Mabadiliko kutoka Building Better Tomorrow - BBT mpaka kuwa Building Bashe Tomorrow - BBT

Mabadiliko kutoka Building Better Tomorrow - BBT mpaka kuwa Building Bashe Tomorrow - BBT

Pamoja na kuwa hizo gharama za BBT zipo juu
Ila kuna vitu muhimu hujaeleza kuhusu huo mradi. Kwanza kikubwa ni kutayarisha shamba na kuweka miundombinu, ya kulifikia na muhimu zaidi kuweka mfumo wa UMWAGILIAJI. Sina hakika kama wanatumia maji ya mto au wamechimba visima ambapo ni ghali sana kununua miundombinu ya Solar kwa ajili ya kuvuta maji au pengine kupeleka umeme huko mashambani.
Mradi kama huu, hauhitaji kubahatisha Mvua kama wakulima wetu wengi wanavyolima lakini pia; gharama hizo ni kama mtaji; inamaana, wakilima tena gharama nyingi hazitakuwepo
Muhimu pia: kwa kuwa na miundo mbinu sahihi, kuna uwezekano wa kulima mara mbilli kwa mwaka na hata mara tatu kutegemea na aina ya mazao

Mwisho; Kuna wale vijana (Wengi) waliopelekwa huko, ujue kuna gharama za kuwatengenezea mazingira ya kukaa huko shambani (Nyumba/Mahema Chakula, Bima ya Afya nk)
Binafsi najua huu mradi unaweza kuwa na changamoto kadhaa kwa sababu bado tunajifunza ila kutoka rohoni kwangu naamini ni moja ya miradi bora kabisa ya majaribio na inayoweza kutusaidia kama Nchi.
Angalizo: Mimi sihusiki huko kwa mradi, napambana kivyangu huku nje/Private
Kuna vitu mnavikwepa. Serikali inagharamia hawa vijana malazi na chakula kwa miezi minne.

Baada ya miezi minne wataishije? Wapo walioenda huko na watoto, hapo ndio niliona kama hatupo serious

Kilimo ili kupata faida itakuchukua muda mrefu sana, Sasa najiuliza wao wanao mtaji wa kujilisha na kujihudumia kwa muda wote hadi waanze kulima na kuvuna na kuuza?
 
Bashe anachukua mawazo ya nadharia ya kina Carol Ndossi na kuyatekeleza kwenye wizara, hatari sana, hichi kilimo cha iPad sijui kitatufikisha wapi?? Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu kila kinyozi anaweza kujifunzia kunyoa
Alichotafuta bashe ni support kutoka mitandaoni , ndio maana niliona nguvu kubwa sana ya kuwatumia walewale watu kumsifia siku anatoa bajeti ya kilimo
 
Mabadiliko kutoka 𝘽𝙐𝙄𝙇𝘿𝙄𝙉𝙂 𝘽𝙀𝙏𝙏𝙀𝙍 𝙏𝙊𝙈𝙊𝙍𝙍𝙊𝙒 - 𝘽𝘽𝙏 mpaka kuwa 𝘽𝙐𝙄𝙇𝘿𝙄𝙉𝙂 𝘽𝘼𝙎𝙃𝙀 𝙏𝙊𝙈𝙊𝙍𝙍𝙊𝙒- 𝘽𝘽𝙏. TUMEPIGWA BILIONI 13.

Kwa mujibu wa wizara ya Kilimo chini ya waziri @HusseinBashe ni kwamba serikali inatumia milion 16.4 kufadhili shamba la hekta moja kwenye mradi wa Building a Better Tomorrow kwa kifupi BBT. Gharama hizi hazina uhalisia wowote kwa mtu anayejua kilimo au mkulima yoyote. Na kama zingekuwa na uhalisia kwamba mkulima anaweza kutumia milioni 16 kuandaa shamba la hekta moja ambayo ni sawa na ekari mbili basi nchi hii hakuna ambaye angemudu gharama hizo.

Fikiria unalima nini kwenye shamba la hekta moja ambalo maandalizi yake mpaka kupanda mbegu yanagharimu milioni 16? Unalima dhahabu kwenye hilo shamba? Au unalima almasi? Ama tanzanite? Maana haiwezekani shamba lililoandaliwa kwa milion 16 upande mahindi, Mpunga au ulezi halafu utegemee mtaji wako milioni 16 kurudi achilia mbali kupata faida.

Naomba kujitolea mfano mwenyewe maana ni mkulima. Msimu wa kilimo uliopita nimelima ekari 2 na kidogo ambazo sawa na hekta moja na nilivuna tani 3 au gunia 30 za kg 100. Nilikodi shamba kwa laki moja. Vibarua wakanilimia kwa ng'ombe kwa shilingi laki moja. Gharama za mbegu, madawa ya kuuwa wadudu na kukausha nyasi pamoja na mbolea nikatumia laki tano. Kuvuna na kupukuchua pamoja na mifuko ya kuwekea mahindi nimetumia laki tatu. Jumla ya gharama nilizotumia ni milion 1. Nimeuza mahindi hayo December 2022 kwa milion 2 na nusu baada ya kuuza kwa kg Tsh. 800 hukohuko shambani. Hivyo faida ukawa ni milioni 1.5.

Sasa tukirudi kwa Bwana Bashe na wizara yake ya kilimo kwa hekta 1 au ekari 2 na kidogo bajeti yao ni kama ifutavyo:
  • Kulima shamba Tsh. 4,250,000/
  • Kumwagilia Tsh. 7,500,000/
  • Kupima afya ya udongo Tsh. 2,500,000/
  • Mbolea Tsh. 1,750,000/
  • Viuatilifu Tsh. 375,000/
  • Mbegu Tsh. 112,000/-
JUMLA Tsh. 16, 487, 500/ kwa hekta moja. Sasa hiyo milioni 16 ukizidisha mara hekta 812 za vijana waliochukuliwa tayari awamu ya kwanza na wizara ya kilimo chini ya waziri Bashe unapata bilioni 13.5. Yani dakika ya kwanza kabisa mpira unaanza tunapigwa bilioni 13 na hiyo tu ni awamu ya kwanza maana hatujui mradi huu utahusisha hekta ngapi.

Hapo sijajumlisha gharama za upimaji ardhi na hati miliki ambayo wameweka ni milion 2. Na hapo pia nina mashaka kama hizo ndio bei halisi za kupimia ardhi kwa hekta. Anyway tuachane na mambo ya hati miliki turudi kwenye topic yetu.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao naunga mkono wakulima kuinuliwa hasa vijana. Mradi wa Building a Better Tomorrow au BBT lengo kuu lilikuwa ni kuinua kilimo kupitia vijana. Lakini kwa mchanganuo unaonekana ni 𝑩𝒖𝒊𝒍𝒅𝒊𝒏𝒈 𝑩𝒂𝒔𝒉𝒆 𝑻𝒐𝒎𝒐𝒓𝒓𝒐𝒘 - 𝑩𝑩𝑻 na kwamba mradi huu umesukwa kimkakati kuwatumia vijana kufanya ufisadi wa mabilioni. Pengine ndio maana vijana walio wengi kama sio wote waliobebwa au kupewa fursa katika mradi huo hawajui chochote kuhusu kilimo na hawajawahi kulima. Ni wakati sasa wa CAG kwenda kufanya ukaguzi katika mradi huo.

Hawa watu ambao Rais Samia aliwapa ruhusa ya kula kulingana na urefu wa kamba zao imefika mahari sasa wanataka kukata mpaka kamba ili waitafune nchi yote ibaki na mashimo. Kuna wingu zito la ufisadi kuanzia wizarani mpaka nje ya wizara ukiachilia mbali fisadi mmoja mkongwe kupewa tenda ya kusambaza mbolea katika mradi huo.

Imekuwa ngumu sana kumtenga bwana Bashe na ufisadi kwa sababu ya watu waliomlea na kumkuza katika siasa ambao kwa kiasi kikubwa wananuka ufisadi wa nchi hii. Bado nina file zake nazipitia kupata uhakika. Miongoni mwa file hizo zinahusisha baadhi ya viwanda kikiweno kiwanda cha Mbolea ya minjingu somewhere.

Kwa mazingira haya tusitegemee kama kutakuwa na uwajibikaji wowote kwa sababu wazazi wa kisiasa wa Bashe ambao wanazo kashfa nzito nchi hii wameshinda vita dhidi ya mafisadi wa Sukuma Gang ambao nao walitesa kwa miaka mitano.

Cha muhimu sasa bila kujali tofauti ya vyama vyetu na dini zetu tuungane kudai #KatibaMpya ili angarau tuokoe chenji na maliasili zilizobakia nchi hii. Tofauti na hapo tutapigwa mnada nchi hii pengine tutakosa mpaka sehemu ya kuishi.

𝑴𝒅𝒖𝒅𝒆 𝑵𝒚𝒂𝒈𝒂𝒍𝒊 𝟕 𝒙 𝟕𝟎 𝑺𝒖𝒎𝒖 𝒚𝒂 𝑵𝒚𝒊𝒈𝒖

View attachment 2617458
Hisia zako zisizo na uhalisia wa kitaalamu......
 
Ni mda wa watu waliopo serikalini kula na kuiba watakavyo,uchambuzi wako upo sahihi asilimia mia,tujiulizr kwa nini kila waziri na viongozi wote nchini kote nyakati hizi ndipo wanabuni vimiradi vya kupiga hela,,tatizo washauna huko juu kumelegea nao wanautumia mda huuu kula kwa walivyoambiwa Ila wasivimbiweeeee
 
Usiwe mjinga wewe sasa gharama ya kufyeka pori na kusafisha hekta 1 ndiyo iwe zaidi ya TSh 4,000,000/=!

Fisadi koko wee!
we kijana legeza ubongo kidogo pale hazikufyekwa nyasi yalikua mapori tena misitu yenye miti mikubwa imetumika technology kibwa hadi likaitwa shamba
 
Trilioni 16! Mwingine alitaka trilioni 1 kuboresha miundombinu ya Tanesco! JPM alisema hii nchi haina tatizo la fedha, tatizo lipo kwenye vipaumbele na ufisadi alafu baadae tunakimbizana na mikopo hadi matumizi ya kawaida tunakopa.
 
Kwa mtu mwenye akili akisoma huo mchanganuo uliowekwa hapo anaona kabisa ni wa uongo (Fake!)
Mfano:
1. Hao vijana 800 wanalala wapi (Nyumba & Chakula) kwa gharama zipi
2. Gharama za matibabu ya hao vijana (Bima) zinatoka wapi?
3. Hayo maji ya kunywesha kwa matone yanatoka wapi hadi yafike huko shambani
4. Miundombinu ya kufika huko shambani (barabara) inatengenezwa kwa gharama zipi?
5. Gharama za kununua matractor zinatoka wapi?
Nafikiri tutafute Mchanganuo wa huo mradi badala ya kukaa hapa na kulishwa matango pori.....
Huo mchaganuo haihusiani na malazi au chakula cha hao watu. Huo ni mchanganuo kwa hekta na yeye bashe kupitia wizara ndio walioutoa. Pia sio kwa Dodoma tu huo ndio mchaganuo wataotumia kufanya kwenye mikoa mingine yote

Lengo ni hekta milioni 1 na wamepanga kutumia trillion 17
 
Inaonekana awamu hii matatizo yapo kwenye wizara nyingi, kuanzia ya Nishati, Fedha, na sasa hiyo ya kilimo, hebu tujiulize, chanzo cha yote hayo ni nini?

Kama unakuwa na kiongozi asiyetaka kuisumbua akili yake kwenye ufuatiliaji wa mambo, anawaachia wasaidizi wake wafanye kila kitu, na wasaidizi wenyewe ndio hao wenye mawazo ya upigaji, sioni tutapona vipi.

Hapa tusidanganyane, kama Samia hatabadilisha style yake ya kuongoza serikali, awe strict kwa vitendo, asiendelee kuwaita wezi stupid hawatazikwa na pesa, basi tujue tutaendelea kupigwa kwa miaka yote ijayo atakayoendelea kuwa Rais wa nchi.
Wozara ya kilimo nayo sasa ina pesa nyingi sana ndio maana lazima iingie kwenye upigaji!!mbona miaka ya nyuma hukuwahi kusikia!!sasa kuna mipesa mingi imemwagwa huko watu lazima watafute njia za kuzipiga!!
 
Inaonekana awamu hii matatizo yapo kwenye wizara nyingi, kuanzia ya Nishati, Fedha, na sasa hiyo ya kilimo, hebu tujiulize, chanzo cha yote hayo ni nini?

Kama unakuwa na kiongozi asiyetaka kuisumbua akili yake kwenye ufuatiliaji wa mambo, anawaachia wasaidizi wake wafanye kila kitu, na wasaidizi wenyewe ndio hao wenye mawazo ya upigaji, sioni tutapona vipi.

Hapa tusidanganyane, kama Samia hatabadilisha style yake ya kuongoza serikali, awe strict kwa vitendo, asiendelee kuwaita wezi stupid hawatazikwa na pesa, basi tujue tutaendelea kupigwa kwa miaka yote ijayo atakayoendelea kuwa Rais wa nchi.
Niameshaawahi kusema huko nyuma kuwa mama huwa happendi hata kidogo kusumbua akili yake kuhusu mambo magumu yanayoiumiza nchi hii
 
Bashe awamu hii anajiona untouchable na wizara imemshinda Hadi bidhaa za vyakula vimepanda kuliko uwezo. Ningekuwa na uwezo ningemtumbua hata hyo sera yake ni usanii tupu angeenda kusaidia wakulima vijijini na sio huu usanii wa kuacha wataalamu wa SUA.

Hafu kingine huyu ni baba haambiliki anajiona anajua.
Kama waziri katika wizara yake shughuri za walengwa wake zinapanda huyo ni waziri Bora.
Lakini waziri katika wizara yake shughuri za walengwa wake zina Shukla soko huyo hafai ktk wizara hiyo
 
Wozara ya kilimo nayo sasa ina pesa nyingi sana ndio maana lazima iingie kwenye upigaji!!mbona miaka ya nyuma hukuwahi kusikia!!sasa kuna mipesa mingi imemwagwa huko watu lazima watafute njia za kuzipiga!!
Budget ya kilimo ilikua ndogo.
Ndiyo maana wakulima wakawa maskini .
Acheni sasa iwe zamu yao
 
Mabadiliko kutoka 𝘽𝙐𝙄𝙇𝘿𝙄𝙉𝙂 𝘽𝙀𝙏𝙏𝙀𝙍 𝙏𝙊𝙈𝙊𝙍𝙍𝙊𝙒 - 𝘽𝘽𝙏 mpaka kuwa 𝘽𝙐𝙄𝙇𝘿𝙄𝙉𝙂 𝘽𝘼𝙎𝙃𝙀 𝙏𝙊𝙈𝙊𝙍𝙍𝙊𝙒- 𝘽𝘽𝙏. TUMEPIGWA BILIONI 13.

Kwa mujibu wa wizara ya Kilimo chini ya waziri @HusseinBashe ni kwamba serikali inatumia milion 16.4 kufadhili shamba la hekta moja kwenye mradi wa Building a Better Tomorrow kwa kifupi BBT. Gharama hizi hazina uhalisia wowote kwa mtu anayejua kilimo au mkulima yoyote. Na kama zingekuwa na uhalisia kwamba mkulima anaweza kutumia milioni 16 kuandaa shamba la hekta moja ambayo ni sawa na ekari mbili basi nchi hii hakuna ambaye angemudu gharama hizo.

Fikiria unalima nini kwenye shamba la hekta moja ambalo maandalizi yake mpaka kupanda mbegu yanagharimu milioni 16? Unalima dhahabu kwenye hilo shamba? Au unalima almasi? Ama tanzanite? Maana haiwezekani shamba lililoandaliwa kwa milion 16 upande mahindi, Mpunga au ulezi halafu utegemee mtaji wako milioni 16 kurudi achilia mbali kupata faida.

Naomba kujitolea mfano mwenyewe maana ni mkulima. Msimu wa kilimo uliopita nimelima ekari 2 na kidogo ambazo sawa na hekta moja na nilivuna tani 3 au gunia 30 za kg 100. Nilikodi shamba kwa laki moja. Vibarua wakanilimia kwa ng'ombe kwa shilingi laki moja. Gharama za mbegu, madawa ya kuuwa wadudu na kukausha nyasi pamoja na mbolea nikatumia laki tano. Kuvuna na kupukuchua pamoja na mifuko ya kuwekea mahindi nimetumia laki tatu. Jumla ya gharama nilizotumia ni milion 1. Nimeuza mahindi hayo December 2022 kwa milion 2 na nusu baada ya kuuza kwa kg Tsh. 800 hukohuko shambani. Hivyo faida ukawa ni milioni 1.5.

Sasa tukirudi kwa Bwana Bashe na wizara yake ya kilimo kwa hekta 1 au ekari 2 na kidogo bajeti yao ni kama ifutavyo:
  • Kulima shamba Tsh. 4,250,000/
  • Kumwagilia Tsh. 7,500,000/
  • Kupima afya ya udongo Tsh. 2,500,000/
  • Mbolea Tsh. 1,750,000/
  • Viuatilifu Tsh. 375,000/
  • Mbegu Tsh. 112,000/-
JUMLA Tsh. 16, 487, 500/ kwa hekta moja. Sasa hiyo milioni 16 ukizidisha mara hekta 812 za vijana waliochukuliwa tayari awamu ya kwanza na wizara ya kilimo chini ya waziri Bashe unapata bilioni 13.5. Yani dakika ya kwanza kabisa mpira unaanza tunapigwa bilioni 13 na hiyo tu ni awamu ya kwanza maana hatujui mradi huu utahusisha hekta ngapi.

Hapo sijajumlisha gharama za upimaji ardhi na hati miliki ambayo wameweka ni milion 2. Na hapo pia nina mashaka kama hizo ndio bei halisi za kupimia ardhi kwa hekta. Anyway tuachane na mambo ya hati miliki turudi kwenye topic yetu.

Mimi ni miongoni mwa watu ambao naunga mkono wakulima kuinuliwa hasa vijana. Mradi wa Building a Better Tomorrow au BBT lengo kuu lilikuwa ni kuinua kilimo kupitia vijana. Lakini kwa mchanganuo unaonekana ni 𝑩𝒖𝒊𝒍𝒅𝒊𝒏𝒈 𝑩𝒂𝒔𝒉𝒆 𝑻𝒐𝒎𝒐𝒓𝒓𝒐𝒘 - 𝑩𝑩𝑻 na kwamba mradi huu umesukwa kimkakati kuwatumia vijana kufanya ufisadi wa mabilioni. Pengine ndio maana vijana walio wengi kama sio wote waliobebwa au kupewa fursa katika mradi huo hawajui chochote kuhusu kilimo na hawajawahi kulima. Ni wakati sasa wa CAG kwenda kufanya ukaguzi katika mradi huo.

Hawa watu ambao Rais Samia aliwapa ruhusa ya kula kulingana na urefu wa kamba zao imefika mahari sasa wanataka kukata mpaka kamba ili waitafune nchi yote ibaki na mashimo. Kuna wingu zito la ufisadi kuanzia wizarani mpaka nje ya wizara ukiachilia mbali fisadi mmoja mkongwe kupewa tenda ya kusambaza mbolea katika mradi huo.

Imekuwa ngumu sana kumtenga bwana Bashe na ufisadi kwa sababu ya watu waliomlea na kumkuza katika siasa ambao kwa kiasi kikubwa wananuka ufisadi wa nchi hii. Bado nina file zake nazipitia kupata uhakika. Miongoni mwa file hizo zinahusisha baadhi ya viwanda kikiweno kiwanda cha Mbolea ya minjingu somewhere.

Kwa mazingira haya tusitegemee kama kutakuwa na uwajibikaji wowote kwa sababu wazazi wa kisiasa wa Bashe ambao wanazo kashfa nzito nchi hii wameshinda vita dhidi ya mafisadi wa Sukuma Gang ambao nao walitesa kwa miaka mitano.

Cha muhimu sasa bila kujali tofauti ya vyama vyetu na dini zetu tuungane kudai #KatibaMpya ili angarau tuokoe chenji na maliasili zilizobakia nchi hii. Tofauti na hapo tutapigwa mnada nchi hii pengine tutakosa mpaka sehemu ya kuishi.

𝑴𝒅𝒖𝒅𝒆 𝑵𝒚𝒂𝒈𝒂𝒍𝒊 𝟕 𝒙 𝟕𝟎 𝑺𝒖𝒎𝒖 𝒚𝒂 𝑵𝒚𝒊𝒈𝒖

View attachment 2617458
Bashe Kamatia hapo hapo usisikilize hao nyumbu wasio na msaada Kwa wakulima na Vijana wa Nchi hii.
 
Inaonekana awamu hii matatizo yapo kwenye wizara nyingi, kuanzia ya Nishati, Fedha, na sasa hiyo ya kilimo, hebu tujiulize, chanzo cha yote hayo ni nini?

Kama unakuwa na kiongozi asiyetaka kuisumbua akili yake kwenye ufuatiliaji wa mambo, anawaachia wasaidizi wake wafanye kila kitu, na wasaidizi wenyewe ndio hao wenye mawazo ya upigaji, sioni tutapona vipi.

Hapa tusidanganyane, kama Samia hatabadilisha style yake ya kuongoza serikali, awe strict kwa vitendo, asiendelee kuwaita wezi stupid hawatazikwa na pesa, basi tujue tutaendelea kupigwa kwa miaka yote ijayo atakayoendelea kuwa Rais wa nchi.
Bashe anapata kibri kwa godfather wake Muajemi ambaye anajulikana kuwa ndiye Kingmaker wa nchi hii.
 
ingawa na wewe ni walewale wa sukuma gang, genge ambalo sasa linajiona liko nje ya mfumo. Sasa mnakuja hapa kuonesha mna umia na fedha za umma, ni chuki na wivu wa kukosa. Ila km kweli huo mchanganuo ndiyo hali halisim hiyo siyo kilimo hicho ni kitu kingine. Ni kwanini serikali iwagharimikie hao wakulima kana kwamba hayo mashamba ni ya serikali?

Na wakulima wengine ambao ni wengi nani anawaandalia mashamba yao, nani anawapa mbegu na gharama zingine zote. Na km ni hivyo mama ameshapigwa na vijana, na mzanzibari mpaka aelewe wengine tumeshazeeka.
Ndiyo maajabu ya chief Hangaya haya na msoga Gang yake.
 
Uliwafinya hao Wakulima unaodai unawaunga mkono...kwa kuwalipa Shilingi laki Moja. Yaani uliwatumia kitumwa. Ni Vibarua, ikiwa ina maana walikuwa zaidi ya wawili kwa hiyo elfi hamsini kila mmoja, wakati huo huo unategema hao waishi vipi kwa hizo hela kiduchu? Walilipa kodi? Ulilipa Kodi?

Mkuu, Wasukuma ni Kabila. Wewe kama Mwanaharakati au sijui ni Kiongozi usiwe mmoja wa watu wenye kupromote lugha za Kibaguzi. Sukuma Gang ndio nini? Watanzania hatutaki Siasa za kubaguana, na nina kushauri ukome na Kuacha kutumia msamiati Huo.

Turudi kwenye mada, Ulilipa kodi?
Tusihamishe magoli,tujadili hoja iliyopo mezani kwanza mleta hoja tumuweke kiporo kwanza kwani hoja hapa ni fedha inayotajwa ni kodi zetu.
 
Samia ndo wakulaumiwa
CCM ndiyo ya kulaumiwa,ni janga la.kitaifa
FB_IMG_1572697051230.jpg
 
Bashe anachukua mawazo ya nadharia ya kina Carol Ndossi na kuyatekeleza kwenye wizara, hatari sana, hichi kilimo cha iPad sijui kitatufikisha wapi?? Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu kila kinyozi anaweza kujifunzia kunyoa
Samia kapigwa na kitu kizito sana
 
Hiyo gharama ya laki moja kulima kwa maksai hekta 1 ndiyo halisi huku Nyanda za Juu Kusini kwa hiyo hajadhulumu mtu. Pili Sukuma Gang wapo kama wewe ni mmoja wao ni muda muafaka ujitafakari na usijifanye taahira kutokuwajua.

Kuhusu Kodi nadhani unajitoa ufahamu kwa upumbavu wako ambao hata serikali inakushangaa. Hivi unajua utaratibu wa kulipa kodi au ni mropokaji tu!

Waambie hao Sukuma Gang wenzako muwakome Watanzania!
Hawa wahutu dawa yao inachemka tutwarudisha kwao Burundi walikozoea kuchinjana
 
Back
Top Bottom