Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 15,692
- 23,038
Kwa "connections", Slaa anazo za kutosha.Huyo mtoto yupo kwenye Circe yao kitambo, ameshakuwa meya wa Ilala na mjumbe wa Kamati kuu ya Ccm, huwezi kupata hizo nafasi hivihivi.
Ingekuwa upambe tu unalipa hata Pascal Mayalla angepata uteuzi lakini wapi hata ukuu wa wilaya hajawahi kufikiriwa pamoja na kujitowa akili kote.
Akiwa meya alitengeneza mtandao kwa kuwa na ujumbe wa bodi hapa na pale nayo imemsaidia.
Labda atasaidia kurekebisha kodi mbalimbali khasa za majengo.
Ana ujuzi wa masuala ya kodi na ni mhasibu pia lakini alishindwa kutengeneza njia nzuri za mapato akiwa meya.
Amejitahidi sana kujiweka sawa khasa kule kwenye Linkedin.
At last imelipa.