Maandamano ya kupinga vita vya Gaza yaitikisa Marekani.Yahofiwa kuleta matokeo kama ya vita vya Vietnam

Maandamano ya kupinga vita vya Gaza yaitikisa Marekani.Yahofiwa kuleta matokeo kama ya vita vya Vietnam

Wewe kula ugali wako wa mahindi ujambe na kulala. wewe ni mla ugali wa mahindi huwezi kuwa na akili kuwazidi Wamarekani ambao kwao mahindi ni chakula cha ng'ombe. Wewe akili yako imedumaa kwa ulaji wa ugali wa mahindi.
Waandamane tu ni haki yao ya kidemokrasia ila vita dhidi ya ugaidi iko pale pale.
 
Hayo ndiyo madhara ya kukaribisha wahamiaji, wengi wa waandamanaji ni wahamiaji toka nchi za kiarabu/kiislam/mashariki ya kati. Hawa raia wanatetea ndugu zao wapalestina dhidi ya kifinyo wanachokipata baada ya wenzao kujitia wazimu kuishambulia israel oktobba 7, 2023

Asilimia 90 ya Wamarekani ni wahamiaji, wanatofautiana miaka tu ya kuhamia!
 
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
Hao wanaondamana ni wasomi wenye kujitambua siyo kama wewe jinga unatetea wayahudi wauaji bila kufikirisha ubongo kisa ni mlokole pumbafuu.
 
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
Wewe ndo hujui chanzo cha mzozo. Pia usidhani kwamba wewe una akili kuwazidi wasomi tena wenye exposure ya duniani huko kwahiyo tulizana.
 
Sasa hao waandamanaji wanabwekea huko collages US si waende Gaza kwenye eneo la tukio wakawasaidie magaidi...huo ndio msaada unaohitajika!.
 
Waangalie nini chanzo cha mzozo sio kukurupuka tu kuandamana kwani kuandamana tu hakutasaidia chochote.

Wao walitaka hao magaidi wawaue tu watu kisha Israel icheke nao na tukumbuke kwamba hao magaidi wameua hata watanzania vilevile. Sio watu wa kulea hao. Bure kabisa.
Daaaah!
Wabongo kwa ujuaji tu hatujambo!!!
 
Asilimia 90 ya Wamarekani ni wahamiaji, wanatofaytiana miaka tu ya kuhamia!
achana na hao wahamiaji waliohamia karne nyingi zilizopita. Nazungumzia wahamiaji wa miaka hii hasa hawa kutoka mashariki ya kati na afrika. Angalia wale waandamanaji wengi si wazungu ni wenye asili ya mashariki ya kati na afrika, wamechachamaa balaa
 
Hao wanafumzi walionyesha hisia zao kupinga kuidhinishwa kwa bajeti ya kusaidia IDF.
Hayo mengine wala hayawahudu mnawajazilizia maneno.

Baada ya leo maisha will get back to normal, ingawa hadi sasa yameshaanza kufifia
 
Unawajua wenyeji wa USA!?
ni red indiens, baadae waingereza na wahispania na wazungu wengine wa ulaya. Hawa ndio true americans wanaipenda israel sana na sio hao waarabu, waafrica na wengine wa asia. Wale wote wanaoipenda USA ndio wamarekani wa ukweli na sio hivi vitoto vya vyuo vikuu vinaoleta fujo na vurugu tunaviita pro palestine
 
Hivi vitoto vya vyuo vikuu ni vishenzi, vinaichuria marekani na kuiletea laana, mikosi na balaa. Vitaiangusha USA itoke kwenye super power nation in the world. Mchelea mwana hula na wakwao hivi vitoto vikidekezwa vitaingusha marekani itaonekana nyanya masalo isiyofaa kuliwa tena. Vidhibitiwe mapema viachane na u pro palestine. Kama vipi vipelekwe gaza front line vikakabiliane na israel uso kwa uso kama havitasagwasagwa tikitiki. Vishikizwe adabu mapema sana la sivyo USA itaporomoka vibaya na hadhi yake duniani itatoweka.
 
roho inakuuma sana kuona watu wenye akili ndani ya usa wanakataa vita ila wewe nguruwe unataka vita
Habati mbaya sana kwako
Hawa walokole waliosoma kisheni secondary na kula maharage yenye wadudu wanajifanya wanaakil kuliko watu waliopo ohio University mbona kituko jamani
 
Back
Top Bottom