Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

Ukweli mtupu...Mimi mwenyewe najua kuchemsha tambi chai na kusonga ugali tu..[emoji1] [emoji1]

Naipenda JF
 
Niliwahi kula kachumbali tamu sana pale upanga PCCB. Kuikata getho ata kunukia kama ile hamna.
 
Hehe mbona tunapika kuzidi nyie mkuu.
Mfano mzuri selebonge anavotoa biryani la maana

brain is the beautiful part of the body.
Aliyekwambia Sele bonge ndio mpishi nani?
Anapika Hamiss na shetta, Sele yeye ni boss na msimamizi tu.
Tuulize sisi tunaokaa jirani na Facebook hapa kwake.
 
Swali hili ningeulizwa miezi 8 ilopita ningekaa kimya.
Unajua unaweza usijue kupika kwa sababu ya mazingira ya kupikika kila siku ila ukifika maenei hauna jinsi isipokua kupika mwenyewe basi ujuzi unaongezeka kila siku na mwisho wa siku unakua mtaalam.
Naweka picha hapa kuonesha mambo nayoyafanya masiku haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…