Mabadiliko Baraza la Mawaziri yanakuja muda wowote baada ya mkutano huu wa 12 wa Bunge hili kutamatika wiki hii

Mabadiliko Baraza la Mawaziri yanakuja muda wowote baada ya mkutano huu wa 12 wa Bunge hili kutamatika wiki hii

MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI YATAJWA

MABADILIKO makubwa ya Baraza la Mawaziri yanatabiriwa kufanywa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wowote baada ya kumalizika kwa Mkutano wa 12 wa Bunge unaofikia ukingoni mwishoni mwa wiki hii.
Mabadiliko hayo yanatabiriwa kuwagusa mawaziri ambao kasi ya utekelezaji wa majukumu yao haiendani na tamaa na azma ya Rais Samia ya utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya serikali inayoiongoza pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020 ambacho yeye ni mwenyekiti wake
Wachambuzi na wafuatiliaji wa mambo wanaeleza kuwa katika mabadiliko hayo, Rais Samia anaweza kuwabadilisha baadhi ya mawaziri wenye uwezo mkubwa waliouthibitisha katika utendaji wao kwenye wizara wanazoongoza sasa na kuwapeleka kwenye wizara nyingine zinazohitaji usimamizi madhubuti; lengo likiwa kuongeza ufanisi wa kiutendaji.

matinyi.jpg

Mobhare Matinyi
Inaelezwa kuwa mabadiliko hayo ni mwendelezo wa mabadiliko ambayo amekuwa akiyafanya siku za hivi karibuni kwenye idara na taasisi nyeti za Serikali yakilenga kupanga vizuri safu ya wasaidizi wake na kuimarisha utendaji kazi serikalini.
Aidha, inaelezwa kuwa Rais Samia anaweza kuwashangaza wengi kwa kufanya mabadiliko yatakayogusa wizara nyeti ikiwa ni pamoja na kuwaacha pembeni baadhi ya mawaziri vigogo na kuingiza sura mpya kwenye baraza lake la mawaziri na kuwapandisha wengine.
Hivi karibuni, Rais Samia amefanya mabadiliko makubwa ya wasaidizi wake wa Ikulu ambayo pia yalimgusa aliyekuwa. Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus aliyemteua kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

zuhura-yunus.jpeg

Zuhura Yunus
Mabadiliko mengine yaliyofanywa na Raisi Samia katika nafasi nyeti yalimgusa aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi aliyepangiwa majukumu mengine huku nafasi yake ikichukuliwa na Thobias Makoba ambaye kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Msajili wa Hazina.
Tangu alipoingia madarakani, Rais Samia ambaye mtindo wake wa uongozi ni wa ushirikishaji na uelekezaji na zaidi uvumilivu kwa wateule wake akilenga kuwapa uwanda mpana wa utekelezaji majukumu yao na kusahihisha makosa ya kawaida kiutendaji, amekuwa akifanya mabadiliko ya nafasi mbalimbali za viongozi kwa kuimarisha maeneo ambayo hayafanyi vizuri na kuwatupa pembeni wale ambao mwenyewe amepata kusema ‘wakimzingua na yeye anawazingua.’
Cha ajabu ni kipi hapo ikiwa mpaka leo hajawahi kuunda serikali yake? Mpaka sasa serikali iliyopo ni ile iliundwa na JPM, Damia hajawahi kuunda serikali
 
Mama kama anasoma hii comment namshauri ampige chini Mwigulu na Makamba kwasababu ndo wanaomfanyia hujuma kwenye uongozi wake kwasababu nao wanautaka urais. Kiburi alichonacho Mwigulu ni sabotage kwa serikali ya awamu ya 6. Ninaamini huyu waziri huko aliko anacheka kimyakimya kufurahia kinachoendelea kwa sasa nchini. Apige chini wote wanaoutaka urais na kuhakikisha anawapiga pini hata baada ya kuwatumbua. Akiwachekea watazidi kumharibia.
 
MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI YATAJWA

MABADILIKO makubwa ya Baraza la Mawaziri yanatabiriwa kufanywa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wowote baada ya kumalizika kwa Mkutano wa 12 wa Bunge unaofikia ukingoni mwishoni mwa wiki hii.
Mabadiliko hayo yanatabiriwa kuwagusa mawaziri ambao kasi ya utekelezaji wa majukumu yao haiendani na tamaa na azma ya Rais Samia ya utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya serikali inayoiongoza pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020 ambacho yeye ni mwenyekiti wake
Wachambuzi na wafuatiliaji wa mambo wanaeleza kuwa katika mabadiliko hayo, Rais Samia anaweza kuwabadilisha baadhi ya mawaziri wenye uwezo mkubwa waliouthibitisha katika utendaji wao kwenye wizara wanazoongoza sasa na kuwapeleka kwenye wizara nyingine zinazohitaji usimamizi madhubuti; lengo likiwa kuongeza ufanisi wa kiutendaji.

matinyi.jpg

Mobhare Matinyi
Inaelezwa kuwa mabadiliko hayo ni mwendelezo wa mabadiliko ambayo amekuwa akiyafanya siku za hivi karibuni kwenye idara na taasisi nyeti za Serikali yakilenga kupanga vizuri safu ya wasaidizi wake na kuimarisha utendaji kazi serikalini.
Aidha, inaelezwa kuwa Rais Samia anaweza kuwashangaza wengi kwa kufanya mabadiliko yatakayogusa wizara nyeti ikiwa ni pamoja na kuwaacha pembeni baadhi ya mawaziri vigogo na kuingiza sura mpya kwenye baraza lake la mawaziri na kuwapandisha wengine.
Hivi karibuni, Rais Samia amefanya mabadiliko makubwa ya wasaidizi wake wa Ikulu ambayo pia yalimgusa aliyekuwa. Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus aliyemteua kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

zuhura-yunus.jpeg

Zuhura Yunus
Mabadiliko mengine yaliyofanywa na Raisi Samia katika nafasi nyeti yalimgusa aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi aliyepangiwa majukumu mengine huku nafasi yake ikichukuliwa na Thobias Makoba ambaye kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Msajili wa Hazina.
Tangu alipoingia madarakani, Rais Samia ambaye mtindo wake wa uongozi ni wa ushirikishaji na uelekezaji na zaidi uvumilivu kwa wateule wake akilenga kuwapa uwanda mpana wa utekelezaji majukumu yao na kusahihisha makosa ya kawaida kiutendaji, amekuwa akifanya mabadiliko ya nafasi mbalimbali za viongozi kwa kuimarisha maeneo ambayo hayafanyi vizuri na kuwatupa pembeni wale ambao mwenyewe amepata kusema ‘wakimzingua na yeye anawazingua.’
Hatuoni kabisa tija kwenye mabadiliko anayofanya,labda anajifurahisha yeye mwenyewe tu.To most of us hata baada ya mabadiliko it's business as usual.We suggest mabadiliko yaanze na yeye mwenyewe.
 
MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI YATAJWA

MABADILIKO makubwa ya Baraza la Mawaziri yanatabiriwa kufanywa na Rais Samia Suluhu Hassan wakati wowote baada ya kumalizika kwa Mkutano wa 12 wa Bunge unaofikia ukingoni mwishoni mwa wiki hii.
Mabadiliko hayo yanatabiriwa kuwagusa mawaziri ambao kasi ya utekelezaji wa majukumu yao haiendani na tamaa na azma ya Rais Samia ya utekelezaji wa mipango ya maendeleo ya serikali inayoiongoza pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ya mwaka 2020 ambacho yeye ni mwenyekiti wake
Wachambuzi na wafuatiliaji wa mambo wanaeleza kuwa katika mabadiliko hayo, Rais Samia anaweza kuwabadilisha baadhi ya mawaziri wenye uwezo mkubwa waliouthibitisha katika utendaji wao kwenye wizara wanazoongoza sasa na kuwapeleka kwenye wizara nyingine zinazohitaji usimamizi madhubuti; lengo likiwa kuongeza ufanisi wa kiutendaji.

matinyi.jpg

Mobhare Matinyi
Inaelezwa kuwa mabadiliko hayo ni mwendelezo wa mabadiliko ambayo amekuwa akiyafanya siku za hivi karibuni kwenye idara na taasisi nyeti za Serikali yakilenga kupanga vizuri safu ya wasaidizi wake na kuimarisha utendaji kazi serikalini.
Aidha, inaelezwa kuwa Rais Samia anaweza kuwashangaza wengi kwa kufanya mabadiliko yatakayogusa wizara nyeti ikiwa ni pamoja na kuwaacha pembeni baadhi ya mawaziri vigogo na kuingiza sura mpya kwenye baraza lake la mawaziri na kuwapandisha wengine.
Hivi karibuni, Rais Samia amefanya mabadiliko makubwa ya wasaidizi wake wa Ikulu ambayo pia yalimgusa aliyekuwa. Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus aliyemteua kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu.

zuhura-yunus.jpeg

Zuhura Yunus
Mabadiliko mengine yaliyofanywa na Raisi Samia katika nafasi nyeti yalimgusa aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi aliyepangiwa majukumu mengine huku nafasi yake ikichukuliwa na Thobias Makoba ambaye kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Msajili wa Hazina.
Tangu alipoingia madarakani, Rais Samia ambaye mtindo wake wa uongozi ni wa ushirikishaji na uelekezaji na zaidi uvumilivu kwa wateule wake akilenga kuwapa uwanda mpana wa utekelezaji majukumu yao na kusahihisha makosa ya kawaida kiutendaji, amekuwa akifanya mabadiliko ya nafasi mbalimbali za viongozi kwa kuimarisha maeneo ambayo hayafanyi vizuri na kuwatupa pembeni wale ambao mwenyewe amepata kusema ‘wakimzingua na yeye anawazingua.’
Atakuwepo ofisini??
 
Kwani wabunge ni tofauti au hawa hawa? 🐼
Mfukuzeni yule mwizi wa maji (Juma Awezo) ni mwizi mkubwa haifai. Ni mwizi Kila mahali; anaingilia Kila mchakato. Kwenye uteuzi udiomhusu yupo kwenye kununua mabomba yupo kwenye wakandarazi yupo kwenye kuteua karibu mkuu yupo Kila mahali. Huyu haifai hata kuwa katibu kata ingawa anadanga wengi kwa media uchwara na kubeba mindoo na kutumbua wataalamu feki na kisanii
 
Mfukuzeni yule mwizi wa maji (Juma Awezo) ni mwizi mkubwa haifai. Ni mwizi Kila mahali; anaingilia Kila mchakato. Kwenye uteuzi udiomhusu yupo kwenye kununua mabomba yupo kwenye wakandarazi yupo kwenye kuteua karibu mkuu yupo Kila mahali. Huyu haifai hata kuwa katibu kata ingawa anadanga wengi kwa media uchwara na kubeba mindoo na kutumbua wataalamu feki na kisanii
Jafo wa Shujaa Magufuli 😂😂
 
Kubadilisha mara kwa mara hains tija. Imebaki mwaka mpaka uchaguzi na mpaka sasa hauna winning team. Usisikilize majungu na maneno ya watu.
 
Mfukuzeni yule mwizi wa maji (Juma Awezo) ni mwizi mkubwa haifai. Ni mwizi Kila mahali; anaingilia Kila mchakato. Kwenye uteuzi udiomhusu yupo kwenye kununua mabomba yupo kwenye wakandarazi yupo kwenye kuteua karibu mkuu yupo Kila mahali. Huyu haifai hata kuwa katibu kata ingawa anadanga wengi kwa media uchwara na kubeba mindoo na kutumbua wataalamu feki na kisanii
atakua amekunyoosha... UWESO sio mbaya kiutendaji.
 
Bila kubadili mfumo wake wa usimamizi, Mh Rais atabadili sana mawaziri bila improvement ya utendaji kazi.
 
Mfukuzeni yule mwizi wa maji (Juma Awezo) ni mwizi mkubwa haifai. Ni mwizi Kila mahali; anaingilia Kila mchakato. Kwenye uteuzi udiomhusu yupo kwenye kununua mabomba yupo kwenye wakandarazi yupo kwenye kuteua karibu mkuu yupo Kila mahali. Huyu haifai hata kuwa katibu kata ingawa anadanga wengi kwa media uchwara na kubeba mindoo na kutumbua wataalamu feki na kisanii
Hapa Dar maeneo ya Ubungo tuna zaidi ya wiki mbili hatupati maji.
 
Back
Top Bottom