Naughty by nature
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 2,123
- 2,359
Exactly, Samia bonge la kiongoziAcha ujinga. Huyu ndo mkombozi wetu baada ya kuteswa na jiwe miaka mitano bila mishahara kuongezeka Wala ajira mpya zozote. Sasa hivi ajira ni kila pahala hasa sector binafsi ambayo ilikuwa imekufa kabisa kifo Cha Mende.
Sasa hivi utalii inaajiri kwa Kasi mno na waliosoma tourism wanasema mama has rescued them. Sector ya bank inaajiri kwa mamia kwa Sasa baada ya kupulia mashine k a miaka mitano ya jiwe.
Mpaka ameamua kuwarudishia pesa zilizoobwa kwenye akaunti za Hawa wamiliki wa bureau de change. Sasa hatusikii watu kuuawa ovyo ovyo na watu wasiojulikana.
Anazidi kutuongezea gharama walipa kodi kisa anaogopa kuvunja baraza.Hao ndio engine ya mama ,hawatatoka Hadi 2030.
Fukuza PM sio kumpokonya majukumu na kumpa Biteko.Hapa mamlaka imekwepa kuvunja Serikali yote akaona amfiche PM ili amulikwe vizuri
Yani mwenyw meshangaa😂😂naibu waziri mkuuHii nafasi ipo kikatiba au ndo kusema Kassim Majaliwa haaminiki tena!?
Hao mashoga tuTEC shikilia hapo hapo
Ilikuwa ni kwa muda mfupi tu na huenda ilikuwa kutaka kumziba mdomo asilipue scandal za serikali ya mzee ruksa.Nadhani marehemu Lyatonga Mrema aliwahi kuwa Naibu Waziri Mkuu kama sikosei
Kipindi kile Makamu wa Rais alikuwa ni Waziri Mkuu pia. Kwa hiyo, kwa sasa ni kama utaratibu mpya.Anàfuata nyayo za mzanzibar mwenzake mwinyi àlimteua mrema rip kuwa NWM.
Gabon tayari leo wanajeshi wamefuta uchaguzi wa kitapeli na kuchukuwa nchi.Watanzania hawajaridhika na Mkataba. Hii teua tengua sio Suluhisho.....
"serikali Ina namna mbili tu..
1. Kiheshimu hofu na maoni ya wananchi kwamba hawajaridhika na suala hili, au
2. Kuwapuuza wananchi na kuendeleza na suala hili.
Lakini wapime madhara ya kila uamuzi watakaoifanya"
Mapinduzi yapo mlangoni mwako.
Lakini hapo kulikuwa na hitaji la dharula!! Wizara nyingi zilianza kujishughulisha sana na ufisadi enzi za mzee ruksa!! Mrema kama waziri wa mambo ya ndani akaona ni wajibu wake kuingilia wizara hizo ili kufuatilia tuhuma za ufisadi kwa nguvu zote!! Mawaziri wengine wakawa hawamruhusu kwa madai kuwa anaingilia utendaji wa wizara nyingine!! Mwinyi kuona hivyo akaamua kumpa Mrema rungu litakalomwezesha kuingia kila wizara kihalali kwa nafasi yake! Kwa hiyo akamfanya pia naibu waziri mkuu!! hapo mawaziri wote waliufyata!! Mrema alitisha sana!!! Ukiona Mrema ametembelea mahali tegemea watu watakamatwa!! Ila kwa sasa kuna hitaji lipi la kulazimisha nafasi ambayo haipo kwenye muundo wa serikali?Anàfuata nyayo za mzanzibar mwenzake mwinyi àlimteua mrema rip kuwa NWM.
Tecc ni masshogaWacha ugaidi na Upotoshaji wa Makusudi.
Ushindwe
Hata mkapa nae alikua waziri wa njeRais mstaafu wa awamu ya nne alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje. Akawa mwanadiplomasia mahiri sana. Pia kuwepo kwake kwenye wizara hiyo kulimuepusha na vurugu za siasa za ndani. Akaja kuwa Rais baadae.
Bernard Membe almanusura angekuwa Rais mara baada ya kuhudumu kwa muda mrefu Wizara ya Mambo ya Nje. Akakshindwa na John Magufuli mwaka 2015.
Na sasa January Makamba amepelekwa Wizara ya Mambo ya Nje. Je ndio maandalizi ya kumpika kama Rais ajaye?
Haipo, ndio maana Mrema ilibidi apambanie mafao yake ya kuwa Naibu Waziri MkuuNaibu Waziri Mkuu ipo kikatiba?
Madelu bado kasimamia ukuchaNi mabadiliko madogo hakuna jipya
Ni kweli kabisa,inaonekana kuna mtu hatakiwi ila anaonewa aibu kufukuzwa waziwazi,kama na yeye anafikria mbali anatakiwa aondoke kiutu uzima,asisubiri kukimbizwa na mpini kama kibaka.Nakumbuka hata Kibaki aliwahi kutengeneza hicho cheo cha naibu PM na kumpa Uhuru Kenyatta, enzi hizo walipounda serikali ya mseto baada ya kutokea mgogoro wa uchaguzi na Odinga akawa PM. Utaona kwamba kuunda hiyo nafasi kunalenga kumkwepa PM na kumtumia naibu PM...........kwa maneno mengine Maja atabaki kuwa PM jina.
Maana yake wizara yake haijaguswa, hata Bashe.Sijaona jina la Ridhwan? au katemwa?
Muasisi ni mzee RuksaNaibu waziri mkuu? 🤔 Hiki cheo toka lini kipo 🤔