Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

Israel anapiga Iran ili iweje. Huo ni ujinga.

Yeye ashughulikie Hezibolaa na Hamasi. Kupiga Iran hakuna faida yeyote.
 
Wewe ni mpuuzi, Jericho III ni silaha ndogo? Hujui kuwa Israel inatengeneza pia f35 zakwake mwenyewe, Israel inauzia silaha hadi nchi kibao za ulaya.
Hiyo Jericho III Kai test wapi? Kuhusu F.35 ni Chapa ya Marekani kawadanganye wajinga wenzio Tena kwa taarifa Yako Israel ameweka order ya ndege 50 anasubiri zipo kiwandani Marekani
 
Hiyo Jericho III Kai test wapi? Kuhusu F.35 ni Chapa ya Marekani kawadanganye wajinga wenzio Tena kwa taarifa Yako Israel ameweka order ya ndege 50 anasubiri zipo kiwandani Marekani
Kama hujui kuwa Israel inatengeneza ndege za kijeshi utakuwa mtoto sana kwenye haya mambo acha nikuache ujadiliane na wapuuzi wenzako
 
Haya

Haya sasa acha inyeshee tujue panapovuja daadekii.
Ila ninachoamini ni kwamba mataifa madogo kama hii yetu tutaumia mno😥😥
Tunaumia kwa ujinga wetu ukikubali kuwa tegemezi lazima ukubali kuumia. North Korea, Iran , China , Russia wamefika hapa walipo kwa sababu waligoma kuwa tegemezi.
 
Kama hujui kuwa Israel inatengeneza ndege za kijeshi utakuwa mtoto sana kwenye haya mambo acha nikuache ujadiliane na wapuuzi wenzako
Umesema Israel inatengeneza F - 35 ndio nikakukatalia kama ni suala la ndege zozote anaweza kutengeneza lakini siyo Chapa F 35 .hata Tanzania tunatengeneza usibadili GIA angani.
 
Kuhusu Ukraine Ukraine Hali yake ni mbaya anachezea kichapo cha hatari. Halafu kwa sasa Urusi anajiandaa kuingia vita na Marekani indirect kupitia Iran na tayari keshapokea askari 12000 kutoka Korea kaskani kwajili ya kushika doria Ukraine wakati anamtandika mmarekani.
 
Mkuu hii id ya zamani au mpya?
Ya zamani mkuu nilikua naitwa Sir John Roberts ila wagalatia wenzangu wakaanza kuniandama sana eti kwanini siisapoti Israel wakati avatar yangu ina jina la kigalatia sasa kwahasira nimemua kumuenzi mwamba Sinwar JF ukitaka unabadilisha tu hamna complications
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…