Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
Mm napendekeza Mambo ya ndani Dr. JMP ampe KANGI LUGOLA, ni mzr ila kwa sababu huwa anapambana na rushwa, mafisadi huwa wanajitahidi mchafua. Tuachane na mambo ya Kambi (Team EL), tuangalie uwezo wa mtu.
Bashe ni mzr kwa hoja na ushauri, hana kashifa za kijinga. Yuko Serikalini na Upinzani (Ana uma kote kwa kusema ukweli). Japo ni team EL, tuachane na mambo ya team tujenge nchi kwa pamoja.
Huwa nasema kuna watu Hawamuelewi Rais JMP na dhana yake ya kutumbua, ila muda unavyoenda either Hutaki kumuelewa au unataka, utamuelewa hata kwa lazima!!
Fumua hii nchi iunde upya! Kila la kheri Rais.
Ni mzr mkuu , ila kwa sababu huwa anawashughulikia mafisadi, juzi alipowekwa kwenye kamati sijui ya PAC mafisadi wanajitahidi kumchafua ili wote wafanane.Lugola huyu sio yuleee, huyu kesha anza vibaya
Kitambo sana mkuu. Hyu alibebwabebwa tu kufikia alipo.Kumbe kaanza Muda Mrefu
Jenister, Ummy na February naunga mkono na miguu watoke tu
Yes its too big than his ego which is reasonable......I personally understand himKwani alipowateua hakujua kua walikua na uwezo mdogo?
The offece of the president of united republic is too big.
Mimi sio mpinzani ikiwa kama ulitaka kujibiwa na wapinzani, ila kama huyu wa kinywaji kang'oka hakuna aliye salama.upinzani unaona nani mzima sasa?
Hayo majina ya akina Bulembo hatutaki kuyasikia. Wao na CCM yao ndio wametuharibia nchi.Bora apewe hata halima bulembo kuliko huyo kangi lugola
Wote vichwa hakuna mbovu pale. Mbunge mmoja wa upinzani ni sawa na 100 wa ccm.upinzani unaona nani mzima sasa?
Kwakweli mhh nakumbuka enzi zile... au huyu sie yule aliyekuwaga polisi? Kama ndiye narejea tena kuguna hmm!Adadi mmh
Kwamba ile kusimamishwa kisutu ni plot? Ok maana hata mimi nilikuwa nina mkubali sana dosari ikaja hapo tu,tusubiri tuone ni mapema bado kumkubali kama vile.Ni mzr mkuu , ila kwa sababu huwa anawashughulikia mafisadi, juzi alipowekwa kwenye kamati sijui ya PAC mafisadi wanajitahidi kumchafua ili wote wafanane.
Adadi hafai hata kidogo kupewa wizara ya mambo ya ndani, u DCI aliboronga sana, na mtu wa kupenda rushwa.Kwa weledi gani walio nao hao kwenye red!
Serukamba mda mwingi hutuma msg Kwa Magufuli kumchongea January Makamba na mawaziri wengine anajulikana Kwa Unafiki lakini habari za chini ya kapeti na Kwa mujibu wa Sangoma mkuu wa January Makamba ni kwamba Adad Rajab atakuwa naibu Waziri lakini Waziri kamili wa mambo ya ndani atapewa January au Mwakyembe Magufuli anataka kuweka watu wenye roho ngumu za kuwadhoofisha upinzani , hataki wanafiki Kama serukamba hao watapewa wizara zenye bajeti ndogo zisizo na heka heka kubwa .Muda wowote mabadiliko makubwa yanategemea kutokea katika baraza la mawaziri. ambapo mawaziri kadhaa watatemwa kutokana na sababu kadhaa...
1. Jenister Muhagama..... Anatuhumiwa kwa kuzunguka mamlaka za teuzi (Rais na Waziri Mkuu) katika sakata la kumteuwa kaimu mkurugenzi wa NSSF... Mhagama alitenda kosa hilo akishirikiana na Balozi Ombeni Sefue ambaye kwa sasa kashatumbuliwa....
2. January Makamba...... Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari
3. Ummy Mwalimu...... Inasemekana kasi na uwezo wake mdogo haumrithishi Rais kwa sasa..
Katika mabadiliko hayo Adadi Rajabu, Mbunge wa Muheza inasemekana anaweza kuingia kuchukua nafasi ya Kitwanga.... wengine wanaotajwa ni Bashe, mbunge wa Nzega ambaye anaweza kupewa docket ya Mazingira au Maliasili... na pia Serukamba amekuwa akitajwa.....
mytake: wananchi kwa umoja wetu tumuunge mkono Rais Magufuli.... ana dhamira njema kabisa la kuwatumikia watanzania....
umena Ukweli mkuu hafai Huyo .Adadi hafai hata kidogo kupewa wizara ya mambo ya ndani, u DCI aliboronga sana, na mtu wa kupenda rushwa.