Irenga
JF-Expert Member
- Dec 14, 2015
- 2,639
- 1,873
Ndio ni BabaakeInasomeka Daniel Shilla nae kapata shavu Dar. Nadhani ndie baba yake Papaa Prophet Daniel Shilla?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ni BabaakeInasomeka Daniel Shilla nae kapata shavu Dar. Nadhani ndie baba yake Papaa Prophet Daniel Shilla?
Duh..Safi sana Poti wangu mkubwa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shavu hilo Kubwa. Hii nafasi ilikuwa inakusubiria Kitambo tu na najua huyu aliyetolewa alikuwa akikufitinisha sana na Wakubwa zako ili Yeye asitolewe hapo kwa Kulindwa Kwake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.
Kiukweli sikuwahi kuona Jipya la Kiutendaji kwa Mambosasa zaidi tu ya Ubabe, Ukatili, Vitisho na Roho Mbaya yake aliyoambukizwa vyema na Rafiki yake Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mbovu kuwahi kutokea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Wote waliofanya urafiki na Bashite wameishia kuangukia PuaSafi sana Poti wangu mkubwa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shavu hilo Kubwa. Hii nafasi ilikuwa inakusubiria Kitambo tu na najua huyu aliyetolewa alikuwa akikufitinisha sana na Wakubwa zako ili Yeye asitolewe hapo kwa Kulindwa Kwake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.
Kiukweli sikuwahi kuona Jipya la Kiutendaji kwa Mambosasa zaidi tu ya Ubabe, Ukatili, Vitisho na Roho Mbaya yake aliyoambukizwa vyema na Rafiki yake Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mbovu kuwahi kutokea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Murilo ni RPC mwanzaHivi Dodoma hakuwepo Afande Muliro?
Dodoma RPC ni MurotoWewe hata akili huna? Dodoma ndipo yalipo makao makuu ya polisi, hivyo karudishwa makao makuu kuchukua nafasi ya huyo wambura
kuondolewa Huyu ni neema kubwa sana
😆😆😆😆Wote waliofanya urafiki na Bashite wameishia kuangukia Pua
Yule Mkuu wa JKT (Kwa Sasa Mkuu wa.Mkoa) aliyepandishwa vyeo Chap Chap na Mwendazake, kutoka Colenel Mpaka 2 Stars General alikuwa Rafiki za wa Bashite.
Kutoka kuwa Mkuu wa JKT Mpaka kuwa RC
RPC MwanzaYule Afande Muliro alikuwa Mkoa gani?
Mambosasa haendi Dodoma Kama Mkoa, anaenda makao makuu ya polisi, yeye Na Muroto mbali mbaliDodoma RPC ni Muroto
Huyo Mambosasa anaenda kuwa upelelezi
Kwisha habari yake
HhhhhhKama Wateja huwa Wanateswa ni yake.
Hiyo ndiyo lugha ya jeshi, si kweli kuwa agizo haliandikwi hivyo, labda kwakua miaka mengine" hamkuwahi kabisa kuona maagizo haya, ni mambo mageni kwenu.Duh
Amri, mbona miaka mingine hatujaona ikiandikwa amri au kuna mtu anapata hofu kuwa anaweza kudondoshwa
Fagio KAZINI..
UHURU NA HAKI
Wote waliofanya urafiki na Bashite wameishia kuangukia Pua
Yule Mkuu wa JKT (Kwa Sasa Mkuu wa.Mkoa) aliyepandishwa vyeo Chap Chap na Mwendazake, kutoka Colenel Mpaka 2 Stars General alikuwa Rafiki za wa Bashite.
Kutoka kuwa Mkuu wa JKT Mpaka kuwa RC
Umesahau kuwa Sirro nae alikuwa RPC wa Dar. na rafiki ya Bashite akaukwaa kuwa IGP enzi ya Mwendazake?
Kuwai kutokea Tanzania.Safi sana Poti wangu mkubwa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shavu hilo Kubwa. Hii nafasi ilikuwa inakusubiria Kitambo tu na najua huyu aliyetolewa alikuwa akikufitinisha sana na Wakubwa zako ili Yeye asitolewe hapo kwa Kulindwa Kwake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.
Kiukweli sikuwahi kuona Jipya la Kiutendaji kwa Mambosasa zaidi tu ya Ubabe, Ukatili, Vitisho na Roho Mbaya yake aliyoambukizwa vyema na Rafiki yake Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mbovu kuwahi kutokea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Nimemfananisha na Afande Moroto.Murilo ni RPC mwanza
[emoji23]Kama Wateja huwa Wanateswa ni yake.