Maaskofu na Mashekhe: Tunataka tume huru ya Kijaji kuchunguza matukio yanayoendelea Tanzania kati ya Serikali na Chama cha Upinzani

Maaskofu na Mashekhe: Tunataka tume huru ya Kijaji kuchunguza matukio yanayoendelea Tanzania kati ya Serikali na Chama cha Upinzani

Ingekua na hali mbaya iyo mnayo isena kila siku Wala usinge kua unaongelea jamiforums ungekua ikuli Ila kwakua mnajua kabisa mmesha feli ndiomana kitu kidogo utaskia maaskofu mbona hatuwaskii masheghe chadema mnapo taka kutufikisha tutafika tu Ila hingeren kwa kumilik jamiforums Mana Uzi zinazo iongelea mabaya ya CHADEMA hua zinafutwa pia una blokiwa mtoa mada in short humu jamiforums ni kwa jil ya CHADEMA na kuiponda serekal kwaio mlio jaa umu weng ni CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
Waliomo humu ni wawakilishi wa wananchi, hata huko mtaani ni hivi hivi sema hawaruhusiwi kuongea, ccm wanalijua hili ndiyo mana umeona walichofanya kwenye uchaguzi mdogo. Swali kwako, kwani ccm wanazuiliwa kujiunga? Mbona mpo tu wengi sema wengi wenu ni wale wa buki saba(Yaani wale wa malipo). Ila kwa mtu wakawaida hawezi kupoteza muda wake kuwa humu akitetea ccm bila malipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.
Kati ya hao asiwemo hata mmoja wa walioteuliwa na Jiwe.Ni mapandikizi!
 
Waliomo humu ni wawakilishi wa wananchi, hata huko mtaani ni hivi hivi sema hawaruhusiwi kuongea, ccm wanalijua hili ndiyo mana umeona walichofanya kwenye uchaguzi mdogo. Swali kwako, kwani ccm wanazuiliwa kujiunga? Mbona mpo tu wengi sema wengi wenu ni wale wa buki saba(Yaani wale wa malipo). Ila kwa mtu wakawaida hawezi kupoteza muda wake kuwa humu akitetea ccm bila malipo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie jidanganyani tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maaskofu chadema ,pathetic
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.
 
Askari anapo kua anafundishwa kupamba na adui kitu chakwanza anatakiwa amzoofishe adui yake kabla hajammaliza so nafikiri Una jua nn maana ya kumzoofisha mtu ndiomana askar anapo jiham lazima angalia sehemu muhim za mwil usitegemee kufanya vurugu alafu utoke mzima
Hata tukikubaliana wana kosa, kuna sheria inayosema aliyekosea anastahili adhabu ya kupigwa, kuvunjwa mikono au kuuawa, na adhabu hiyo inatolewa na askari magereza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema mnataka kutupeleka kwenye udini na hao maaskofu wenu. Mkiambiwa na chama cha kidini mnakataaga lakini kila uchaguzi mnatumia udini na ukasikazini.

Hii coincidence vipi maaskofu wenye asili ya ukasikazini wanakuwa na stand moja na chadema? Hii ni conspiracy na ni udini plus ukabila
Huwezi tenganisha udini ukaskazini na chadema
 
Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika
Hapo ndipo wamekosea kuliko hata ilivyo sasa hivi. Hao hao majaji wastaafu si ndo wanatamani hata kuchaguliwa kwenye tume tume hizo?? Sasa wakikalia huyo mteuaji kooni watakula nini?? Hukuona yule aliyemaliza muda wake akachukua fomu kwa chama twawala ya kuomba urais?? Tume huru labda itoke nje ya nchi
 
Haijalishi aliyesema anatoka kaskazini au kusini, swala ni kwamba alichosema ni ukweli. Ukweli ni kuwa tunahutaji tume huru ya uchunguzi wa matendo haya na usuluhishi. Kisha tume huru ya uchaguzi. Kwani Chadema inahusika kivipi hapo? Chadema ni chama cha kaskazini au cha Taifa? Acha uccm jadili hoja ya maaskofu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa sio huru huyo Mbowe wenu angeshinda?
 
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.
nchi ishagawanywa tayari na siasa chafu za huyu mchungang’ombe
 
Mungu awabariki sana hao mababa Askofu.

formula ya October 2020 inazidi kunogeshwa zaidi na sasa itasomeka kama ifuatavyo:

CCM + polisi VS upinzani + umma + beberus + maaskofu.

upande wa CCM ukiondoa "polisi", nina uhakika "beberus" & "maaskofu" wataondoka automatically upande wa pili.

tukutane October.
Wataelekea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kuna watu wamekumbwa na uwendawazimu wa itikadi za kivyama.

Tatizo la watu kupigwa lisitazamwe kwa fikra duni za uhayawani wa ushabiki wa kivyama, bali litazamwe kwa hekima iliyo ya kweli.

Umtazame Halima Mdee na Bulaya na wengine, kama Watanzania. Kisha tujiulize:

1) Hawa walioumizwa walitenda kosa gani?

2) Kama kuna kosa walilolitenda, kosa hilo linastahili adhabu?

3) Kama walitenda kosa linalostahili adhabu, ni nani mwenye haki za kisheria kutoa adhabu? Ni Polisi, ni mahakama au ni magereza?

4) Kama walitenda kosa, ni hatua gani zilistahili kuchukuliwa? Ni kuvunjwa mikono na askari magereza, kufikishwa mahakamani au kuuawa na hao Askari magereza?

Maana haiingii akili, kwa mtu mwenye akili timamu, kuamini kuwa hao akina Dada wawili wasio hata na toothpick mkononi, walikuwa na nguvu za kuhatarisha usalama wa gereza zima na kundi la askari wote magereza waliopo Segerea, kiasi kwamba kulikuwa hakuna njia yoyote ya kistaarabu ya kuwadhibiti zaidi ya kuvunjwa mikono, kuwakanyaga matumboni na vifuani.

Taifa letu linapelekwa kwenye primitivity ambayo hata babu zetu hawakuwahi kuwa nayo. Hawa askari magereza walichokifanya, ustaarabu wao unazidiwa hata na fisi. Maana pamoja na kwamba fisi hana akili na ana tamaa ya kuoindukia lakini huwezi kuona fisi akimvunja au kumwua fisi mwenzie. Hawa askari hayawani hawana hata chembe ya ufahamu kuwa wale ni binadamu wenzao.

Tusishabikie matukio ya kijinga. Mambo yale yaliyofanywa na askari magereza yanaweza kuganyika kwenye jamii iliyokosa ustaarabu hata ule tu wa kufikia kiwango cha wanyama pori. Tusikubali usalama wa raia kuwekwa mikononi mwa majambazi.

Hawa askari magereza waliofanya upumb.avu ule wameliaibisha Taifa. Ule ni upumbavu ambao haustahili kufanywa kwa mtu yeyote, hata kwa mfungwa. Kama wametenda upumb.avu ule kwa raia wa kawaida, wafungwa huko magerezani wanafanywa nini?

Askari kumpiga mbunge, tena mbunge mwanamke, ni jambo linalowezekana katika uongozi wa kusikitisha. Wasipochukuliwa hatua basi tutajua uhayawani huu una baraka za serikali.

Maaskofu wanao wajibu wa kukemea maovu. Na awamu hii polisi na wasiojulikana wananuka maovu.
 
Kuna udini mkubwa chadema. Kila siku maaskofu halafu walewale kama sio munga basi shoo au yule mwingine
Wewe hauna dini? kama unayo mbona unaendelea kutetea chama chako, basi na huko kuna udini kwan wanaokitetea tunaona kila siku makanisa na misikitini.
 
Ingekua na hali mbaya iyo mnayo isena kila siku Wala usinge kua unaongelea jamiforums ungekua ikuli Ila kwakua mnajua kabisa mmesha feli ndiomana kitu kidogo utaskia maaskofu mbona hatuwaskii masheghe chadema mnapo taka kutufikisha tutafika tu Ila hingeren kwa kumilik jamiforums Mana Uzi zinazo iongelea mabaya ya CHADEMA hua zinafutwa pia una blokiwa mtoa mada in short humu jamiforums ni kwa jil ya CHADEMA na kuiponda serekal kwaio mlio jaa umu weng ni CHADEMA

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiiongelea vibaya chadema au mtu wa chadema wanakupiga ban kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani kuna watu wamekumbwa na uwendawazimu wa itikadi za kivyama.

Tatizo la watu kupigwa lisitazamwe kwa fikra duni za uhayawani wa ushabiki wa kivyama, bali litazamwe kwa hekima iliyo ya kweli.

Umtazame Halima Mdee na Bulaya na wengine, kama Watanzania. Kisha tujiulize:

1) Hawa walioumizwa walitenda kosa gani?

2) Kama kuna kosa walilolitenda, kosa hilo linastahili adhabu?

3) Kama walitenda kosa linalostahili adhabu, ni nani mwenye haki za kisheria kutoa adhabu? Ni Polisi, ni mahakama au ni magereza?

4) Kama walitenda kosa, ni hatua gani zilistahili kuchukuliwa? Ni kuvunjwa mikono na askari magereza, kufikishwa mahakamani au kuuawa na hao Askari magereza?

Maana haiingii akili, kwa mtu mwenye akili timamu, kuamini kuwa hao akina Dada wawili wasio hata na toothpick mkononi, walikuwa na nguvu za kuhatarisha usalama wa gereza zima na kundi la askari wote magereza waliopo Segerea, kiasi kwamba kulikuwa hakuna njia yoyote ya kistaarabu ya kuwadhibiti zaidi ya kuvunjwa mikono, kuwakanyaga matumboni na vifuani.

Taifa letu linapelekwa kwenye primitivity ambayo hata babu zetu hawakuwahi kuwa nayo. Hawa askari magereza walichokifanya, ustaarabu wao unazidiwa hata na fisi. Maana pamoja na kwamba fisi hana akili na ana tamaa ya kuoindukia lakini huwezi kuona fisi akimvunja au kumwua fisi mwenzie. Hawa askari hayawani hawana hata chembe ya ufahamu kuwa wale ni binadamu wenzao.

Tusishabikie matukio ya kijinga. Mambo yale yaliyofanywa na askari magereza yanaweza kuganyika kwenye jamii iliyokosa ustaarabu hata ule tu wa kufikia kiwango cha wanyama pori. Tusikubali usalama wa raia kuwekwa mikononi mwa majambazi.

Hawa askari magereza waliofanya upumb.avu ule wameliaibisha Taifa. Ule ni upumbavu ambao haustahili kufanywa kwa mtu yeyote, hata kwa mfungwa. Kama wametenda upumb.avu ule kwa raia wa kawaida, wafungwa huko magerezani wanafanywa nini?
Boss! Mimi bila hata kupepesa naweza kusema wote waliokuwa kwenye huo msafara wa magereza ni wapuuzi wakubwa. UNachoandika ni kama unaamini nchi nzima kila kitu ni ofisi ya siasa. unaanza kuuliza walikuwa na nini, bila hata kujua wewe ni CHDEMA au CCM, ulishafika eneo la gereza bila kuulizwa unatafuta nini? Wazimu gani uliwatuma kuamini CHADEMA ni sehemu ya utawala wa Magereza?

Kambi za majeshi zote hazifanyiwi mzaha. Waweza kuandamana mahakamani lakini kwa upuuzi wa kwenda magereza walichokipata ni pungufu ya walichostahili kupata. Kuna nini Magereza hadi uende kwa maandamano? Mbowe ni mashuhuri kuliko Mandela? Uliwaona ANC wakiandamana kumpokea Mandela nje ya gereza? Wangemsubili ofisini kwao asingefika? KIla jambo linafanywa ni sehemu ya kampeni za siasa, Nonsense! Walionesha ubovu wa akili yao na kutafuta ushujaa wasiokuwa nao.
 
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.
Wako ktk ajira acheni waendelee. Huo wizi wa makanisani wameumaliza au wanaona ni sehemu ya utawala wa Mungu? Wanaikumbusha serikali! Wao Kanisani mambo yanakwenda vizuri? Ukabila tu unawasumbua. Kila siku ni wale wale, wanajiita kanda ya wapi sijui! Waislamu je, wao wanaamini nchi hii ni ya wakristu wa kaskazini tu!
 
Askari kumpiga mbunge, tena mbunge mwanamke, ni jambo linalowezekana katika uongozi wa kusikitisha. Wasipochukuliwa hatua basi tutajua uhayawani huu una baraka za serikali.

Maaskofu wanao wajibu wa kukemea maovu. Na awamu hii polisi na wasiojulikana wananuka maovu.
Mhalifu ni mhalifu haijalishi Ni ke au me hata akiwa shemale Ni mhalifu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakiongea kupitia BBC maasikofu na wachungaji wamesema wanasikitishwa na hali inayoendelea Tanzania juu ya matukio ya watu kushambuliwa na hata kuvunjwa mikono. wanasema wanataka iundwe tume huru ya kijaji kwa kuwatumia majaji wastaafu.

Wanasema majaji wastaafu wanaweza kutokuwa na upendeleo wakitoa report yao pia wameonya iwapo haitafanyika na kutoa haki sawa kwa wote taifa litagawanyika

Wameongeza kuwa pamoja na kwamba sio watu wa siasa ila wanao wajibu wa kukemea maovu maana wanao umizwa ni moja ya waumini wao ivyo ni wajibu wao kuikumbusha serikali kama kuna mambo hayaendi vizuri wayarekebishe haraka wasisubiri mpaka amani itoweke.

Chanzo: BBC.
1660090_FB_IMG_1514731600839.jpg
 
Wako ktk ajira wacheni waendelee. Huo wizi wa makanisani wameumaliza au wanona ni seheu ya utawala wa Mungu? Wanaikumbusha serikali! Wao Kanisani mambo yanakwenda vizuri? Ukabila tu unawasumbua. KIla siku ni wale wale, wanajiita kanda ya wapi sijui! Waislamu je, wao wanaamini nchi hii ni ya wakristu wa kaskazini tu!
Chadema+maaskofu wa kaskazini = udini na ukaskazini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom