King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Acha kutoa kasoro uumbaji wa Mungu.Lissu hajui lengo la Mbowe...
Anachokitaka huyo kengeza ni attention kimataifa ili zitoke fedha za ufadhili wa hayo maandamano...
Kengeza hajawahi kua serious na wananchi hata siku moja, kila anachofanya ni kwa maslahi binafsi...
Bado namshauri Tundu Lissu aangalie namna ya kukaa mbali na kengeza asichafuke.
twende taratibu...Akili za hivi tu ndo umchunguze Mbowe?
sorry ila huyo mtu wenu kila move anayofanya ni kwa maslahi yake kwanza.Acha kutoa kasoro uumbaji wa Mungu.
Kwanini unaita hii 'Tetesi' badala ya 'Ushauri'?Sikuile uliyokusanya viongozi wote wa chama wa Pwani na Dar es Salaam, ulitakiwa kutangaza maandamano palepale muingie barabarani jioni ileile.
Ila ukang'ang'ana kuwa ni lazima kuomba kibali polisi. Gen Z waliomba kibali wapi? Haya sasa, kiko wapi?
Lissu-x atakuwa anacheka kimoyomoyo.
Watu hawajabanwa wala hawajaunganishwa kwa issues na wanasiasa world wide sio wa kuaminika..., kwahio kama itakuwa issues (mfano Kenya Gen Z na wanavyobanwa maisha yao) au watu wote (sio vyama) na ugumu wa maisha au watu na kuhusu ujangili unaoendelea (basi watashikama) Maandamo ya watanzania na maandamano ya Chama / Vyama vya Siasa sio necessarily one and the same...Narudia tena na kukazia
Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
sorry ila huyo mtu wenu kila move anayofanya ni kwa maslahi yake kwanza.
Narudia tenaWatu hawajabanwa wala hawajaunganishwa kwa issues na wanasiasa world wide sio wa kuaminika..., kwahio kama itakuwa issues (mfano Kenya Gen Z na wanavyobanwa maisha yao) au watu wote (sio vyama) na ugumu wa maisha au watu na kuhusu ujangili unaoendelea (basi watashikama) Maandamo ya watanzania na maandamano ya Chama / Vyama vya Siasa sio necessarily one and the same...
na hicho ndiyo kinamsababisha afanye siasa maslahi...Maslahi gani wakati ni Bilionea? Ameanza kushika Pesa akiwa na 19yrs old na wala hajui siasa enzi hizo ,mpaka anaingia kwenye siasa ana Utajiri wa hatari mpaka kumiliki apartment Down town NYC ,Hotels na majumba UK.
Chadema wapo kama mazombi ingawa mbowe ana akili sana kuliko chadema wengi sana hata wale mawakili wake wapenda sifa , hicho ndicho nachomkubali bwana mbowe , ila kwa dar maandamano ngumu sana hawa wapenda bata maneno mengi walevi ,waache kwenda kidimbwi wakaandamane?sorry ila huyo mtu wenu kila move anayofanya ni kwa maslahi yake kwanza.
Saa mbili asubuhi makamu mwenyekiti wa chama yupo ndani kwake anakula breakfast siku ya maandamano alafu unaona unaweza kuwa timamu kuamini watu kama awa tena ame opt kwenda polisi kujisalimishaUjinga ni upi hapo?
na hicho ndiyo kinamsababisha afanye siasa maslahi...
anaipenda pesa kuliko maslahi ya anaojifanya kuwatetea...
Upo sahihi, enzi zao CUF walifanikiwa sababu walikuwa hawayikei majumbani bali walikuwa wakitokea misikitini.Siku ile uliyokusanya viongozi wote wa chama wa Pwani na Dar es Salaam, ulitakiwa kutangaza maandamano palepale muingie barabarani jioni ileile.
Ila ukang'ang'ana kuwa ni lazima kuomba kibali polisi. Gen Z waliomba kibali wapi? Haya sasa, kiko wapi?
Lissu-x atakuwa anacheka kimoyomoyo.
Sure alipaswa kuzama muda ule ule ambao polis hawaja jipanga sema. Amani itawaleSiku ile uliyokusanya viongozi wote wa chama wa Pwani na Dar es Salaam, ulitakiwa kutangaza maandamano palepale muingie barabarani jioni ileile.
Ila ukang'ang'ana kuwa ni lazima kuomba kibali polisi. Gen Z waliomba kibali wapi? Haya sasa, kiko wapi?
Lissu-x atakuwa anacheka kimoyomoyo.
WanazinguaMods wameweka hivyo
Hiki ni chama cha Siasa hakiwezi kufanya jambo kinyume na sheria na taratibu za nchi la sivyo utawapa kisingizio watesi wenu wewe fuata taratibu zote wao ndiyo wavunje maandamano unayotaka yafanyike hayo huwa hayaratibiwi na vyama vya siasa bali hiyo huws ni violence inayo fanywa na wananchi wenyewe na huwa hakuna mtu wakuratibu wala kuongoza.Siku ile uliyokusanya viongozi wote wa chama wa Pwani na Dar es Salaam, ulitakiwa kutangaza maandamano palepale muingie barabarani jioni ileile.
Ila ukang'ang'ana kuwa ni lazima kuomba kibali polisi. Gen Z waliomba kibali wapi? Haya sasa, kiko wapi?
Lissu-x atakuwa anacheka kimoyomoyo.
Maskini LissuLissu hajui lengo la Mbowe...
Anachokitaka huyo kengeza ni attention kimataifa ili zitoke fedha za ufadhili wa hayo maandamano...
Kengeza hajawahi kua serious na wananchi hata siku moja, kila anachofanya ni kwa maslahi binafsi...
Bado namshauri Tundu Lissu aangalie namna ya kukaa mbali na kengeza asichafuke.
Wamewafidia nauli ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] si ndo tunarudi Mbeya baada ya maandamano kudoda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]