Mabadiliko sheria tano za soka kutoka FIFA, kuchezwa dakika 60, kadi za njano na mengine

Na mabadiliko ya katiba mpya yanadhihirisha nini ?
 
Sure kiongozi
Eti mtu hawezi kuangalia mechi dk 90 anachoka 😳😳😳
 
Sheria ya kuzidi (offside) imepitwa na wakati, iondolewe.

 
Dakika 60 zinatosha kabisa, watu wakachape kazi mpaka tusimamishe uchumi kwanza.
Na hao wanaofanya kazi kupitia mpira wabaki masikini.?

Kuna mitandao ya kuangalia mechi online, muda ukipunguzwa na wao wanakosa pesa.
Kwenye ku-bet hasara/faida itaongezeka.
Nasikia kuna wachezaji (wanalipwa kulingana na muda wanaocheza) kwahy hapo watapata loss.
Uhondo utapungua
 
Yaani hizo dakika 60 ni stopping time ambayo ndombaya zaidi bora hata dk 90...hyo mnachoka kama mbwa...mpira ukitoka muda unasimama...goalkeeper asipopiga mpira muda unasimama...mpira ukitoka muda unasimama...mchezaji akiumia muda unasimama...so inakuwa kama nba...dk 48 zinachezwa kwa masaa hata matatu
 
Dhaaaaaaa hili la 60mnts lipuuzwee kabsa kwakweli ndo nn sasa hiv
Huu ni ujinga kabisa badala waongeza hata dakika ziwe mia halafu sub ziwe kumi ili kuwapa wacheji walioko benchi fursa ya kucheza wao wanataka kupunguza, hivi hii FIFA ya sasa hivi wanaujua mpira kweli?
 
Ikitolewa kagere atafunga goli 50 peke yake
Akifunga itakuwa ni uzembe wa timu pinzani. Kama idadi ya wachezaji ipo sawa na mipaka ya uwanja inafahamika ,kuzidi kunatoka wapi wakati wachezaji wote wapo humo humo uwanjani?
 
Hawa FIFA wanaelekea kuchanganyikiwa sasa, mpira gani wa dakika 60 wakati nimelipa kiingilio changu? wakileta hiyo sheria mechi zote ziwe bure pasiwepo na kiingilio.
 
"Imeshasainiwa na rais wa Fifa kama mnaona kwenye netball kuna unafuu hamieni huko" In Mwigulu Voice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…