Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Hakuna ujumbe wowote, hata ukimtazama Kassim Majaliwa unamuona kuwa yu mgonjwa-gonjwa. Hana afya njema, ni lazima apunguziwe mzigo, ana "underperform".

Kama si maradhi physically basi ana "depression".
Ifike mahali uache huu ujinga...

Kati ya wewe na Majaliwa nani anaonekana ana depression sasa..

Mtu mzima akili kisoda...
 
Hao huenda wakakaa pale kwa miaka 7 kisha baada ya 2025 itajulikana, lengo likiwa ni kutambulishwa zaidi kimataifa khasa Makamba jnr.

Lakini sehemu zingine hao ni wakubwa kiumri nchi zingine mtu awa waziri kuanzia 35.
 
👍👍🙏
 
Ilimradi ametolewa Nishati hilo ndilo lilikuwa hitaji letu, hayo mengine mtajuana wenyewe ambao mna uwezo wa kuongea na Mungu hadi mnajuwa duniani mtaishi muda gani.
Mnaweza kufikiri ameliwa kichwa au amepotezwa kumbe mwenzenu ndo kawekwa kwenye njia ya kuelekea kwenye kile akitakacho..

January Yusufu Makamba ambition yake ni kuwa Rais wa JMT

Kupelekwa wizara ya Mambo ya nje & Ushirikiano wa Afrika Mashariki ni maandalizi..

Huyu ndiye mgombea U - Rais ajaye (2025) wa CCM. Hiyo wizara ndiyo huwa inatoa Marais kwa upande wa CCM..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…