Mabadiliko ndani ya CCM badala ya kuleta matumaini yamewavuruga wengi na kesho ya Taifa la Tanzania

Mabadiliko ndani ya CCM badala ya kuleta matumaini yamewavuruga wengi na kesho ya Taifa la Tanzania

Unazunguka mno na mada isiyoeleweka hii.
Ondoa takataka zote unazoremba nazo..., , 'the centre of gravity' kwa sasa hivi inashikiliwa na Kikwete.

Kama unataka kuchambua, anzia hapo kwa Kikwete, vinginevyo usitupotezee muda na andiko refu lisiloeleweka.
Ana maumivu huyo mfuasu wa siasa za kijima.
 
Awali ya yote niipongeze serikali na viongozi wake kww kazi wanaifanya japo kama Taifa tunaona kuna mabadiliko makubwa ya kimfumo yanatakiwa kufanyiwa kazi ili Taifa hili liweze kwenda mbele tukiwa na umoja wa kitaifa.

Ccm chini ya viongozi wakuu wa Taifa hili wametoka kwenye misingi baba wa Taifa alituachia na sasa hiki chama kama wao wenyewe wanavyo jinasibu ni chama cha wenyewe. "CCM ina wenyewe" jambo hili sii tu linazuwa mgogoro ndani ya chama ambao ktk macho hatuuwoni ila pia unaligawa taifa na mwisho kitakacho tokea wengi tutabaki midomo wazi.

Nikweli kabisa naungana na vyombo vya ulinzi na usalama na hata viongozi wakuu wa taifa hili kwamba huko mbeleni upo mpango kuligawa taifa hili kwa ukanda na hata muungano na yakwamba ccm ndio njia pekee kuzuwia jambo hilo kutoka na mifumo tayari mmejiwekea. Lakini pia nilazima tukubaliane njia pekee kudhibiti mgawanyiko na mtengano sio ccm kuwa chama tawala kwasababu dunia ya sasa na ile tunaelekea vyombo vya ulinzi na usalama nilazima vijikite ktk kulinda taifa na mipaka yake, uchumi na masoko na kuingia ktk vyama vya siasa kwa mlango wa nyuma kupata taarifa na kushauri vyama pasipo kuingia au kusimamia chaguzi. Hii nitofauti sana kwetu hapa Tz na hili nimekuwa nikisema nikitisho ktk usalama wa Taifa kama tunakubali au laa mimi nasema kwa mawazo yangu nikitisho.

Idara zetu za usalama na zakijasusi zimeingia ktk mfumo nakuwa vyombo vyakuweka watawala kupitia chama kimoja while kwa upande mwingine vikiwa sehem ya machafuko hujuma ndani ya vyama vya upinzani. Hili nijambo zuri lakini wakati haya yanaendelea dunia inazidi ku advance ktk maswala ya kiusalama mbaya kuliko yote kwa sababu tumekiangalia chama kimoja ccm wenye akili wanazidi ku advance na kuusoma mfumo jambo na wao wanafanya vile mnafanya jambo lina zuwa tahatuki ndani ya chama na taifa.

Nilazima tujiulize pamoja na nguvu zote mifumo imetumia ila upinzani unazidi kushamiri na mbaya kuliko yote upinzani unazidi kuongeza ushawishi kwa watanzania kuliko wakati mwingine wowote ule na jambo lakutisha ndani ya chama yanaibuka makundi kila mara jambo hayati Mzee Magufuli hakuliweza na mwisho lilimuweka mtu kati mpaka umauti.

Sisi kama Taifa hatujachelewa wana ccm na vyama pinzani hawajachelewa na idara zetu hazija chelewa. Mtu kusema ccm ina wenyewe ni matusi sorry kusema hivyo kwasababu niukweli usiopingika bila idara nyeti za taifa na usalama ccm haipo. Pesa na Rasilimali watu tunatumia ccm kuwa madarakani nibora kukubali ya akina Tanu kuke Kenya.

Maana vita ya Urais ndani ya ccm inaigawa idara nyeti na taasisi zake why? Ask Kenyani waliojikuta wakiuwana kwasababu ya siasa. Kila anaye utaka urais anawatu ndani ya idara na wote wanataka mtu wao ashinde ndani ya chama hicho hicho kinachotokea nikupandikiziana mamluki ndani ya same chama namwisho ni wakwanza kumuwahi mwenzake ndio anakula nyama.

Vita kama hii ilikitesa sana chama cha tanu mpaka wazee na watu wenye busara waliposema inatosha inatosha ndio hii tunaiyona Kenya ya leo.

Ccm chini ya carpet ina tengeneza makundi mawili au matatu hatari kwa usalama wa chama na taifa pia maana wao ndio wenye serikali.

Kundi la kwanza ni la wale wanasema ccm inawenyewe ukiwaangalia ni vigogo na watoto wa high level office walio wahi tumikia taifa hili jambo wamelisahau nikukumbuka wapo waliokianzisha chama na watoto wao hawapo kwa namna moja au nyingine ila nao ni wana tanu na ccm ya sasa.

Kundi la wanachama wakawaida waliojiunga vyuoni na kwenye mashina kwa sababu binafsi na sasa washaujuwa mchezo wanataka wafike kilele ila wanakutana na nguvu ya ccm yenye wenyewe. Kundi hili nikubwa sana na linanguvu sana na kwa taarifa zisizo Rasmi Namba 1 alie ondoka ndie alikuwa na hili kundi na ndio alio hakikisha wengi wanaenda bungeni na sasa wengi wamebaki yatima. Kundi hili lina vijana wasomi kutoka familia maskini ambao wazazi wao hawakuwa wakati CCM inaanza au walifukuzwa ndani ya chama.

Kundi la watoto wa vigogo ambao wazazi wao walikuwa wanachama ila kutokana na uwaminifu na uwadilifu hawakupata umaarufu wa wenzao wengi wanaitwa vijana wa Nyerere. Pia hawa wanamafungamano na vyama vya upinzani. Ndio kizazi cha wale wa kwenye space kama unafuwatilia.

Haya makundi ndani ya ccm ni swala la muda yatakuwa kitisho
Ben Saanane yupo wapi?
 
Awali ya yote niipongeze serikali na viongozi wake kww kazi wanaifanya japo kama Taifa tunaona kuna mabadiliko makubwa ya kimfumo yanatakiwa kufanyiwa kazi ili Taifa hili liweze kwenda mbele tukiwa na umoja wa kitaifa.

Ccm chini ya viongozi wakuu wa Taifa hili wametoka kwenye misingi baba wa Taifa alituachia na sasa hiki chama kama wao wenyewe wanavyo jinasibu ni chama cha wenyewe. "CCM ina wenyewe" jambo hili sii tu linazuwa mgogoro ndani ya chama ambao ktk macho hatuuwoni ila pia unaligawa taifa na mwisho kitakacho tokea wengi tutabaki midomo wazi.

Nikweli kabisa naungana na vyombo vya ulinzi na usalama na hata viongozi wakuu wa taifa hili kwamba huko mbeleni upo mpango kuligawa taifa hili kwa ukanda na hata muungano na yakwamba ccm ndio njia pekee kuzuwia jambo hilo kutoka na mifumo tayari mmejiwekea. Lakini pia nilazima tukubaliane njia pekee kudhibiti mgawanyiko na mtengano sio ccm kuwa chama tawala kwasababu dunia ya sasa na ile tunaelekea vyombo vya ulinzi na usalama nilazima vijikite ktk kulinda taifa na mipaka yake, uchumi na masoko na kuingia ktk vyama vya siasa kwa mlango wa nyuma kupata taarifa na kushauri vyama pasipo kuingia au kusimamia chaguzi. Hii nitofauti sana kwetu hapa Tz na hili nimekuwa nikisema nikitisho ktk usalama wa Taifa kama tunakubali au laa mimi nasema kwa mawazo yangu nikitisho.

Idara zetu za usalama na zakijasusi zimeingia ktk mfumo nakuwa vyombo vyakuweka watawala kupitia chama kimoja while kwa upande mwingine vikiwa sehem ya machafuko hujuma ndani ya vyama vya upinzani. Hili nijambo zuri lakini wakati haya yanaendelea dunia inazidi ku advance ktk maswala ya kiusalama mbaya kuliko yote kwa sababu tumekiangalia chama kimoja ccm wenye akili wanazidi ku advance na kuusoma mfumo jambo na wao wanafanya vile mnafanya jambo lina zuwa tahatuki ndani ya chama na taifa.

Nilazima tujiulize pamoja na nguvu zote mifumo imetumia ila upinzani unazidi kushamiri na mbaya kuliko yote upinzani unazidi kuongeza ushawishi kwa watanzania kuliko wakati mwingine wowote ule na jambo lakutisha ndani ya chama yanaibuka makundi kila mara jambo hayati Mzee Magufuli hakuliweza na mwisho lilimuweka mtu kati mpaka umauti.

Sisi kama Taifa hatujachelewa wana ccm na vyama pinzani hawajachelewa na idara zetu hazija chelewa. Mtu kusema ccm ina wenyewe ni matusi sorry kusema hivyo kwasababu niukweli usiopingika bila idara nyeti za taifa na usalama ccm haipo. Pesa na Rasilimali watu tunatumia ccm kuwa madarakani nibora kukubali ya akina Tanu kuke Kenya.

Maana vita ya Urais ndani ya ccm inaigawa idara nyeti na taasisi zake why? Ask Kenyani waliojikuta wakiuwana kwasababu ya siasa. Kila anaye utaka urais anawatu ndani ya idara na wote wanataka mtu wao ashinde ndani ya chama hicho hicho kinachotokea nikupandikiziana mamluki ndani ya same chama namwisho ni wakwanza kumuwahi mwenzake ndio anakula nyama.

Vita kama hii ilikitesa sana chama cha tanu mpaka wazee na watu wenye busara waliposema inatosha inatosha ndio hii tunaiyona Kenya ya leo.

Ccm chini ya carpet ina tengeneza makundi mawili au matatu hatari kwa usalama wa chama na taifa pia maana wao ndio wenye serikali.

Kundi la kwanza ni la wale wanasema ccm inawenyewe ukiwaangalia ni vigogo na watoto wa high level office walio wahi tumikia taifa hili jambo wamelisahau nikukumbuka wapo waliokianzisha chama na watoto wao hawapo kwa namna moja au nyingine ila nao ni wana tanu na ccm ya sasa.

Kundi la wanachama wakawaida waliojiunga vyuoni na kwenye mashina kwa sababu binafsi na sasa washaujuwa mchezo wanataka wafike kilele ila wanakutana na nguvu ya ccm yenye wenyewe. Kundi hili nikubwa sana na linanguvu sana na kwa taarifa zisizo Rasmi Namba 1 alie ondoka ndie alikuwa na hili kundi na ndio alio hakikisha wengi wanaenda bungeni na sasa wengi wamebaki yatima. Kundi hili lina vijana wasomi kutoka familia maskini ambao wazazi wao hawakuwa wakati CCM inaanza au walifukuzwa ndani ya chama.

Kundi la watoto wa vigogo ambao wazazi wao walikuwa wanachama ila kutokana na uwaminifu na uwadilifu hawakupata umaarufu wa wenzao wengi wanaitwa vijana wa Nyerere. Pia hawa wanamafungamano na vyama vya upinzani. Ndio kizazi cha wale wa kwenye space kama unafuwatilia.

Haya makundi ndani ya ccm ni swala la muda yatakuwa kitisho
na kwa taarifa mpya ni kwamba VYAMA VYA UPINZANI VISHAJIPENYEZA KWENYE IDARA NYETI , chukua hiyo mkuu .

FB_IMG_1574277425198.jpg
 
Taifa kusambaratika ni suala la muda tuu. Kama muungano una kero na umasikini wa wengi unazidi unafikiri umoja wa taifa utadumu kweli? Hizo ni ndoto tuu.
 
Awali ya yote niipongeze serikali na viongozi wake kww kazi wanaifanya japo kama Taifa tunaona kuna mabadiliko makubwa ya kimfumo yanatakiwa kufanyiwa kazi ili Taifa hili liweze kwenda mbele tukiwa na umoja wa kitaifa.

Ccm chini ya viongozi wakuu wa Taifa hili wametoka kwenye misingi baba wa Taifa alituachia na sasa hiki chama kama wao wenyewe wanavyo jinasibu ni chama cha wenyewe. "CCM ina wenyewe" jambo hili sii tu linazuwa mgogoro ndani ya chama ambao ktk macho hatuuwoni ila pia unaligawa taifa na mwisho kitakacho tokea wengi tutabaki midomo wazi.

Nikweli kabisa naungana na vyombo vya ulinzi na usalama na hata viongozi wakuu wa taifa hili kwamba huko mbeleni upo mpango kuligawa taifa hili kwa ukanda na hata muungano na yakwamba ccm ndio njia pekee kuzuwia jambo hilo kutoka na mifumo tayari mmejiwekea. Lakini pia nilazima tukubaliane njia pekee kudhibiti mgawanyiko na mtengano sio ccm kuwa chama tawala kwasababu dunia ya sasa na ile tunaelekea vyombo vya ulinzi na usalama nilazima vijikite ktk kulinda taifa na mipaka yake, uchumi na masoko na kuingia ktk vyama vya siasa kwa mlango wa nyuma kupata taarifa na kushauri vyama pasipo kuingia au kusimamia chaguzi. Hii nitofauti sana kwetu hapa Tz na hili nimekuwa nikisema nikitisho ktk usalama wa Taifa kama tunakubali au laa mimi nasema kwa mawazo yangu nikitisho.

Idara zetu za usalama na zakijasusi zimeingia ktk mfumo nakuwa vyombo vyakuweka watawala kupitia chama kimoja while kwa upande mwingine vikiwa sehem ya machafuko hujuma ndani ya vyama vya upinzani. Hili nijambo zuri lakini wakati haya yanaendelea dunia inazidi ku advance ktk maswala ya kiusalama mbaya kuliko yote kwa sababu tumekiangalia chama kimoja ccm wenye akili wanazidi ku advance na kuusoma mfumo jambo na wao wanafanya vile mnafanya jambo lina zuwa tahatuki ndani ya chama na taifa.

Nilazima tujiulize pamoja na nguvu zote mifumo imetumia ila upinzani unazidi kushamiri na mbaya kuliko yote upinzani unazidi kuongeza ushawishi kwa watanzania kuliko wakati mwingine wowote ule na jambo lakutisha ndani ya chama yanaibuka makundi kila mara jambo hayati Mzee Magufuli hakuliweza na mwisho lilimuweka mtu kati mpaka umauti.

Sisi kama Taifa hatujachelewa wana ccm na vyama pinzani hawajachelewa na idara zetu hazija chelewa. Mtu kusema ccm ina wenyewe ni matusi sorry kusema hivyo kwasababu niukweli usiopingika bila idara nyeti za taifa na usalama ccm haipo. Pesa na Rasilimali watu tunatumia ccm kuwa madarakani nibora kukubali ya akina Tanu kuke Kenya.

Maana vita ya Urais ndani ya ccm inaigawa idara nyeti na taasisi zake why? Ask Kenyani waliojikuta wakiuwana kwasababu ya siasa. Kila anaye utaka urais anawatu ndani ya idara na wote wanataka mtu wao ashinde ndani ya chama hicho hicho kinachotokea nikupandikiziana mamluki ndani ya same chama namwisho ni wakwanza kumuwahi mwenzake ndio anakula nyama.

Vita kama hii ilikitesa sana chama cha tanu mpaka wazee na watu wenye busara waliposema inatosha inatosha ndio hii tunaiyona Kenya ya leo.

Ccm chini ya carpet ina tengeneza makundi mawili au matatu hatari kwa usalama wa chama na taifa pia maana wao ndio wenye serikali.

Kundi la kwanza ni la wale wanasema ccm inawenyewe ukiwaangalia ni vigogo na watoto wa high level office walio wahi tumikia taifa hili jambo wamelisahau nikukumbuka wapo waliokianzisha chama na watoto wao hawapo kwa namna moja au nyingine ila nao ni wana tanu na ccm ya sasa.

Kundi la wanachama wakawaida waliojiunga vyuoni na kwenye mashina kwa sababu binafsi na sasa washaujuwa mchezo wanataka wafike kilele ila wanakutana na nguvu ya ccm yenye wenyewe. Kundi hili nikubwa sana na linanguvu sana na kwa taarifa zisizo Rasmi Namba 1 alie ondoka ndie alikuwa na hili kundi na ndio alio hakikisha wengi wanaenda bungeni na sasa wengi wamebaki yatima. Kundi hili lina vijana wasomi kutoka familia maskini ambao wazazi wao hawakuwa wakati CCM inaanza au walifukuzwa ndani ya chama.

Kundi la watoto wa vigogo ambao wazazi wao walikuwa wanachama ila kutokana na uwaminifu na uwadilifu hawakupata umaarufu wa wenzao wengi wanaitwa vijana wa Nyerere. Pia hawa wanamafungamano na vyama vya upinzani. Ndio kizazi cha wale wa kwenye space kama unafuwatilia.

Haya makundi ndani ya ccm ni swala la muda yatakuwa kitisho
Nini bana? Kwani we pana jua yeye yote iko fisi kwa fisi dudu moja?
 
Matatizo haya yote yalianzia kwa huyo muasisi unayemsema, ana mazuri na mapungufu yake, mapungufu yake ndio yanaendeleza hizi shida..

Watanzania na Tanzania ni moja ya Taifa ambalo watu wake wengi wamechelewa kustaarabika na kuwa wajanja, matokeo yake bado tulio wengi ni primitive na washamba... Kinachosumbua hii nchi ni uprimitive na ushamba..

Bado mtanzania hata asome vipi au atembee vipi atakuwa tu primitive na mshamba matokeo ndio haya tunayoyaona...Mfumo wetu wa elimu na makuzi hautoa mwanya kwa mtu kuepukana na hivyo vitu.... tunahitaji kwanza mabadiriko makubwa kwenye mfumo wa elimu ili bongo za watu zianze kunolewa kuanzia chini huko wakiwa watoto ili wakizeeka wasiwe washamba na maprimitive...
 
Huyu Samia Mwenyekiti wa CCM ni mtoto wa kigogo gani huko nyuma? Sijawahi kusikia habari za Suluhu Hassan. Huyu Daniel Chongolo ni mtoto wa kigogo gani huko nyuma? Tukubali tu kwa mazingira na hali ya Tanzania, ni dhahiri CCM bado ndicho chama kinachopaswa kuendelea kuaminiwa kuongoza Tanzania. Haijawahi kutokea ccm kuwa na uongozi wa pande moja. Kutoka Chato Hadi kizimkazi (Mwenyekiti); kutoka Kagera hadi nyanda za juu Kusini (Katibu) si jambo la kubeza.

Na cha ziada, ccm yenyewe imekuwa na utaratibu wa kuheshimiana kwenye masuala yao hata kama wengine hawapendi. Sioni hatari ya hicho ukisemacho kwasababu yeyote anaweza kuwa yeyote ndani ya chama chao, utamaduni ambao vyama vyengine ni kama haupo.
 
Bado mtanzania hata asome vipi au atembee vipi atakuwa tu primitive na mshamba matokeo ndio haya tunayoyaona...Mfumo wetu wa elimu na makuzi hautoa mwanya kwa mtu kuepukana na hivyo vitu.... tunahitaji kwanza mabadiriko makubwa kwenye mfumo wa elimu ili bongo za watu zianze kunolewa kuanzia chini huko wakiwa watoto ili wakizeeka wasiwe washamba na maprimitive...
Upo sahihi sana. Nchi ambayo afisa uhamiaji anataka barua ya wazazi inayomruhusu mtoto wake wa miaka 30 kwenda kusoma nje ya nchi ndipo impe pasipoti, ina kazi ya ziada kuachana na adui ushamba. Hii combination ya adui ujinga na ushamba tena kwa kundi la wasomi wetu inaleta athari kubwa sana katika nyanja zote za maendeleo. Unless we tackle this problem, sioni dalili za maendeleo ya kweli kwa miongo mingi ijayo.
 
Upo sahihi sana. Nchi ambayo afisa uhamiaji anataka barua ya wazazi inayomruhusu mtoto wake wa miaka 30 kwenda kusoma nje ya nchi ndipo impe pasipoti, ina kazi ya ziada kuachana na adui ushamba. Hii combination ya adui ujinga na ushamba tena kwa kundi la wasomi wetu inaleta athari kubwa sana katika nyanja zote za maendeleo. Unless we tackle this problem, sioni dalili za maendeleo ya kweli kwa miongo mingi ijayo.
Ni aibu tupu
 
Upo sahihi sana. Nchi ambayo afisa uhamiaji anataka barua ya wazazi inayomruhusu mtoto wake wa miaka 30 kwenda kusoma nje ya nchi ndipo impe pasipoti, ina kazi ya ziada kuachana na adui ushamba. Hii combination ya adui ujinga na ushamba tena kwa kundi la wasomi wetu inaleta athari kubwa sana katika nyanja zote za maendeleo. Unless we tackle this problem, sioni dalili za maendeleo ya kweli kwa miongo mingi ijayo.
Kuna mwingine alikuwa Rais akitaka kukusumbua alikuwa anawatuma vijana wake wakuulize Vyeti vya kuzaliwa vya Babu yako na Bibi yako mzaa Mama
 
Kuna mwingine alikuwa Rais akitaka kukusumbua alikuwa anawatuma vijana wake wakuulize Vyeti vya kuzaliwa vya Babu yako na Bibi yako mzaa Mama
Yote ni aina ya ushamba tunaousema. Vyeti vya babu yangu vitamsaidiaje mkulima kupata trekta la kulimia.
 
Majangili yote yamerudi kwa kasi sn
Mkuu usiingie kwenye mtego huu wa ushamba tunaousema. Utashangaa msomi mzima wa kiwango cha PhD anaokota mambo ya vijiweni na kusema eti tumekwisha kwa kuwa Nape, Makamba na Kinana wapo uongozini! Kwanini uishi kwa hisia zisizo na ukweli nazo??
 
Mkuu usiingie kwenye mtego huu wa ushamba tunaousema. Utashangaa msomi mzima wa kiwango cha PhD anaokota mambo ya vijiweni na kusema eti tumekwisha kwa kuwa Nape, Makamba na Kinana wapo uongozini! Kwanini uishi kwa hisia zisizo na ukweli nazo??
Kwani mi ni under 18? acha uzwazwa rushwa imerudi kwa kasi sn na mambo hayaendi, Jambo gani limefanywa na Makamba awamu hii likaeleweka? tabia ya Kinana huijui?
 
Awali ya yote niipongeze serikali na viongozi wake kww kazi wanaifanya japo kama Taifa tunaona kuna mabadiliko makubwa ya kimfumo yanatakiwa kufanyiwa kazi ili Taifa hili liweze kwenda mbele tukiwa na umoja wa kitaifa.

Ccm chini ya viongozi wakuu wa Taifa hili wametoka kwenye misingi baba wa Taifa alituachia na sasa hiki chama kama wao wenyewe wanavyo jinasibu ni chama cha wenyewe. "CCM ina wenyewe" jambo hili sii tu linazuwa mgogoro ndani ya chama ambao ktk macho hatuuwoni ila pia unaligawa taifa na mwisho kitakacho tokea wengi tutabaki midomo wazi.

Nikweli kabisa naungana na vyombo vya ulinzi na usalama na hata viongozi wakuu wa taifa hili kwamba huko mbeleni upo mpango kuligawa taifa hili kwa ukanda na hata muungano na yakwamba ccm ndio njia pekee kuzuwia jambo hilo kutoka na mifumo tayari mmejiwekea. Lakini pia nilazima tukubaliane njia pekee kudhibiti mgawanyiko na mtengano sio ccm kuwa chama tawala kwasababu dunia ya sasa na ile tunaelekea vyombo vya ulinzi na usalama nilazima vijikite ktk kulinda taifa na mipaka yake, uchumi na masoko na kuingia ktk vyama vya siasa kwa mlango wa nyuma kupata taarifa na kushauri vyama pasipo kuingia au kusimamia chaguzi. Hii nitofauti sana kwetu hapa Tz na hili nimekuwa nikisema nikitisho ktk usalama wa Taifa kama tunakubali au laa mimi nasema kwa mawazo yangu nikitisho.

Idara zetu za usalama na zakijasusi zimeingia ktk mfumo nakuwa vyombo vyakuweka watawala kupitia chama kimoja while kwa upande mwingine vikiwa sehem ya machafuko hujuma ndani ya vyama vya upinzani. Hili nijambo zuri lakini wakati haya yanaendelea dunia inazidi ku advance ktk maswala ya kiusalama mbaya kuliko yote kwa sababu tumekiangalia chama kimoja ccm wenye akili wanazidi ku advance na kuusoma mfumo jambo na wao wanafanya vile mnafanya jambo lina zuwa tahatuki ndani ya chama na taifa.

Nilazima tujiulize pamoja na nguvu zote mifumo imetumia ila upinzani unazidi kushamiri na mbaya kuliko yote upinzani unazidi kuongeza ushawishi kwa watanzania kuliko wakati mwingine wowote ule na jambo lakutisha ndani ya chama yanaibuka makundi kila mara jambo hayati Mzee Magufuli hakuliweza na mwisho lilimuweka mtu kati mpaka umauti.

Sisi kama Taifa hatujachelewa wana ccm na vyama pinzani hawajachelewa na idara zetu hazija chelewa. Mtu kusema ccm ina wenyewe ni matusi sorry kusema hivyo kwasababu niukweli usiopingika bila idara nyeti za taifa na usalama ccm haipo. Pesa na Rasilimali watu tunatumia ccm kuwa madarakani nibora kukubali ya akina Tanu kuke Kenya.

Maana vita ya Urais ndani ya ccm inaigawa idara nyeti na taasisi zake why? Ask Kenyani waliojikuta wakiuwana kwasababu ya siasa. Kila anaye utaka urais anawatu ndani ya idara na wote wanataka mtu wao ashinde ndani ya chama hicho hicho kinachotokea nikupandikiziana mamluki ndani ya same chama namwisho ni wakwanza kumuwahi mwenzake ndio anakula nyama.

Vita kama hii ilikitesa sana chama cha tanu mpaka wazee na watu wenye busara waliposema inatosha inatosha ndio hii tunaiyona Kenya ya leo.

Ccm chini ya carpet ina tengeneza makundi mawili au matatu hatari kwa usalama wa chama na taifa pia maana wao ndio wenye serikali.

Kundi la kwanza ni la wale wanasema ccm inawenyewe ukiwaangalia ni vigogo na watoto wa high level office walio wahi tumikia taifa hili jambo wamelisahau nikukumbuka wapo waliokianzisha chama na watoto wao hawapo kwa namna moja au nyingine ila nao ni wana tanu na ccm ya sasa.

Kundi la wanachama wakawaida waliojiunga vyuoni na kwenye mashina kwa sababu binafsi na sasa washaujuwa mchezo wanataka wafike kilele ila wanakutana na nguvu ya ccm yenye wenyewe. Kundi hili nikubwa sana na linanguvu sana na kwa taarifa zisizo Rasmi Namba 1 alie ondoka ndie alikuwa na hili kundi na ndio alio hakikisha wengi wanaenda bungeni na sasa wengi wamebaki yatima. Kundi hili lina vijana wasomi kutoka familia maskini ambao wazazi wao hawakuwa wakati CCM inaanza au walifukuzwa ndani ya chama.

Kundi la watoto wa vigogo ambao wazazi wao walikuwa wanachama ila kutokana na uwaminifu na uwadilifu hawakupata umaarufu wa wenzao wengi wanaitwa vijana wa Nyerere. Pia hawa wanamafungamano na vyama vya upinzani. Ndio kizazi cha wale wa kwenye space kama unafuwatilia.

Haya makundi ndani ya ccm ni swala la muda yatakuwa kitisho
Uchambuzi murua kabisa, ila umekosea pale kwenye kusema Jiwe alikuwa na kundi la watu wasomi. Siyo kweli wafuasi wa Jiwe wengi walikuwa wajinga na wasiyo na upeo wowote. Chunguza vizuri wafuasi wake wengi ni masikini na wasiolipa kodi kwa namna yoyote, maana hawana biashara kubwa pia siyo wasomi
 
Kwani mi ni under 18? acha uzwazwa rushwa imerudi kwa kasi sn na mambo hayaendi, Jambo gani limefanywa na Makamba awamu hii likaeleweka? tabia ya Kinana huijui?

hivi ni lini hii nchi Rushwa iliisha?....

Mkuu tunapojadili haya mambo tuweke ushabiki pembeni ili tutatue tatizo..

Rushwa ni kansa iliyopo kwenye ubongo wa watanzania kuanzia mtoaji na mpokeaji... Maisha yetu wengi wetu hayajanyooka kutokana na mifumo na sisi wenyewe hili husababisha wengi kuwa watoaji rushwa wazuri ili mambo yaende, wapokea rushwa nao hutumia mwanya wa kutonyooka kwetu kuchelewesha mambo ili utoe rushwa..

Rushwa haijawahi kwisha Tanzania, inategemea unamishe mishe gani mjini na unaodeal nao akina nani, awamu iliyopita ilikuwa na watu wake wenye uwezo wa kupokea rushwa bila shida na wasifanywe chochote ( hapa nazungumzia rushwa kubwa kubwa) huku chini kila mtu alikuwa na uwezo wa kupokea bila shida.....

Huwezi kuimaliza rushwa bila kuweka mifumo mizuri ya maisha kwa watu wote, tena utamaliza zile ndogo ndogo ila rushwa kubwakubwa never sahau hizi hata USA, CHINA, UK zipo...
 
Back
Top Bottom