MADIBA MANDELA
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 503
- 398
Piza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asee, kwel ww Ubachela uko kene damuMakande ndugu ndio magumu kupika
HahahahaaaaKuna siku mother alisafiri tukabaki na mshua ilikuwa hatari. Tukalilia wali, mshua akazama jikoni. Mhmm kitu kilivokuja mezani balaaa.
njoo nikufundishe hahahchapati za kusukuma yaani unapima maji mara unga uwe mgumu ukiweka maji yanazidi unabidi ukafiche kibao cha kusukumia uanze pika za maji
niite nikufundishe[emoji23][emoji23][emoji23]Pilau siwezi na ugali
Ugali hata sipendi kuladuuh!! ugali easy sana mkuu
mimi pia ulinisumbuaga kuutoa
ila now fastaaaa
Njoo [emoji3] [emoji3] [emoji3]niite nikufundishe[emoji23][emoji23][emoji23]
Nusu saa mbona mbali sanaaaa,,dakka kadhaaa tu kitu tayar.Wali Unanunua Mchele Wa Grade A Hauna Chuya,mawe Wala Pumba Unauosha,unaweka Kwa Rice Cooker,unaweka Mafuta Maji Chumvi,funika Nusu Saa Tiyari
Hahahaha upo kama mimi,kuosha vyombo ni kazi kubwaaa sanaaa kwa wengi,,ila mama zetu na dada zetu wanatabu sanaaaa..Kuhusu kuosha vyombo hapo ndo usiseme vyangu vinakaaga mpaka siku tatu
Na chakula ukpka mwanaume ukikila unakiona tu cha kawaida lakn kikipkwa na mdada ni balaaaaaaaaaaSometimes it feel good kula kile mkono wako binafsi umeandaa. Mimi ilinibidi niende extra mile ya kujifunza kupika kama nilivyokuwa navila home baada ya kuwa nalalia kiepe kila siku kutokana na kuona vyakula vya mitaani siridhiki navyo.
Hahahaha chapati zinatoka hazieleweki zina umbo gani..Mandazi na chapati wakuu nimejaribu kukaa karibu na mama lkn kila nikienda getoni lazma nikosee