Maariv Media Israel : Iran yapokea SU 35 fighter jets, S-400 Air defense System kutoka Russia na laser Anti - drone system silent Hunter" kutoka China

Mlisemaga hivyo hivyo kuhusu kuingia Lebanon, sasa hivi Taifa teule lina jipigia tuu huko na linaamua nani afe. Hivi yale magaidi ya Hamas yame mteua nani tumpe R. I. P in advance make tuna mambo mengi?
 
😂😂😂 sasa kama hakupigwa sahizi anajiandaa kulipiza Nini kwa Iran? Anakaa vikao ambavyo haviishi mpaka Leo tarehe 19 anajiandaa kulipiza je anataka kulipiza kitu gani?
 
Balistic 200 zikaua mplalestina mmoja, paka 2 na kuchimba mashimo. What a loss?
 
Israeli hatoagi taarifa za madhara ya kipigo anachopewa hata siku 1 ni mbinu ya kumdhoofisha adui ila wewe kwa sababu ni mjinga ukiambiwa ballistic imepiga target lakini imeua paka tu unaamini.
Wewe ndo mjinga unadhani hako ka Iran kana mapenzi na Israel hata kasiue myahudi kama kangepata hata dakika 1? Common sense is not common.
 
Zile S-400 ambazo daily Israel alikiwa anazitekenya pale Syria hadi Urusi kukasirika akidai kwanini Israel haikumtaarifu kuwa atashambulie ili auzime kwanza😅
 
kutoka russia na china 😀 🙄
 
Dunia nzima inachojua Iran kaitandika direct Israel kipigo kitakatifu mara mbili bila majibu.

Thnachosubiri ni Israel ajaribu kujibu direct halafu akutane na zahma ya Muajemi maana huwa akiahidi wala hapindishi lazima akutwange kwelikweli.

Iran ameshaweka wazi Israel akijaribu kujibu tu atakutana na majibu yatakayoiacha dunia kwenye mshangao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…