Kama umeshamwangalia huyu mtu akichangia bungeni utakubaliana na mimi kwamba huyu jamaa ana kitu kichwani.watu kama hawa ndio inatakiwa wakae na JPM ambaye ameonyesha nia njema ya kubadilisha nchi hii.Huyu sio mtu wa kukubali kila jambo linalowekwa mezani,na anatetea kwa hoja.Binafsi namkubali sanaAnafaa kwa vipi , substantiate your statement , it is not mere anafaa
Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.
1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.
2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari
3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..
Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.
Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.
There is no excuse on this, the office is too big for this guy.
Leo ndio mnakuja kusema yeye sio mungu anafanya makosa ila alipokua anafanya uteuzi hadi nafasi nyingine akawa anasema hajaona bado mtu anaestahili kuziongoza mlikua mnapiga makofi kua yeye ndie sahihi.
Jiandaeni na excuses za kutosha maana matokeo ya uborongaji ndio kwanza hayajaanza.
kazi ya kuonekana kwa media?Ummi mwalim anapiga saana kazi jaman
Sasa hivi yupo busy na vibali vya sukari si unamjua Yule asili yake ni Dili Huku kwenye siasa huwa yupo tu na hasa Wizara yake ya muungano haipo busy sana baada ya kufanikisha kumsimika Dr shein sasa yupo anatumia fursa za Magufuli kujipatia chochote .January Makamba hivi ni waziri wa nini?maana sisikikii kabisa kazi zake
Yawezekana hizi tetesi zikazaa Breaking News baadae....!!
Hahahaaa madai yake shariti....guu apasue msamba.Lizabon ni Fisadi mkubwa kupitia pesa za utetezi wa wezi yupo gheto Kwa Lugumi anaumwa pressure maana alikula pesa za kitwanga anahofia kudaiwa .
Kwani wewe umeoleww? Maana tangu Minyoo akuvalishe pete ya uchumba yapata miaka mitatu sasaBado hataki kuoa bado damu inachemka
Wapi mkuu muhuni tuMr January na Mrs Ramona Makamba wakiwasili Bukoba kutafuta wazamini.
Utetezi upi ambao nilikuwanao kwa Kitwanga?Mkuu heshima kwako kwanza.
vipi umeishia wapi na ule utetezi wako kwa kitwanga na lugumi.?!
Jpm kawavua nguo mchana kweupe.[emoji16] [emoji16]
Bado hataki kuoa bado damu inachemka
[emoji2] [emoji2] [emoji2] JF kuna vitimbwi kweli kweliYes na ana watoto wawili.... Pia anamla Fina Mango, Egler Mwamoto, Diana mtoto wa Zenji. Na pale CCM makao makuu kapachafua vibaya sana...
Hilo ndo swali la msingi la kujiuliza. Hata hivyo, nimemwambia mleta mada kuwa asahau Bashe na Serukamba kuwemo kwenye baraza la MawaziriMbona wote wanaotajwa kung'olewa ni waliojipambanua kuwa mahasimu wa Lowasa na wanaotajwa kuingia barazani ni purely Pro Lowasa?
Wala sio ccm, kwa sisi tusioendeshwa na uccm wala uchadema tunaona the problem is beyond political parties. Tatizo lipo kwa mentality ya wa Tanzania, sio waadilifu. Usitegemee kuwa na maendeleo ukiwa na watu kama February Marope.Ccm ni ile ile!...
Ahaaa mtani mbona umegeuka ghafla. ila ndio ivyo sahani ya wali ndio ishaingia topè.Utetezi upi ambao nilikuwanao kwa Kitwanga?
naye ni mvunja sheria tuWaziri wa sheria awe Tundu Lisu .
Sasa hao ndio mawaziri ambao rais aliwachuja kwa miezi 3 halafu hawajamaliza hata robo mwaka lakini wanaonekana hawafai. Sasa nani wa kulaumiwa hapo. Aliyewateua au walioteuliwa?Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa.
1. Jenister Muhagama - Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa.
2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari
3. Ummy Mwalimu - Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..
Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga, wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili na pia Serukamba amekuwa akitajwa.
Mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania.