Maandamano ya leo ya CHADEMA yamedhihirisha unafiki wa Watanzania hasa vijana tofauti na Wakenya

Maandamano ya leo ya CHADEMA yamedhihirisha unafiki wa Watanzania hasa vijana tofauti na Wakenya

Boi Manda

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2023
Posts
388
Reaction score
506
Vijana wa Kitanzania tofauti na wa Nchini Kenya mahodari sana kuandana na kulalamika kwenye mitandao ya kijamii kuliko kuingia barabarani (Road)

Baada ya Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) leo kuwataka wananchi wa Tanzania hasa vijana kujitokeza kwa wingi kuamndana jijini Dar mwitikio umekuwa hafifu

matokeo yake kaandamana Mwenykiti wa chama hicho Freeman Mbowe na familia yake na baadhi ya viongozi na wanachama wachache wa chama hicho waliojitokeza kwenye maandamano hayo kuthibitiwa na kutiwa nguvuni na Polisi

Ukifuatilia na kusoma jumbe zao kwenye mitandao ya kijamii utadhani kweli vijana hao wako makini na kwamba wanauchungu sana na nchi yao na kwamba wataandamana kumbe utopolo mtupu wanabweka kama mambwa koko

Mbowe leo kajikuta anaandamana yeye na mkewe na mtoto wake na waandishi wa habari vijana wa hovyo wauufwata mkia

Vijana nawasalimu Comasa
 
Cha
Vijana wa Kitanzania tofauti na wa Nchini Kenya mahodari sana kuandana na kulalamika kwenye mitandao ya kijamii kuliko kuingia barabarani (Road)

Baada ya Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) leo kuwataka wananchi wa Tanzania hasa vijana kujitokeza kwa wingi kuamndana jijini Dar mwitikio umekuwa hafifu

matokeo yake kaandamana Mwenykiti wa chama hicho Freeman Mbowe na familia yake na baadhi ya viongozi na wanachama wachache wa chama hicho waliojitokeza kwenye maandamano hayo kuthibitiwa na kutiwa nguvuni na Polisi

Ukifuatilia na kusoma jumbe zao kwenye mitandao ya kijamii utadhani kweli vijana hao wako makini na kwamba wanauchungu sana na nchi yao na kwamba wataandamana kumbe utopolo mtupu wanabweka kama mambwa koko

Mbowe leo kajikuta anaandamana yeye na mkewe na mtoto wake na waandishi wa habari vijana wa hovyo wauufwata mkia

Vijana nawasalimu Comasa
Jaribu kuwa serious Mangi, unafanisha vijana wa chadema na vijana wa Kenya?
 
Vijana wa Kitanzania tofauti na wa Nchini Kenya mahodari sana kuandana na kulalamika kwenye mitandao ya kijamii kuliko kuingia barabarani (Road) Mbowe leo kajikuta anaandamana yeye na mkewe na mtoto wake na waandishi wa habari vijana wa hovyo wauufwata mkia



Kenya vijana ndio walikuwa viongozi wa maandamano sio vikongwe vizee vilivyochoka kama Mbowe,Lisu na Godbless Lema

Huwezi linganisha ya Kenya na Tanzania

Tanzania vikongwe akina Mbowe,Lisu na Lema ndio vitoa wito vijana waandamane

Vijana wamegoma kutii huo wito wa hivyo vizee vikongwe
 
Vijana wa Kitanzania tofauti na wa Nchini Kenya mahodari sana kuandana na kulalamika kwenye mitandao ya kijamii kuliko kuingia barabarani (Road)

Baada ya Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) leo kuwataka wananchi wa Tanzania hasa vijana kujitokeza kwa wingi kuamndana jijini Dar mwitikio umekuwa hafifu

Mbowe leo kajikuta anaandamana yeye na mkewe na mtoto wake na waandishi wa habari vijana wa hovyo wauufwata mkia

Vijana nawasalimu Comasa
Watanzania hivi ndivyo tulivyo, hata kwenye katiba Watanzania ni maneno maneno na kulialia, Vitendo 0. Katiba ni maneno tu! Je, 2023 tuendeleze maneno matupu na kulialia au tubadilike tufanye kitu?
P
 
Kenya vijana ndio walikuwa viongozi wa maandamano sio vikongwe vizee vilivyochoka kama Mbowe,Lisu na Godbless Lema

Huwezi linganisha ya Kenya na Tanzania

Tanzania vikongwe akina Mbowe,Lisu na Lema ndio vitoa wito vijana waandamane

Vijana wamegoma kutii huo wito wa hivyo vizee vikongwe
Mbona kuna kipindi kule kenya Kikongwe Odinga kaitisha maandamano vijana kibao wakaingia Road mpaka Ruto kaomba poo
 
Vijana wa Kitanzania tofauti na wa Nchini Kenya mahodari sana kuandana na kulalamika kwenye mitandao ya kijamii kuliko kuingia barabarani (Road)

Baada ya Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) leo kuwataka wananchi wa Tanzania hasa vijana kujitokeza kwa wingi kuamndana jijini Dar mwitikio umekuwa hafifu

matokeo yake kaandamana Mwenykiti wa chama hicho Freeman Mbowe na familia yake na baadhi ya viongozi na wanachama wachache wa chama hicho waliojitokeza kwenye maandamano hayo kuthibitiwa na kutiwa nguvuni na Polisi

Ukifuatilia na kusoma jumbe zao kwenye mitandao ya kijamii utadhani kweli vijana hao wako makini na kwamba wanauchungu sana na nchi yao na kwamba wataandamana kumbe utopolo mtupu wanabweka kama mambwa koko

Mbowe leo kajikuta anaandamana yeye na mkewe na mtoto wake na waandishi wa habari vijana wa hovyo wauufwata mkia

Vijana nawasalimu Comasa
Siyo unafiki wa vijana bali ni hali halisi. Unaingia maandamano kama unaona kweli kuna sababu ya kuingia.

Huwezi kulinganisha umaskini uliotopea wa vijana wa Kenya na wa Tanzania. Kijana yeyote wa Tanzania akijishughulisha anaweza akatoboa kutokana na fursa zilizopo nchini kwetu. Moja ya fursa ni ardhi ya kilimo.

Wakenya kijana ukizaliwa toka familia maskini utakufa maskini kwa vile ardhi yote ni mali ya matajiri waxahache
 
Vijana wa Kitanzania tofauti na wa Nchini Kenya mahodari sana kuandana na kulalamika kwenye mitandao ya kijamii kuliko kuingia barabarani (Road)

Baada ya Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) leo kuwataka wananchi wa Tanzania hasa vijana kujitokeza kwa wingi kuamndana jijini Dar mwitikio umekuwa hafifu

matokeo yake kaandamana Mwenykiti wa chama hicho Freeman Mbowe na familia yake na baadhi ya viongozi na wanachama wachache wa chama hicho waliojitokeza kwenye maandamano hayo kuthibitiwa na kutiwa nguvuni na Polisi

Ukifuatilia na kusoma jumbe zao kwenye mitandao ya kijamii utadhani kweli vijana hao wako makini na kwamba wanauchungu sana na nchi yao na kwamba wataandamana kumbe utopolo mtupu wanabweka kama mambwa koko

Mbowe leo kajikuta anaandamana yeye na mkewe na mtoto wake na waandishi wa habari vijana wa hovyo wauufwata mkia

Vijana nawasalimu Comasa
Asiye kubali kushindwa si mshindani 😄😄😄
 
Siyo unafiki wa vijana bali ni hali halisi. Unaingia maandamano kama unaona kweli kuna sababu ya kuingia.

Huwezi kulinganisha umaskini uliotopea wa vijana wa Kenya na wa Tanzania. Kijana yeyote wa Tanzania akijishughulisha anaweza akatoboa kutokana na fursa zilizopo nchini kwetu. Moja ya fursa ni ardhi ya kilimo.

Wakenya kijana ukizaliwa toka familia maskini utakufa maskini kwa vile ardhi yote ni mali ya matajiri waxahache
Exactly
 
Mbona kuna kipindi kule kenya Kikongwe Odinga kaitisha maandamano vijana kibao wakaingia Road mpaka Ruto kaomba poo
Walikuwa vijana wa kijaluo kabila yake Odinga ukabila ulitumika

Tofauti na maandamano ya Gen Z yalikuwa ya vijana wa Kenya yote

Chadema walitaka kukopi ya Kenya ya Gen Z bila kufanya thorough deep political analysis kuwa je kile kilifanya kazi Kenya chaweza fanikiwa Tanzania?

Wakaja na slogan pori oohh Samia must go wakiiga ya Ruto must go wakasahau kuwa Tanzania sio Kenya ndio maana nchi zina majina tofauti sio jina moja
 
Vijana wa Kitanzania tofauti na wa Nchini Kenya mahodari sana kuandana na kulalamika kwenye mitandao ya kijamii kuliko kuingia barabarani (Road)

Baada ya Chama cha demokrasia na maendeleo (CHADEMA) leo kuwataka wananchi wa Tanzania hasa vijana kujitokeza kwa wingi kuamndana jijini Dar mwitikio umekuwa hafifu

matokeo yake kaandamana Mwenykiti wa chama hicho Freeman Mbowe na familia yake na baadhi ya viongozi na wanachama wachache wa chama hicho waliojitokeza kwenye maandamano hayo kuthibitiwa na kutiwa nguvuni na Polisi

Ukifuatilia na kusoma jumbe zao kwenye mitandao ya kijamii utadhani kweli vijana hao wako makini na kwamba wanauchungu sana na nchi yao na kwamba wataandamana kumbe utopolo mtupu wanabweka kama mambwa koko

Mbowe leo kajikuta anaandamana yeye na mkewe na mtoto wake na waandishi wa habari vijana wa hovyo wauufwata mkia

Vijana nawasalimu Comasa
Kwa kweli, tuna kila sababu ya kujilaumu nikiwemo mimi pia.
Safari bado ni ndefu mno japo nuru ya matumaini inachipuka kwa mbali mno
 
Back
Top Bottom