Mabadiliko makubwa yaja! Mzee wa Shelui jiandae

Samia anaonekana kukasirika ghafla, amegundua "uchura kiziwi" sio dili lazima asikilize ushauri anaopewa, la sivyo angezidi kupoteza imani kwa watanganyika.
Huyu anafaa arudi Kizimkazi akalee wakujuu..katuletea walamba asali balaa.
 
 
Tarakea hoyee. Nasikia nchi haiwezi tulia bila hao watu bwana. Muulizeni Hayati Raisi Mwinyi.
 
Bank siyo wizara dogo,

engineer anaweza kufaa zaidi kwa kuwa amekuwa trained kwa reasoning na ni rsk taking kuliko mchumi
 
Sasa mishahara ya timu za singida italipwaje sasa maana kodi hazitafika tena kule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…