mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Kiazi mbatata kila siku unazidi kujianika kwa kujionyesha ulivyo mtupu kichwaniMarekani ina watu zaidi ya millioni 335, hao wanaoandamana hawafiki hata 10,000 Marekani yote sasa ndio nini hiyo.
Isitoshe ni walewale wazamiaji waliokimbia "sharia law" kwenda kutafuta uhuru ktk nchi za magharibi. That's all.