Yule Afande Muliro alikuwa Mkoa gani?
Muliro yuko mwanza, police HQ iko Dodoma anakoenda mambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yule Afande Muliro alikuwa Mkoa gani?
Afande Muliro Jumanne Muliro yuko MwanzaYule Afande Muliro alikuwa Mkoa gani?
Mbona ni kitu cha kawaida kwenye vyombo vya ulinzi na usalama? Sioni kama kuna shida yoyote hapoMambosasa tulijua tu he is a gone case.
Wambura siku nyingi mtendaji makini.
Nani mstaarabu W au M?Ila ni Mtu Mmoja makini na Mstaarabu.
Muliro safi sana namfahamu kaituliza MwanzaAfande Muliro Jumanne Muliro yuko Mwanza
Safiii mnooo..Safi sana !
Ni kijiwe tu aisee,Mbona nchi ilikuwa imetulia kwa sababu ya hao mnaowaita makatili?
Hii nchi kuna watu washenzi sana wasumbufu wanaojifanya watemi wakati serikali ipo.Akitokea polisi ana burgain na wahalifu,tutarudi kwa kasi enzi za watemi wa zamani mfano huku kanda ya ziwa walikuwepo akina Zacharia na wababe wengine wa ziwa Victoria.
Polisi lazima awe katili,maana nchi hii imejaa mijitu mikatili vile vile.Na hatupendi kusikia maandamano ya kisiasa,tunataka kusikia hoja zenye lengo la kujenga nchi na si kuyumbisha serikali
Uko sahihi, sidhani kama kwa sasa kuna Afisa wa Polisi wa ngazi ya juu anayemshinda Mambosasa kwa umbea na fitina.Safi sana Poti wangu mkubwa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shavu hilo Kubwa. Hii nafasi ilikuwa inakusubiria Kitambo tu na najua huyu aliyetolewa alikuwa akikufitinisha sana na Wakubwa zako ili Yeye asitolewe hapo kwa Kulindwa Kwake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.
Kiukweli sikuwahi kuona Jipya la Kiutendaji kwa Mambosasa zaidi tu ya Ubabe, Ukatili, Vitisho na Roho Mbaya yake aliyoambukizwa vyema na Rafiki yake Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mbovu kuwahi kutokea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Hii taarifa mbona imekaa kiubabe sanaView attachment 1788994
Usijiridhishe mkuu, muda mrefu huyu jamaa ameonywa na IGP, lakini anakaidi.Mabadiliko ya kawaida kwenye jeshi km la polisi.
Upelelezi Makao Makuu, yaani limamboleo lilivyo na misifa limehamishwa kwa simu tu kweli haya makazi ni ya kipuuzi sanaUpele Kuu ni nini kwa kiingereza