Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Mwacheni Mh Rais afanye mabadiliko pale anapoona inafaa katika teuzi zake mbona hoja nyingi?
 
Ummy is far better than your Kigwangallah.
 

Mkuu naona ujasamehe effect ya team Lowassa baada ya Serukamba kukacha boti
 

Mkuu, tuhuma nambaa 2 ni serious sana. Ni ya kweli hiyo?
 
Adadi Rajabu is Pathetic. Huyo jamaa nilishangaa sana hata alipoewa uenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama. Ila nikaacha kushangaa baada ya kukumbuka kwamba wanasiasa ni kikundi cha 'wahalifu'.
 
hawezi kubadilisha mawaziri wengi kiasi hicho kwa muda huu mfupi na akifanya hivyo Nchi itamshinda mara 3 ya sasa hivi.Magufuli ana bahati mbaya kweli ajamaliza hata mwaka 1 inaonekana amezidiwa kwa vingi tofauti na watangulizi wake.
Pili atamuweka january katika wizara za hovyo hovyo lakini kumfukuza hawezi kwa kuwa J.Makamba kachangia ushindi wa JPM kwa kiasi kikubwa kuzidi mwana CCM yoyote.
 
Hizi tetesi zaweza kuwa kweli

Wengine tulishasema toka mwanzo kuwa Rais Magufuli alichoanza nacho wala sio KASI bali ni MIZUKA tu ya kuwa Rais. Nchi haiongozwi kwa mizuka na watakaomuangusha wala sio wapinzani bali ni hao hao wenzake ndani ya serikali na chama chake wengi wakijifanya washauri wake!!

Na staili yake ya uongozi hii ya kuamua bila kufikiria....ndiyo anguko lake. Wakati mwingine huyu mtu si hata wa kumuombea bali apaswa atumie akili na busara zake mwenyewe huku akiomba yeye mwenyewe!!

Huyu anafuata nyayo zilezile za Mkwere, hana jipya. Yaani wanambadilisha mwelekeo kabisa, badala ya ku deal na matatizo ya nchi, anaanza ku deal na migogoro ndani ya serikali yake!!
 
Interesting..

Indeed for people to suggest even Serukamba to be considered for a cabinet post; it will be suicidal for JPM!!! Adadi hawezi kuwa effectictive kwenye docket ya mambo ya ndani kwani vita dhidi ya madawa ya kulevya ilimshinda wakati akiwa DCI; Kagasheki ana rekodi ya ujasiri aliyoionesha akiwa Maliasili, anaweza kupambana na hawa wauza madawa!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…