Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Ukisikia "kutapatapa" hakuwezi kuzidi huku tunakokushuhudia sasa.

Huu uwadhifa wa cheo cha uwaziri, imekuwa ni sifa tu ya kushikiliwa na mtu yeyote hata bila ya kuwa na uwezo wa kufanya kazi ya nafasi hiyo.
 
Ukiwa mchapakazi Tanzania unatishia vyeo vya watu, wanakuundia zengwe unakwisha.
 
Naibu waziri Mkuu wa kwanza Tanzania alikuwa ni Salim A. Salim ambaye alihudumu kwa miaka minne akiwa na Joseph warioba kama waziri Mkuu wake katika awamu ya kwanza ya utawala wa Mzee Mwinyi kwahiyo Mrema hakuwa wakwanza.
Asante kwa masahihisho, ila PM ujumbe atakuwa ameupata kwamba he is no longer needed.

Mzigo mwingine kwa Jamhuri kuweza kumtumza.

Ndiyo maana wage bill ya Serikali imefikia bilioni 695 kutoka bilioni 550 miaka 4 iliyopita 🙌
 
Mwenye kujua mkwe kapelekwa wapi maana hadi tunaingia mitamboni nadhani alikuwa maliasili na utalii
 
KATIBA YA JAMHURI WA MUUNGANO WA TANZANIA IBARA YA 55

55.-(1) Mawaziri wote ambao ni wajumbe wa Baraza la Mawaziri kwa mujibu wa ibara ya 54 watateuliwa na Rais (SAMIA) baada ya kushauriana na Waziri Mkuu (MAJALIWA)
Angalau wewe umeandika katika hali ya mtu anayejielewa. Haujanasa kwenye mipasho.
 
Tangu lini mwenye mkono wa Sweta a.k.a G.OV.I akawa na akili? Kupaa na ungo Kila siku akili itatoka wapi? Ungenambia Kula ugali mkubwa sawa
Mimi siyo msukuma, ila kwa majibu yako haya naona wewe ndo huna akili.
 
Mama anafanya mabadiliko kimkakati; nafasi ya naibu waziri mkuu inaakisi kutokuwa na Imani na waziri mkuu. Kuna namna hesabu zimepigwa na kuona kutakuwa na gharama kubwa kisiasa kulivunja Baraza Zima....
 
Msijilishe pumba, hizo kura hata akizikosa hazizuii yeye kuwa rais!! Mark this Samia ni mpaka 2030!!
Bongo watu mnapenda ubishi kiasi mtu anatunga kitu halafu anabijibishia mwenyewe. Wewe nanga kwani nimekuambia hatapata? Ni hivi: Hata kama CCM wanaiba au kubadilisha washindi lakini hujitahidi sana kufanya kura zao ziwe nyingi kadiri iwezekanavyo. Kadiri zinavyokuwa nyingi ndivyo wizi unavyokuwa mrahisi kufanya na uwezekano wa kutokea fujo kupungua.
 
Naona hujaielewa dhanna ya Reform and Rebuilding.


Hapo kwa Kassim Majaliwa, kilichositisha asipigwe chini ni mfumo tu, lakini ana "underperform" sana, juzi aliambiwa, usingoje maagizo kutoka juu.
Nani ambaye anaperform hata kwa 30% kwenye BM!!??
Hakuna
Hakuna
Hakuna
 
Kwa jicho la tatu ni kuwa majaliwa kasimu kawekwa pembeni kimtindo! Na yawezekana hakubaliani na Dp World. Reference ni ukimya wa Majaliwa kwa sasa
Kwanini anaogopa kujiuzuru?
 
Ukisifia unapongezwa.
 
Katiba yetu haisemi chochote........
-Majukumu ya Naibu waziri mkuu?
-Anareport Kwa nani?
-Mafao yake na Mshahara wake utakuwaje?
Anyway ngoja tuone siku atakayo waapisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…