Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

Tetesi: Mabadiliko Baraza la Mawaziri; J. Makamba, Mhagama, Ummy Mwalimu nje; Adadi Rajabu, Bashe watajwa

2. January Makamba - Maranyingi amesikika na kurekodiwa akimsema vibaya Rais, akimsengenya Rais pamoja na kuratibu mipango mbalimbali ya kumdhoofisha Rais Magufuli. haya anayatenda katika Hotel ya Protea Dar es Salaa., na Dodoma ambapo amekuwa akifanya vikao vya siri usiku wa manane na baadhi ya wabunge wa upinzani, pamoja na wafanyabiashara wakubwa wakiwemo wa sukari
hivi hao watu unaowasema siwafia ccm,.so mmeamini kuwa ccm haiitakii nchi hii mema,.sasa leo hii mwez wa kwanza anapiga fitina na majungu kwa rais ambae anapinga rushwa na ufisadi,..sasa je huwa mnaangalia nini kumpitisha mtu kuchukua fom ya urais???????????????
je angepita ingekuaje????????????????
na je hao wafia chama,kwanini msiwafukuze chamani ??????????wakati ushahidi mnao kuwa walikaa vikao kupinga juhudi za malaika,.zaid mnawakumbatia.,.umeamini kuwa kushabikia ccm inabidi uwe na akili fulani hivi amazing amazing,.husema vijana
 
Ningekua Rais Magufuli ningemteua Dr. Slaa awe mbunge na kisha kumpa wizara ya Mambo ya ndani.
Nchi ingekimbia mchaka mchaka. Dr. Slaa sio mvivu wa kusoma na kufanya kazi.
Dr. Slaa angemsaidia sana Magufuli kwenye hii vita ya kupambana na majipu yaliyojazani ndani ya utawala wa chama ya vyama na serikali.
Dr. Slaa ni jasiri sana. Sio mtu wa kukaa ofisini na kusubiri taarifa.
Hana huruma na wauza madawa ya kulevya.
Dr. Slaa ameshaachana na mizigo ya uchama ambayo inaturudisha nyuma sana kifikra na kimaendeleo.
Waahalifu wengi wanajificha ndani ya chama na serikali.

Kusema ukweli simuoni mtu anayefaa kuwa waziri wa Mambo ya ndani zaidi ya Dr. Slaa.

Kama Magufuli au waziri Majaliwa yupo humu JF basi alitendee taifa hili haki kwa kumpa Dr. Slaa wizara ya Mambo ya ndani.

Mh. Rais asipoangalia kwenye wizara ya mambo ya ndani atachemka sana kwani ni muda mrefu tangu Mrema aondoke hii wizara haijapata waziri mwingine. Imekua ikiendeshwa na wakuu wa idara wenyewe tu na mawaziri vivuli. Mrema pekee ndiye aliyewahi kuwa waziri wa Mambo ya ndani ya nchi hii. Hao wengine wote hawakujua majukimu yao. Walikua ni wababaishaji tu. Ndio maana walioko kwenye hii idara wanajiendesha wanavyoona inafaa kutokana na ukweli kwamba hii wizara haina waziri kwa muda mrefu.
Dr. Slaa ana nafasi kubwa cha kuvuka kiwango cha Mrema kutokana elimu yake kuwa kubwa zaidi ya Mrema . Hivyo kwa Slaa kuwa waziri wa Mambo ya ndani ataboresha utendaji kwa kisasa zaidi na kwa juhudi kama ile ya Mrema.

Vinginevyo kuna kila dalili ya kumwacha MLEVI wa pombe na kutuletea TEJA la unga.

Hii wizara inapokosa waziri basi nchi inayumba sana. Wizara ya Mambo ya ndani ndiyo inayotunza na kulinda nidhamu ya nchi na wananchi wake.

Kwa sasa ndani ya wabunge wa CCM hakuna anyefaa kuwa waziri na akadumu hata kwa mwaka mmoja bila kashfa yake kuwekwa hadharani. Wanajuana wote ni wachafu ndio maana wanaumbuana kupitia upinzani.
Hata hao waliopo wanakashfa nyingi ndio maana ni waoga wa kuchukua maamuzi na wanamwachia Magufuli atumbue majipu ndio wajitokeze kusifia.
Wote ndani ya CCM kuanzia madiwani walijipatia mali za umma kwa kudanganya na sasa wanakaa kimya kujifanya wameridhika ndio maana wanasifia hata uovu. Wanaingia bungeni na hangover ndio maana hawatafakari wala kushughulisha vichwa vyao zaidi ya kugonga meza na kelele za ndioooooooo. Ukimuuliza kwa nini unasema ndio unakuta akisema namsaidia waziri ili bajeti yake ipite kirahisi.

Dr. Ataongeza safu ya mashambulizi ya kutumbua majipu.

Hao wengine wote ndani ya CCM waliokaa zaidi ya miaka 10 kwenye utawala na ubunge wana mgongano wa kimaslahi kwa kila kona ya nchi hii. Utendaji wao na maamuzi yao sio ya kutoka rohoni bali ni kufuata upepo tu.

Wizara ya Mambo ya ndani inafaa sasa apewe mtu mwadilifu asiye na mabiashara yanayotia shaka wala ukaribu na wauza unga na wakwepa kodi. Hii wizara ina idara zaidi ya nne chini yake hivyo inahitaji mtu mwenye uwezo kama Dr. Slaa.
 
Mimi naona Mh Rais aendelee kupanga safu yake ya viongozi pole pole mpaka ajipatie viongozi walio bora. Kama akikosa viongozi wazuri huko CCM basi aunde Baraza la umoja wa Kitaifa upande mwingine yaani kwa wapinzani kuna watu wazuri sana ambao ni viongozi bora Awatumie hawa ili wamsaidie kuongoza nchi. Wananchi wanachongojea ni maendeleo Na hasa kuona mambo yanasonga mbele. Akubaliane na wazo la kupata katiba Mpya ili aendeleze yale ambayo anaona yatasaidia Taifa hili la Tanzania na swala la kuwa na mgombea binafsi sasa linadhihirika ndio lingekuwa suluhisho kwa Rais Kama Magufuli, angejichagulia viongozi wake kutoka upande wowote na angeongoza nchi kwa mafanikio mengi na wananchi wanachotaka ni kuona mambo yanasonga mbele kwa kasi kubwa yenye ahueni.
Hata hivyo mh Rais asiogope sisi wananchi wake tunamwombea sana yeye abadilishe baraza lake la mawaziri hadi ajiridhishe mwenyewe. Ni wazi si wote watafurahi lakini akumbuke hawa ni wachache hivyo aishi nao kwa tahadhari kubwa. Wakimsumbua zaidi wachape viboko, au watupe rumande wakirudi watasahau walikotoka.
Nchi hii ni mali ya Watanzania na sio ya watu wachache au kundi la watu fulani. Tanzania Mpya inawezekana kabisa.
 
Wewe njaa inakusumbuwa, ni nani anaweza kukupa uwaziri Somalia? Kama hujui kitu kaa kimya hii siyo serikali ya Msoga, Bashe ni msomali na nhi mkurugenzi wa Habari corporation inayomilikiwa na Rostam Aziz Tycoon wa Panama paper, hivi Watanzania wenye nia njema wamekwisha mpaka serikali yetu tuwakabidhi mamluki?

Nyinyi kwa njaa zenu huko majimboni endeleeni kuwapa ubunge ila msahau mamluki hawa kuingizwa serikalini. Never.
Kwenye hoja ya kua msomali hilo halina mashiko.Mbona katibu mkuu wa chama chetu ni msomali?Tukizungumzia asili kila mtu atakua mgeni.Sema bashe hafai sababu ya kambi aliyopo hapo kidogooooooo naweza kukusikiliza
 
Mh. Rais wetu mtukufu Dkt John Joseph Pombe Magufuli njoo huku JF unaitwa. Shikamoo JF
True JPM apite JF hapa kuna kila kitu ajipakulie achague yanayomfaa.Am sure anapita sana tu hapa.Haiwezekani kuacha JF .
 
Mpaka leo sijaelewa Ummy Mwalimu na Mhagama (as well as Nape) walipataje kuwa mawaziri katika Serikali iliyothubutu kusema baadhi ya Wizara mawaziri "makini" hawajaonekana. Nadhani hii ilitokana na ile dhana ya kila mmoja kwenye top 3 kutakiwa kupendekeza watu wake.
Nami bado sikuelewi,mwanaume kamili unawezaje kumuacha Ummy kwenye baraza?
 
~~January Makamba huyu wa kuwekwa pembeni tu,hawazi kazi na uwajibikaji katika wizara yake,ye anawaza
Urais tu wa 2025,kutwa kucha kuendesha vikao vya fitna ili awekwe Wizara ya Mambo Ya Nje au Madini
Na nishati ili awe kwenye media all the time.
Protea Hotel kabadilisha baada ya wapambe kumwambia kastukiwa,Yaani analalamika sana kupewa wizara
Isiyompa Airtime za kutosha


~~Adadi Rajabu huyu si wa kumfikiria kabisaaaa,huyu ni bingwa wa mtandao wa milungula,akiwa DCI pale
Amecheza sana michezo ya rushwa akiwa DCI,analijuwa Jeshi la Polisi,lkn kwa kasi hii hawezi kukemea
Walio chini yake sbb ndio walikuwa wanatumana kupokea mizigo

~~~Serukamba "House Boy" wa Monduli,kawasumbua sana CCM na hela za Monduli,huyu hafai na JPM
anajuwa jinsi kijana anavyoendelea "kuitika" toka Monduli,hata BASHE bado si mtu sahihi,BASHE kakuwa na kusoma kwa pesa ya meno ya tembo na ngozi za ng'ombe za Wanyamwezi,ukaribu wake na Monduli na pale kwa mzee wa Panama Papers hakuumpi hiyo nafasi,ndio maana washauri wake wamemwambia ajikite katika siasa za Jimbo.Hii inamfanya awe "mkali" sana kwa serikali na kuikemea,inampa sifa Jimboni na kumuondolea marafiki kwenye CHAMA
 
mkuu yaani kwa mtu mwenye akili timamu,.ccm siyakushabikia kabisaaaaa
mwakyembe ndo wazr husika wa katiba na sheria za nchi hii,then mtu mlevi mlevi2 anavunja katiba tena mbele ya chombo cha buge,.then anachekelea bila haibu,.hivi hawa viongoz wakoje sijui,....jpm anakaz sana kwa hii system ya kuchekeleana hovyohovyo,.labda aame chama,.ila ndani ya ccm,..hamna atakofanikiwa
Mkuu evansGREATDeal alikuwa anacheka??Mimi sikubahatika kumuona...Ila niliona tu yule jamaa pembeni sijui ni naibu waziri wa nini,akicheka baada ya Amada wa Misungwi kurudi toka kujibu swali na nyongeza

Nasikia jamaa alikuwa ananuka pombe kama umesogelea PIPA la "komba" la kuchachua pombe ya komoni
Hata pale anaposoma alikuwa anakunja kunja uso...Daah kweli siasa ni fitna,jamaa ile hang over aliwekewa Royal Village,watu wakaongeza "ingredients" kwenye glass yake.Massauni akatengenezewa tukio la kumfanya aende Zanzibar kwenye kongamano la Vijana wa Zanzibar University,huku nyuma akabaki mtu mzima peke yake
 
Janet gani huyo halafu mkweli ok
Niliufungua halafu nilicheki jina kama ni wale "Watabiri" wa kawaida wakina singidadodoma nikaona ni Janet. Nikarudi jukwaa la siasi kuangalia kama mwingine kaposti sikuona. Nikautafuta kwenye list ili nione uchangiaji, haukuweko. Nilipoenda kwenye history ndio nikagundua ulishanyofolewa.
 
Back
Top Bottom