Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Mpaka sasa najiuliza kama kweli JPM anataka hapa kaz si achukue sample na upinzani kama alivyofanya Dk.sheni au vip jaman?maana upinzan Kuna watendaji wazuri tunataka kuinua tz yetu sote pamoja...wapi kabwe,lisu,nasary,na wengine wengi tu
 

Bora apewe hata halima bulembo kuliko huyo kangi lugola
 
Kwani alipowateua hakujua kua walikua na uwezo mdogo?

The offece of the president of united republic is too big.
Yes its too big than his ego which is reasonable......I personally understand him
Kwakua ni raisi unataka akikosea amezee tu ili msimuone kachemka, yeye pia ni binadamu kukosea kupo, vizuri akitambua kosa kuinuka na kurekebisha
 
Ni mzr mkuu , ila kwa sababu huwa anawashughulikia mafisadi, juzi alipowekwa kwenye kamati sijui ya PAC mafisadi wanajitahidi kumchafua ili wote wafanane.
Kwamba ile kusimamishwa kisutu ni plot? Ok maana hata mimi nilikuwa nina mkubali sana dosari ikaja hapo tu,tusubiri tuone ni mapema bado kumkubali kama vile.
 
Serukamba mda mwingi hutuma msg Kwa Magufuli kumchongea January Makamba na mawaziri wengine anajulikana Kwa Unafiki lakini habari za chini ya kapeti na Kwa mujibu wa Sangoma mkuu wa January Makamba ni kwamba Adad Rajab atakuwa naibu Waziri lakini Waziri kamili wa mambo ya ndani atapewa January au Mwakyembe Magufuli anataka kuweka watu wenye roho ngumu za kuwadhoofisha upinzani , hataki wanafiki Kama serukamba hao watapewa wizara zenye bajeti ndogo zisizo na heka heka kubwa .
 
Kwa Bashe na Hadadi hapo naunga mkono kabisa, hawa jamaa ni wazuri sana.

Hapo kwa Ummy Mwalimu naona kama huyu mama watakuwa wanamuonea vile aisee.

Mbona yuko safi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…