waanze vipi
 
Mbowe shenzi Sana

Mziki ulitakiwa uanzie palepale msibani yule mh ilitakiwa aanze kuchezea palepale Kisha lihamie polisi liendelee kuunguruma mpaka mkoani na hatimaye kitaifa

Sasa akaja na miwani yake pale kazuia watu wasipumue mwisho wa siku ndiyo hivyo
 
Siku ile uliyokusanya viongozi wote wa chama wa Pwani na Dar es Salaam, ulitakiwa kutangaza maandamano palepale muingie barabarani jioni ileile.

Ila ukang'ang'ana kuwa ni lazima kuomba kibali polisi. Gen Z waliomba kibali wapi? Haya sasa, kiko wapi?

Lissu-x atakuwa anacheka kimoyomoyo.
Maandamano sio wingi wa watu barabarani ni kufikisha ujumbe kwa walengwa. Kwa maandamano ya Polisi nchi nzima tangu wiki iliyopita ujumbe umefika vizuri mno!
 
Back
Top Bottom