Mabadiliko kutoka Building Better Tomorrow - BBT mpaka kuwa Building Bashe Tomorrow - BBT

Huo ndiyo mchanganuo wa Bashe,na ndiyo hoja iliyopo mezani
 
Wozara ya kilimo nayo sasa ina pesa nyingi sana ndio maana lazima iingie kwenye upigaji!!mbona miaka ya nyuma hukuwahi kusikia!!sasa kuna mipesa mingi imemwagwa huko watu lazima watafute njia za kuzipiga!!
Yule Mwajemi ni genius sana kuchonga line ya kula hela ya serikali hii.
 
Sahihi mno Mkuu!

Hiyo ndiyo itakuwa msingi wetu wa kuchagua na kuwawajibisha viongozi na watendaji wakuu wa nchi yetu.
Kwa sasa, technically, hatuna mkataba na hao watawala. Na ndio maana wanafanya yao na wala hawajali wala kutuogopa.

Yatosha! Tunataka Katiba Mpya kufikia 2025
 
Matatizo yalikuwepo siku zote na awamu zote, labda tu awamu hii watu wanaweza kuzungumza zaidi kuliko awamu iliyopita.
Ndio kuna uwazi kiasi kuliko awamu iliyopita. Na ndio maana tunajadili hapa na kwingineko bila woga.
Tunaipenda nchi yetu, tunaumia sana tukiona jinsni mchwa wanavyoitafuna.

Tunataka Katiba Mpya!
 
Hii nchi ngumu kweli kwahyo unataka vijana wakalime na ng'ombe???. tunataka tuachane na kilimo Cha 1960 mkuu
Hata kama atatumia mashine (Tractor 🚜) ila kulima haitazidi shilingi 250,000 kwa Ekari tena hapo imehusisha gharama za awali za kukata miti ili kusafisha hilo shamba.

Lakini ikitokea shamba ni safi i.e halina miti ya kukata gharama inaweza kushuka hadi shilingi 75,000 kwa Ekari Moja
 
Kosa la hao Mawaziri Vijana ni Kuwazia Urais baada ya Mama Samia kuondoka 2030.

Mwangalie Mwigulu, Januari, Bashe hadi Nape wote wanauwinda Urais, hivyo wanafanya Ufisadi kujikusanyia Fedha zitakazowasaidia kuingia Ikulu 2030.
 
Kweli Lisu tumwelewe
 
we kijana legeza ubongo kidogo pale hazikufyekwa nyasi yalikua mapori tena misitu yenye miti mikubwa imetumika technology kibwa hadi likaitwa shamba
Acha ujinga! Hata kama ungekuwa msitu wa mibuyu huwezi kutumia zaidi ya milioni 4.
 
Kuna Utapeli mkubwa katika hili. Kama mradi upo sehemu moja kawaida udongo hupimi kila hekari. Unachukua sampuli za kuwakilisha eneo zima la mradi. Sasa milioni mbili ya kupimia afya ya ardhi kila Hekari ni utapeli mkubwa. Kwa nini wafunge system ya matone isiyo na uhalisia. Tuna mito mingi, wangetafuta sehemu wafunge burrow irrigation. Mradi mzuri ila hauna uhalisia na umejaa ufisadi.
 
Kamanda karibu tena Jukwaani
 
Kwa mujibu wa maelezo yako
Kuna bajeti nyingine ya kugharamia hao vijna na gharama zote za uendeshaji ambazo baadhi nimeorodhesha hapo juu?. Tuweni basi realistic ili Elimu yetu itusaidie
 
Kulima shamba kwa mil 4.2 unalimia na NDEGE au unalimaje? mwenye taarifa naomba kujua
 
Budget ya kilimo ilikua ndogo.
Ndiyo maana wakulima wakawa maskini .
Acheni sasa iwe zamu yao
Sasa kuna unafuu gani ambao mkulima ameupata?!!hizo pembejeo tu kuzipata kwa wakati bado ni mtihani?!!na fungu kubwa bado liko kwenye matumizi ,kuliko kwenye maendeleo.Kwa mipango hii ya kiza moto usitegemee mkulima atakuja faidika!!
 
Labda anafanya green house. Pia okumbuka mradi wa pampja kama huo kuna gharma z pMoja zinapumgua
 
Sasa kuna unafuu gani ambao mkulima ameupata?!!hizo pembejeo tu kuzipata kwa wakati bado ni mtihani?!!na fungu kubwa bado liko kwenye matumizi ,kuliko kwenye maendeleo.Kwa mipango hii ya kiza moto usitegemee mkulima atakuja faidika!!
Jiepushe na unabii wa kushindwa
 

UNAJIONA UNAJUA KUMBE TAKATAKA TU.

KAA KIMYA TU MAANA UNAJIDHALILISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…