Ana maumivu huyo mfuasu wa siasa za kijima.Unazunguka mno na mada isiyoeleweka hii.
Ondoa takataka zote unazoremba nazo..., , 'the centre of gravity' kwa sasa hivi inashikiliwa na Kikwete.
Kama unataka kuchambua, anzia hapo kwa Kikwete, vinginevyo usitupotezee muda na andiko refu lisiloeleweka.