Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Wewe hata akili huna? Dodoma ndipo yalipo makao makuu ya polisi, hivyo karudishwa makao makuu kuchukua nafasi ya huyo Wambura.Hivi Dodoma hakuwepo Afande Muliro?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hata akili huna? Dodoma ndipo yalipo makao makuu ya polisi, hivyo karudishwa makao makuu kuchukua nafasi ya huyo Wambura.Hivi Dodoma hakuwepo Afande Muliro?
Ila ni Mtu Mmoja makini na Mstaarabu.Wambura endeleza chinjachinja ya majambazi Jijini.Mambosasa karibu tena Dodoma.
Yule Afande Muliro alikuwa Mkoa gani?Wewe hata akili huna? Dodoma ndipo yalipo makao makuu ya polisi, hivyo karudishwa makao makuu kuchukua nafasi ya huyo wambura
Kapelekwa UPELE KUU hata mimi sipajui ndugu yangu.Kapelekwa wapi maana aliamini Dar ni yake.
Muliro ni RPC MwanzaYule Afande Muliro alikuwa Mkoa gani?
Kweli Muliro namchanganya na wa Dom.Muliro ni RPC Mwanza
Muroto RPC Dom
Wambura Chief of Upelelezi Police HQ Dom ndo katolewa kaletwa Dar na mambosasa kaenda kuwa Mkuu wa Upelelezi Makao makuu ya Polis Dodoma
Sumu ya vimelea vya BAKTERIA yaani Comrade Makonda ndiye mkuu wa mkoa wa Dar mbovu kuliko wote ?!! 🤣🤣🤣Khaa Genta ndugu yangu nawe umeamua kufanya majungu na tarnish image eeee?!! Haya bnaa "mtutsi" wa bongo....Safi sana Poti wangu mkubwa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shavu hilo Kubwa. Hii nafasi ilikuwa inakusubiria Kitambo tu na najua huyu aliyetolewa alikuwa akikufitinisha sana na Wakubwa zako ili Yeye asitolewe hapo kwa Kulindwa Kwake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.
Kiukweli sikuwahi kuona Jipya la Kiutendaji kwa Mambosasa zaidi tu ya Ubabe, Ukatili, Vitisho na Roho Mbaya yake aliyoambukizwa vyema na Rafiki yake Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mbovu kuwahi kutokea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Unawademukia tu usiowapenda 🤣🤣🤣Binafsi nimefurahi mno lilikuwa ni Katili.
Kwa kuwa MAANDAMANO yatakuwa rukhsa chini ya Wambura, comrade "RBC"?!!🤣kuondolewa Huyu ni neema kubwa sana
Hahaa ISOMEKE MAKETE dah!Hii taarifa mbona imekaa kiubabe sanaView attachment 1788994