Walokole ni laana kwa kweli wapo tiari hata kutoa tigo kwa wayahudi ili wapate kubarikiwa shuwaniHao wanaondamana ni wasomi wenye kujitambua siyo kama wewe jinga unatetea wayahudi wauaji bila kufikirisha ubongo kisa ni mlokole pumbafuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walokole ni laana kwa kweli wapo tiari hata kutoa tigo kwa wayahudi ili wapate kubarikiwa shuwaniHao wanaondamana ni wasomi wenye kujitambua siyo kama wewe jinga unatetea wayahudi wauaji bila kufikirisha ubongo kisa ni mlokole pumbafuu.
Kupiga kichwa chini kwa muda mrefu ina madhara yake.Wewe kula ugali wako wa mahindi ujambe na kulala. wewe ni mla ugali wa mahindi huwezi kuwa na akili kuwazidi Wamarekani ambao kwao mahindi ni chakula cha ng'ombe. Wewe akili yako imedumaa kwa ulaji wa ugali wa mahindi.
....Na wengine nao wako hivyo hivyo kwa waarabu.Walokole ni laana kwa kweli wapo tiari hata kutoa tigo kwa wayahudi ili wapate kubarikiwa shuwani
Watu gani duniani ambao hawakuhama kutoka sehemu moja kwenda nyingine labda tu kama hujui historia.Asilimia 90 ya Wamarekani ni wahamiaji, wanatofautiana miaka tu ya kuhamia!
Vyuo vya Ufaransa na Australia nao tayari washakiamsha.Maandamano yanayoambukizika ya vyuo vikuu maarufu nchini Marekani yameanza kuihofisha serikali kuu ya nchi hiyo.
Nguvu zimetumika kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Columbia baada ya spika wa bunge wa Marekani.bwana Johson kutembelea eneo hilo kuwataka watawanyike bila mafanikio.
Maandamano kama hayo yamekuwa yakiendelea kwenye vyuo vikoo kadhaa kikiwemo cha Yale. Kitu cha hatari zaidi maandamano na kugoma kuingia madarasani kumeanza kushuka chini mpaka kwenye vyuo vya kiufundi na vyenginevyo.
Vita vya Vietnam vilianza mwaka 1954 na kufikia mwisho mwaka 1973 kwa kushindwa kwa Marekani japo ilikuwa tayari imepeleka askari na wamarekani wengine zaidi ya milioni 3 kuikalia nchi hiyo ya Asia.
Kilichopelekea kushindwa kwa Marekani na kuondoka nchini humo ilikuwa ni upinzani mkubwa uliotokea ndani ya nchi hasa kwenye vyuo vya elimu.
Hata Tz ni hivyo hivyo, hakuna nchi duniani ambayo ilikua na watu haohao toka dunia inaumbwa. Tatizo watu hawasomi ila wanapenda tu kukariri.Bila wahamiaji hakuna USA!
Wewe jitu jeusi kama lami una akili zaidi ya hao wazungu wenye kuelewa masuala ya dunia kuliko wewe?Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.
Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
Kwa kweli sera ya uhamiaji nchini marekani ni ya ajabu Sana.Hayo ndiyo madhara ya kukaribisha wahamiaji, wengi wa waandamanaji ni wahamiaji toka nchi za kiarabu/kiislam/mashariki ya kati. Hawa raia wanatetea ndugu zao wapalestina dhidi ya kifinyo wanachokipata baada ya wenzao kujitia wazimu kuishambulia israel oktobba 7, 2023
Siwezi kuwaunga mkono magaidi walioua watanzania wenzetu, after all, mimi sio pagazi wa waarabu.Hao wanaondamana ni wasomi wenye kujitambua siyo kama wewe jinga unatetea wayahudi wauaji bila kufikirisha ubongo kisa ni mlokole pumbafuu.
We mlokole una tabu sanaSiwezi kuwaunga mkono magaidi walioua watanzania wenzetu, after all, mimi sio pagazi wa waarabu.
Wale walioua watoto na wanawake ile tarehe 07/10/2023 wenyewe kwa mtizamo wako walikuwa sahihi kisa tu unahusudu utamaduni wao na kuponda ya kwako. Very hopeless.Wewe jitu jeusi kama lami una akili zaidi ya hao wazungu wenye kuelewa masuala ya dunia kuliko wewe?
Unaua watoto na wanawake wasio na hatia halafu unataka wasifiwe?
Wewe pagazi waabudu tu hao magaidi wenu na kasumba ya utumwa haitakaa iwatoke. Bure kabisa.We mlokole una tabu sana
Hao wanaoandamana ni wale wazamiaji waliokimbia "sharia law" kwenda kutafuta uhuru ktk nchi za magharibi.Hun
Huna unachoelewa kuhusu mzozo huo
Hao ni wale wazamiaji waliokimbia "sharia law" kwenda kutafuta uhuru ktk nchi za magharibi na kura zao hazina impact yoyote kwa uchaguzi wa Marekani na wengine ni wazamiaji tu hawana hata sifa ya kupiga kura.Wameshaanza kumtupia lawama Putin kwamba ndiye chanzo cha maandamano hayo!
Haya yakiendelea Joe Biden atapoteza kura kwenye maeneo ambayo kuna vuguvugu la kupinga vita vya gaza!
Marekani ina watu zaidi ya millioni 335, hao wanaoandamana hawafiki hata 10,000 Marekani yote sasa ndio nini hiyo.roho inakuuma sana kuona watu wenye akili ndani ya usa wanakataa vita ila wewe nguruwe unataka vita
Habati mbaya sana kwako
Unajisahulisha kuwa mungu wenu Yesu naye alikuwa anapiga kichwa chiniKupiga kichwa chini kwa muda mrefu ina madhara yake.
Mimi ninaishi Marekani na sioni maandamano yoyote ya kutikisa serikali.Maandamano yanayoambukizika ya vyuo vikuu maarufu nchini Marekani yameanza kuihofisha serikali kuu ya nchi hiyo.
Nguvu zimetumika kuwatawanya wanafunzi wa chuo kikuu cha Columbia baada ya spika wa bunge wa Marekani.bwana Johson kutembelea eneo hilo kuwataka watawanyike bila mafanikio.
Maandamano kama hayo yamekuwa yakiendelea kwenye vyuo vikoo kadhaa kikiwemo cha Yale. Kitu cha hatari zaidi maandamano na kugoma kuingia madarasani kumeanza kushuka chini mpaka kwenye vyuo vya kiufundi na vyenginevyo.
Vita vya Vietnam vilianza mwaka 1954 na kufikia mwisho mwaka 1973 kwa kushindwa kwa Marekani japo ilikuwa tayari imepeleka askari na wamarekani wengine zaidi ya milioni 3 kuikalia nchi hiyo ya Asia.
Kilichopelekea kushindwa kwa Marekani na kuondoka nchini humo ilikuwa ni upinzani mkubwa uliotokea ndani ya nchi hasa kwenye vyuo vya elimu.