Asante kumbe ni kifupi ch upelelezi.Upelelezi Makao Makuu, yaani limamboleo lilivyo na misifa limehamishwa kwa simu tu kweli haya makazi ni ya kipuuzi sana
Mabosasa alitesa sana upinzani. Naona likafie huko DDM. Jitu katili sana, hivi linazaliwa mkoa gani?