Mabadiliko makubwa yaja! Mzee wa Shelui jiandae


Lameki Madelu mzee wa maokoto....
 
Kwani britanicca anasema???
 
Hao wote wakishaingizwa tu ccm weledi wote unaojua unaondoka
 
Shida ni mawazo na utaalam huwa unasikilizwa na mwenye nchi? maana kama watendaji wazuri wengi sana walishakuwepo na wengi waliishia kuonekana vituko na mwisho na wao waliamua kufanya yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…