Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria


Ila wangekuwa waislam hapo hoja ingegeuka na kuwa ni udini siyo?
 
Before hujashangilia January kutolewa inabidi ujue kwanza January kapanda cheo ki protocol. Mama anamuandaa kuwa Raisi, hii nchi Mama ishamshinda bwana. Saivi it's so clearly kabisa.
 
Kwann binadamu mnaangaika sana na udini? Si kwamba waliohamishwa au kubailishwa ni wapya, hizi takwimu zako unazitoa wapi? Kwann husiseme Wakristo wamabadilishwabadilishwa sana huku Waislam wengi wakisalia ktk nafasi zao? Roho mbaya ya udini haiwezi kuwaletea maendeleo. Hivi haya mambo ya kibaguzi huwa mnafundishwa kwenye ibada zenu? Mara mubebe mabomu mjilipue, hivi mkoje?
 
Kawaida

mfano utaratibu uliopo China kuna Premier moja na vice premier wanne wanao shirikiana kutimiza majukumu ya nchi.

Hao vice premier wanne kila moja anajukumu lake.
Usifananishe China na Tz
Wametuzidi mbali sana
 
Hapa nionacho wanatusetia watu, rais, makamu wa rais na waziri mkuu... wanawaandaa watu!!! Ila ni boko maana wengi hawakubaliki mtaani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…