Narudia tena na kukazia
Hakuna mtu muoga sana kama Mtanzania, hata mimi ni muoga sana.
Hata hao askari wenyewe ni waoga tu. Kama wasingekuwa waoga wangekataa kutumika na ccm.
Sisi tukomae na mipira, miziki, mitandao,mikeka ya kubeti, minguvu ya kiume na misambwanda