Mabadiliko Jeshi la Polisi: IGP Sirro ampeleka Kamanda Mambosasa Dodoma, Wambura amrithi kanda maalum Dar

Inasomeka Daniel Shilla nae kapata shavu Dar. Nadhani ndie baba yake Papaa Prophet Daniel Shilla?
 
Muliro ni RPC Mwanza
Muroto RPC Dom
Wambura Chief of Upelelezi Police HQ Dom ndo katolewa kaletwa Dar na mambosasa kaenda kuwa Mkuu wa Upelelezi Makao makuu ya Polis Dodoma
Kweli Muliro namchanganya na wa Dom.
 
Sumu ya vimelea vya BAKTERIA yaani Comrade Makonda ndiye mkuu wa mkoa wa Dar mbovu kuliko wote ?!! 🤣🤣🤣Khaa Genta ndugu yangu nawe umeamua kufanya majungu na tarnish image eeee?!! Haya bnaa "mtutsi" wa bongo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…