Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Tupo mstari wa mbele kwenye maswala yenye tija ndogo sana kama burudani na matamasha yasio na maana.
Mwitikio unapotika kwenye mipira na clabu za mipira za nje na ndani kutoka kwa vijana unatoa majibu ni aina gani ya vijana tulio nao fikra bna mitazamo yao na tunaweza kupata conclusion.
Mwitikio unapotika kwenye mipira na clabu za mipira za nje na ndani kutoka kwa vijana unatoa majibu ni aina gani ya vijana tulio nao fikra bna mitazamo yao na tunaweza kupata conclusion.