Mabadiliko Jeshi la Polisi: IGP Sirro ampeleka Kamanda Mambosasa Dodoma, Wambura amrithi kanda maalum Dar

Mabadiliko Jeshi la Polisi: IGP Sirro ampeleka Kamanda Mambosasa Dodoma, Wambura amrithi kanda maalum Dar

Mbona nchi ilikuwa imetulia kwa sababu ya hao mnaowaita makatili?

Hii nchi kuna watu washenzi sana wasumbufu wanaojifanya watemi wakati serikali ipo.Akitokea polisi ana burgain na wahalifu,tutarudi kwa kasi enzi za watemi wa zamani mfano huku kanda ya ziwa walikuwepo akina Zacharia na wababe wengine wa ziwa Victoria.

Polisi lazima awe katili,maana nchi hii imejaa mijitu mikatili vile vile.Na hatupendi kusikia maandamano ya kisiasa,tunataka kusikia hoja zenye lengo la kujenga nchi na si kuyumbisha serikali
Ni kijiwe tu aisee,
 
Wamtupe huko Kigoama huyu mwendawazimu akawasimulie habari za risasi kukata kona
 
Uandishi wa barua za kijeshi raha sana, hata barua imeandikwa kibabe 'amri', 'kili kupokea', 'someka', 'mwisho', yaani hakuna cha ooh boss mimi, sijui unajua kuna... 😁
 
Safi sana Poti wangu mkubwa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shavu hilo Kubwa. Hii nafasi ilikuwa inakusubiria Kitambo tu na najua huyu aliyetolewa alikuwa akikufitinisha sana na Wakubwa zako ili Yeye asitolewe hapo kwa Kulindwa Kwake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.

Kiukweli sikuwahi kuona Jipya la Kiutendaji kwa Mambosasa zaidi tu ya Ubabe, Ukatili, Vitisho na Roho Mbaya yake aliyoambukizwa vyema na Rafiki yake Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mbovu kuwahi kutokea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Uko sahihi, sidhani kama kwa sasa kuna Afisa wa Polisi wa ngazi ya juu anayemshinda Mambosasa kwa umbea na fitina.
 
Najiuliza tu kwanini yule kamanda ambaye mama alitaka aletwe dar kwanini hajamleta au hana vogezo vya kuwa kanda maalumu kama mkuu wa police?

Dar inasumbuliwa na rushwa kwa police so mleteni jamaa asaidie

Maelekezo ya mama tufike sehemu yawe yanafanyiwa kazi haraka.

IMG_20210518_084328.jpg
 
Huyu Mambosasa kasababisha kazi ya police kwa wengi ionekane n yai kihuni kabisa..
Mijitu inauwa watuhumiwa..wanapora watuhumiwa..wanabambikia watu kesi..wizi na uhalifu kila mahali katika Mkoa wa Dsm.
 
Aende tu na zile Drama zake za Mo dewji etc , hakuna alichofanya zaidi ya kuhangaika na Siasa tu Camilius anapaweza Dar maana hata alivyokua Kinondoni alikua anamfunika Mamboleo ndiomaana wakamletea figisu
 
Back
Top Bottom