Mabadiliko Jeshi la Polisi: IGP Sirro ampeleka Kamanda Mambosasa Dodoma, Wambura amrithi kanda maalum Dar

Mabadiliko Jeshi la Polisi: IGP Sirro ampeleka Kamanda Mambosasa Dodoma, Wambura amrithi kanda maalum Dar

Safi sana Poti wangu mkubwa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shavu hilo Kubwa. Hii nafasi ilikuwa inakusubiria Kitambo tu na najua huyu aliyetolewa alikuwa akikufitinisha sana na Wakubwa zako ili Yeye asitolewe hapo kwa Kulindwa Kwake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.

Kiukweli sikuwahi kuona Jipya la Kiutendaji kwa Mambosasa zaidi tu ya Ubabe, Ukatili, Vitisho na Roho Mbaya yake aliyoambukizwa vyema na Rafiki yake Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mbovu kuwahi kutokea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Duh..

Vile Genta amesema mimi ni nani hadi nimpinge huyu poti.
 
Safi sana Poti wangu mkubwa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shavu hilo Kubwa. Hii nafasi ilikuwa inakusubiria Kitambo tu na najua huyu aliyetolewa alikuwa akikufitinisha sana na Wakubwa zako ili Yeye asitolewe hapo kwa Kulindwa Kwake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.

Kiukweli sikuwahi kuona Jipya la Kiutendaji kwa Mambosasa zaidi tu ya Ubabe, Ukatili, Vitisho na Roho Mbaya yake aliyoambukizwa vyema na Rafiki yake Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mbovu kuwahi kutokea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Wote waliofanya urafiki na Bashite wameishia kuangukia Pua
Yule Mkuu wa JKT (Kwa Sasa Mkuu wa.Mkoa) aliyepandishwa vyeo Chap Chap na Mwendazake, kutoka Colenel Mpaka 2 Stars General alikuwa Rafiki za wa Bashite.
Kutoka kuwa Mkuu wa JKT Mpaka kuwa RC
 
Wote waliofanya urafiki na Bashite wameishia kuangukia Pua
Yule Mkuu wa JKT (Kwa Sasa Mkuu wa.Mkoa) aliyepandishwa vyeo Chap Chap na Mwendazake, kutoka Colenel Mpaka 2 Stars General alikuwa Rafiki za wa Bashite.
Kutoka kuwa Mkuu wa JKT Mpaka kuwa RC
😆😆😆😆
 
Mbona nchi ilikuwa imetulia kwa sababu ya hao mnaowaita makatili?

Hii nchi kuna watu washenzi sana wasumbufu wanaojifanya watemi wakati serikali ipo.Akitokea polisi ana burgain na wahalifu,tutarudi kwa kasi enzi za watemi wa zamani mfano huku kanda ya ziwa walikuwepo akina Zacharia na wababe wengine wa ziwa Victoria.

Polisi lazima awe katili,maana nchi hii imejaa mijitu mikatili vile vile.Na hatupendi kusikia maandamano ya kisiasa,tunataka kusikia hoja zenye lengo la kujenga nchi na si kuyumbisha serikali
 
Duh

Amri, mbona miaka mingine hatujaona ikiandikwa amri au kuna mtu anapata hofu kuwa anaweza kudondoshwa
Hiyo ndiyo lugha ya jeshi, si kweli kuwa agizo haliandikwi hivyo, labda kwakua miaka mengine" hamkuwahi kabisa kuona maagizo haya, ni mambo mageni kwenu.
 
Wote waliofanya urafiki na Bashite wameishia kuangukia Pua
Yule Mkuu wa JKT (Kwa Sasa Mkuu wa.Mkoa) aliyepandishwa vyeo Chap Chap na Mwendazake, kutoka Colenel Mpaka 2 Stars General alikuwa Rafiki za wa Bashite.
Kutoka kuwa Mkuu wa JKT Mpaka kuwa RC

Umesahau kuwa Sirro nae alikuwa RPC wa Dar. na rafiki ya Bashite akaukwaa kuwa IGP enzi ya Mwendazake?
 
Safi sana Poti wangu mkubwa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) kwa Shavu hilo Kubwa. Hii nafasi ilikuwa inakusubiria Kitambo tu na najua huyu aliyetolewa alikuwa akikufitinisha sana na Wakubwa zako ili Yeye asitolewe hapo kwa Kulindwa Kwake na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda.

Kiukweli sikuwahi kuona Jipya la Kiutendaji kwa Mambosasa zaidi tu ya Ubabe, Ukatili, Vitisho na Roho Mbaya yake aliyoambukizwa vyema na Rafiki yake Paul Makonda aliyekuwa Mkuu wa Mkoa mbovu kuwahi kutokea katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Kuwai kutokea Tanzania.
 
Karibu Wambura bye bye misifa Mambosasa ingawa wore ni wale wale
 
Back
Top Bottom