Maandamano ya kupinga vita vya Gaza yaitikisa Marekani.Yahofiwa kuleta matokeo kama ya vita vya Vietnam

Maandamano ya kupinga vita vya Gaza yaitikisa Marekani.Yahofiwa kuleta matokeo kama ya vita vya Vietnam

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Maandamano yanayoambukizika ya vyuo vikuu maarufu nchini Marekani yameanza kuihofisha serikali kuu ya nchi hiyo.

Nguvu zimetumika kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Columbia baada ya spika wa bunge wa Marekani.bwana Johson kutembelea eneo hilo kuwataka watawanyike bila mafanikio.

Maandamano kama hayo yamekuwa yakiendelea kwenye vyuo vikoo kadhaa kikiwemo cha Yale. Kitu cha hatari zaidi maandamano na kugoma kuingia madarasani kumeanza kushuka chini mpaka kwenye vyuo vya kiufundi na vyenginevyo.

Vita vya Vietnam vilianza mwaka 1954 na kufikia mwisho mwaka 1973 kwa kushindwa kwa Marekani japo ilikuwa tayari imepeleka askari na wamarekani wengine zaidi ya milioni 3 kuikalia nchi hiyo ya Asia.

Kilichopelekea kushindwa kwa Marekani na kuondoka nchini humo ilikuwa ni upinzani mkubwa uliotokea ndani ya nchi hasa kwenye vyuo vya elimu.
 
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
 
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
Watu wanaujua ukweli, hawaendeshwi na mihemko
 
Wewe kula ugali wako wa mahindi ujambe na kulala. wewe ni mla ugali wa mahindi huwezi kuwa na akili kuwazidi Wamarekani ambao kwao mahindi ni chakula cha ng'ombe. Wewe akili yako imedumaa kwa ulaji wa ugali wa mahindi.
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
 
Maandamano yanayoambukizika ya vyuo vikuu maarufu nchini Marekani yameanza kuihofisha serikali kuu ya nchi hiyo.

Nguvu zimetumika kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Columbia baada ya spika wa bunge wa Marekani.bwana Johson kutembelea eneo hilo kuwataka watawanyike bila mafanikio.

Maandamano kama hayo yamekuwa yakiendelea kwenye vyuo vikoo kadhaa kikiwemo cha Yale. Kitu cha hatari zaidi maandamano na kugoma kuingia madarasani kumeanza kushuka chini mpaka kwenye vyuo vya kiufundi na vyenginevyo.

Vita vya Vietnam vilianza mwaka 1954 na kufikia mwisho mwaka 1973 kwa kushindwa kwa Marekani japo ilikuwa tayari imepeleka askari na wamarekani wengine zaidi ya milioni 3 kuikalia nchi hiyo ya Asia.

Kilichopelekea kushindwa kwa Marekani na kuondoka nchini humo ilikuwa ni upinzani mkubwa uliotokea ndani ya nchi hasa kwenye vyuo vya elimu.
Kwamba haujawahi kuona US wakiandamana au?
 
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
Wameangalia sana ndio maana mwishowe wakachukua uamuzi huo.
Sijui unataka waone kama unavyoona wewe ambaye tena uko mbali kabisa na uwanja wa tukio.
 
Hayo ndiyo madhara ya kukaribisha wahamiaji, wengi wa waandamanaji ni wahamiaji toka nchi za kiarabu/kiislam/mashariki ya kati. Hawa raia wanatetea ndugu zao wapalestina dhidi ya kifinyo wanachokipata baada ya wenzao kujitia wazimu kuishambulia israel oktobba 7, 2023
 
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
Wao wanaakili kuliko ww pimbi hawajasoma majimatitu secondary school na udom University
 
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
Kitu ambacho hukijui ni kuwa hao wanaoandamana wana akili kubwa kuliko wewe na hawaendeshwi na udini
 
Hayo ndiyo madhara ya kukaribisha wahamiaji, wengi wa waandamanaji ni wahamiaji toka nchi za kiarabu/kiislam/mashariki ya kati. Hawa raia wanatetea ndugu zao wapalestina dhidi ya kifinyo wanachokipata baada ya wenzao kujitia wazimu kuishambulia israel oktobba 7, 2023
Hujaona kuwa wayahudi wako huko pia lakini wameanza kujificha na kuacha kuhudhuria masomo.Na wao utasemaje sasa.
 
Hun
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisahuna
Huna unachoelewa kuhusu mzozo huo
 
Maandamano yanayoambukizika ya vyuo vikuu maarufu nchini Marekani yameanza kuihofisha serikali kuu ya nchi hiyo.

Nguvu zimetumika kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Columbia baada ya spika wa bunge wa Marekani.bwana Johson kutembelea eneo hilo kuwataka watawanyike bila mafanikio.

Maandamano kama hayo yamekuwa yakiendelea kwenye vyuo vikoo kadhaa kikiwemo cha Yale. Kitu cha hatari zaidi maandamano na kugoma kuingia madarasani kumeanza kushuka chini mpaka kwenye vyuo vya kiufundi na vyenginevyo.

Vita vya Vietnam vilianza mwaka 1954 na kufikia mwisho mwaka 1973 kwa kushindwa kwa Marekani japo ilikuwa tayari imepeleka askari na wamarekani wengine zaidi ya milioni 3 kuikalia nchi hiyo ya Asia.

Kilichopelekea kushindwa kwa Marekani na kuondoka nchini humo ilikuwa ni upinzani mkubwa uliotokea ndani ya nchi hasa kwenye vyuo vya elimu.


Huijui USA wewe, hao wanafunzi wanaweza potea mmoja mmoja very quickly na National Interest ika songa mbele, USA has no compromise once it comes to Israel Security...!!
 
Huijui USA wewe, hao wanafunzi wanaweza potea mmoja mmoja very quickly na National Interest ika songa mbele, USA has no compromise once it comes to Israel Security...!!
Ingekuwa ni Afrika hilo lingekuwa ni jepesi kufanyika.Marekani japo serikali inailinda Israel lakini mauwaji ya namna hiyo hawawezi kufanya.
 
Ingekuwa ni Afrika hilo lingekuwa ni jepesi kufanyika.Marekani japo serikali inailinda Israel lakini mauwaji ya namna hiyo hawawezi kufanya.
Yani wanampoteza hadi Rais akienda kinyume na interests za nchi sembuse Kikundi cha Wahamiaji wachache wanaohatarisha maslahi ya nchi?

Umeanza kuijua Marekani kipindi cha OBAMA?
 
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
roho inakuuma sana kuona watu wenye akili ndani ya usa wanakataa vita ila wewe nguruwe unataka vita
Habati mbaya sana kwako
 
Back
Top Bottom